Recent content by Mnastar jr

  1. Mnastar jr

    Mwanafunzi unayejielewa unaanzaje kupata supplementary?

    Kijana wa maji wewe naona umemaliza sup yako ya mbogos AF nadhan n first year sup c kilema komaa sapua songa mbele anaekubishia haujui mziki wa drawing
  2. Mnastar jr

    Ma-single wenzangu woote walioachwa na X wao, pitieni hapa tutulizane

    Ukiachwa na X chukua Y, simple maths Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mnastar jr

    Kambaka mwanafunzi na kumsababishia mimba, kakamatwa kaachiwa baada ya siku chache

    Habari wakuu,!!kuna mdgo ake rafiki ang mmoj alikua kdato cha tatu msichana ni mcha mungu na alipenda sana shule.Kuna jamaa MTU mzima tu alkua anamtaka kimapenz kakamkatalia kabisa basi jamaa akaamua mvizia dogo na vjana akambaka ,dgo akapata mimba siku hyo.tulireport police jamaa akakamatwa...
  4. Mnastar jr

    Special thread: Kwa waombaji wote wa mikopo 2017/2018 (HESLB)

    Ivi nliwahi sikia tetesi za wanafunzi wa diploma kupata mkopo hiz tetesi ziliishia wapi wakuu ? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Mnastar jr

    For Geniuses Only Part 2: Hawa watoto wapo wangapi kwa ujumla wao?

    Wawili tu bt action wanazofanya ndo znawatofautsha Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Mnastar jr

    TCU tunaombeni muwaangalie na vijana wenye D E E

    Hiyo WDMI kwa sasa kina itwa WATER INSTITUTE (WI) atasoma course za maji pale na ztamsaidia kwa ajira au kuendelea kusoma engineering
  7. Mnastar jr

    TCU tunaombeni muwaangalie na vijana wenye D E E

    Usipanik kijana wangu angalia course ya dip unayoipenda kama ya afya au Eng;Then apply mfano kama utatak kua Eng; kuna DIT,WI, na vngne vingi hvo chaguo lako tu mkuu
  8. Mnastar jr

    TCU tunaombeni muwaangalie na vijana wenye D E E

    Kijana mwenzangu pole na hongera pia kwan haujafel Mimi ni mwenzako nilmalza mwaka Jana nkapata hzohzo na nilsoma CBG nlishauliwa sana na nilfikia kukata tamaa lakin sasa hiv najiandaa kuinga mwaka wa pili nasoma dip lakin naamin ndoto zangu ztatimia kitumie chet chako cha form four kitaktoa...
  9. Mnastar jr

    TCU hamtaki wenye stashahada kwenye idara ya afya wajiendeleze?

    Kama A za kukalili majibu na hyo grade N itakua ya nini hahahah Bongo bahati nzuri Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
  10. Mnastar jr

    My Birthday 1 July

    Hicho ndicho unachofikili that's y we differ in thinking and acting
  11. Mnastar jr

    My Birthday 1 July

    Thank you
  12. Mnastar jr

    My Birthday 1 July

    nmekuelewa mkuu
  13. Mnastar jr

    My Birthday 1 July

    Ahsante mkuu
  14. Mnastar jr

    My Birthday 1 July

    more than fire!;!thanks
  15. Mnastar jr

    My Birthday 1 July

    unamaana gani mkuu
Back
Top Bottom