Tanganyika hatuna katiba hatuna Bendera, Hatuna Rais. Wenzetu Zanzibar Wana Katiba,Wana Bendera, Wana Rais, Wana Wimbo wa Taifa. Hii Sababu ya Ujinga wetu
Unajuwa kabisa unapotosha Watu. Sheria inakataza kula hadharani kipindi Cha mfungo. Hulazimishwi kufunga Sababu Kuna Imani tofauti na Uislam pia Kuna wenye Udhuru Mbalimbali wanakuwa hawajafunga.
Hili hoja imebebwa na Wakristo. Je alieadhibiwa alikuwa Mkristo?
Zanzibar Wana Katiba yao na wanataratibu zao za kuishi. Sheria inasema wazi hairusiwi kula hadharani wakati wa mfungo wa Ramadhani.
Binafsi sikumpenda,alivuruga ustaarabu wa Mtz. Alikuwa mnafiki, alikuwa Dikteta, aliuwa sana Watu, alisingizia Watu Kesi za Uhujumu Uchumi, alivuruga soko la Mazao. Bora Mungu alivyomchukua nchi ingekuwa Masikini
Naishi Dar nilienda kutembea mkoani Tabora. Nikavutiwa na Kilimo Cha Tumbaku. Nimelima heka 6 ambapo natarajia kupata kilo 600 kwa Kila heka Moja.
Nitauza kg 1 $ 4.00, 3.5 nk
Matumizi
Heka 1 mbolea mifuko 5 @ shs 80,000
Kuni shs trip Moja shs 300,00
Kulima 50,000
Palizi 30,000
Ukristo ni kikundi kwa ajili ya kumpinga Mwenyenzi Mungu. Lakini Ukristo Ulipokelewa na Waislam hapa Tanzania. Una halalisha Ushoga, Mavazi yasio ya Heshima, Ushirikina, Wizi mpaka Mashirka ya Umma wameyaua, Wizi Serikalini, Ubaguzi ktk Ajira, Umalaya, tabia za Uongo, Viongozi kukosa Uadilifu...
Huyo Paulo ndo mpotoshaji Mkubwa namna alivyoingia Kwa Kuua Wanafunzi wa Yesu Wote. Halafu akasema nimekutana Yesu kanipa Utume, yaani Uue wanafunzi wake halafu akupe Utume?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.