Recent content by Mndali ndanyelakakomu

  1. Mndali ndanyelakakomu

    Makapuku Forum

    Aminaa dadake
  2. Mndali ndanyelakakomu

    Makapuku Forum

    Wenyeji wa humu nimewamisi sana mkawe na jioni njema
  3. Mndali ndanyelakakomu

    Nani anaijua biashara ya vifaa vya simu kwa kina?

    Hata vifaa navyo maduka yamekuwa mengi hapa inatakiwa kutafuta biashara nyingne hii inakifa Kwa kiwango kikubwa
  4. Mndali ndanyelakakomu

    Nani anaijua biashara ya vifaa vya simu kwa kina?

    Tatizo hizi biashara zimebadilika sana zinahitaji ufikirie upya
  5. Mndali ndanyelakakomu

    Tupia top 4 epl msimu wa 2024/2025

    man city Liverpool Aston villa arsenal
  6. Mndali ndanyelakakomu

    Makapuku Forum

    sijambo mkuu habari ya ujenzi Wa taifa
  7. Mndali ndanyelakakomu

    Makapuku Forum

    shikamoo woteee
  8. Mndali ndanyelakakomu

    Mtaji wa kuanzia kwenye biashara ya accessorie unaweza kuwa kiasi gani?

    mwaga Sera hapa tufaidi wote maana maisha no haya haya
  9. Mndali ndanyelakakomu

    Mtaji wa kuanzia kwenye biashara ya accessorie unaweza kuwa kiasi gani?

    mtaji milion 2 vitu: chaji org chaji za kati chaji ndogo memory frash battery org bettery za kati bettery za mwisho yaan feki bei chini protect aina mbali mbali USB za aina mbali mbali earphone za kati earphone za chini bei nafuu av kava za simu ndogo kava za simu kubwa ila...
  10. Mndali ndanyelakakomu

    Kwangu naona sasa mapenzi basi

    Fijana Wa sikuisi buana Yaani hujui unacho kitafuta kwa mwanmke zaidi ya sex Unapaswa ujue kwanza unatafuta nini kwenye mahusiano yako
  11. Mndali ndanyelakakomu

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Utajua hujui ila tambua Mimi ni baba yako mengne mwachie mama yako atayamaliza
  12. Mndali ndanyelakakomu

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Mungu ni mwema kwa upande wangu sijui ulipo mnaendeleaje na ujenzi wa taifa
  13. Mndali ndanyelakakomu

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Nitakodisha maramanyafu ila nimekusamehe maana uwepo wako hapa unaongezea kitu kikubwa mnoo man city timu kubwa na ndio maana tuko hapa
  14. Mndali ndanyelakakomu

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Tunasubiri mtakao pata maana nyinyi huwa manapata kila mwaka
Back
Top Bottom