Naomba MSAADA wa mawazo wadau wangu. Hivi wanyama mfano Ng'ombe, nyati, Chui au Tembo huwa wanaugua magonjwa ya Zinaa/ya ngono mfano kaswende, kisonono na pangusa? Kama ndiyo wanaponaje? Ikiwa wanaumwa magonjwa hayo utawatambuaje? Kama hawaumwi kwa nini magonjwa haya yaathiri wanadamu zaidi?
1. Uchambuzi Tafuta Google andika kitabu ukitakacho utapata uchambuzi. 2. Baadhi za vitabu vya Kidato cha 1-4 vilionekana havina ubora na serkali ilitaka nchi kutumia kitabu kimoja. Ushauri PATA Vitabu kadhaa chambua I'll upate zenye ubora. Ukikwama zaidi wasiliana nami utapta kuanzia kidato...
USISHANGAE MKUU, Dunia ya Leo inabeba dhana ya UBIDHAISHAJI YAANI KILA KITU NI BIDHAA. PENZI, DINI, SALAMU, MSAMBWANDA, HATA HUDUMA YA CHOOO zote ni bidhaa!
Kufuatia zoezi na maombi ya kuchangia fedha kwa ajili ya TAULO ZA KIKE Maarufu Pedi kwa ajili ya wanafunzi iwe shule ya msingi au sekondari nahoji: 1. Wakati umefika kwa kina baba nao kushiriki kutoa elimu kwa watoto wao wa kike namna ya matumizi? 2. Wakati sasa familia kupanga bajeti za...
Kufuatia sherehe ya Wanawake Leo 8.3. Nilijaribu kuhoji baadhi ya wanawake mambo yafuatayo:
Kama wanatambua kuna sikukuu leo?
Kauli Mbiu ya mwaka huu? Wanajivunia mafanikio gani katika Siku hii?
Wanasherehekea kwa lipi?
Sababu ya sherehe?
Nani anatakiwa kuwakomboa!
NASIKITIKA WENGI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.