Recent content by Mnanguliti

  1. M

    JamiiForums Tanzania A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi

    Vinci mkuu una akili nyingi sana
  2. M

    JamiiForums Tanzania Umeshawai kufumania? Ilikuaje, ulipatwa na hali gani, ukafanya uamuzi gani?

    Pia mkuu uwezo wako wa kumkaza ni mdogo sana aise haiwezekani umkeshee na ajue usiku utaichapa na bado mchana anashinda na jamaa anamchapa tena
  3. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumuombee Nchimbi: sasa naelewa mtifuano ndani ya CCM ni ukombozi kwa Taifa

    Kutoka hapana tunahitaji mpambanaji aliye ndani ya Ccm humohumo ili watibuane hasa. Akitoka yaani inakuwa haina maana inakuwa tu kama Msigwa alivyotoka Ccm kuja Chadema. Hapa ndo Chadema na nyinyi huwa mnakuwa hamna akili yaani mnaamini eti mtu mpaka awe chamani kwenu ndipo aaminike badilisheni...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mnawezaje kuhandle situation ya mwanamke kununa ndani ya familia

    Ni kweli ila kuna wakati fanya hivyo na mara nyingi huwa wanakupima tu upepo ukimkubalia aende yeye mwenyewe anaanza tu kubadilika. Sasa km mtu anakunyima mpaka kuichakata anakuwa na maana gani kwako mwache aende tu huwa haichukui siku nyingi kukaa sawa wiki mbili za mwanzo ndo utamkumbuka ila...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mnawezaje kuhandle situation ya mwanamke kununa ndani ya familia

    Mwache aende anakotaka kwenda usihofu kuhusu watoto kwa mfano mfe wote wewe na yeye unafikiria watoto hawatakua, sasa hapo chukulia anakufa yeye halafu wewe unabaki na watoto simple like that
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    Britanicca salute kwako una akili nyingi sana mkuu. Nakuomba wewe na wenzako mlisaidie hili taifa yaani tuifikirie miaka 200 au zaidi ya taifa na si hawa wanaofikiria matumbo yao leo na kesho ya watoto wao tu. Watoto wa Tanzania ni wengi kuliko watoto wa walafi wa madaraka na wafujaji wa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nyumba kama hii inaweza gharimu sh ngapi ? Nione kama naweka mjengo wa 3

    Nadhani hili ni kaburi kwa ajili ya mtu fulani ambaye aidha anastafishwa kwa maslahi ya nchi na si unajua kaburi linakuwa ni nyumba anayoishi mteule tu so huenda Kuna mnene mmoja ambaye ni kikwazo kwa taifa kusonga mbele yuko mbioni kuliwa kichwa. Britanicca hawezi kumaanisha nyumba ya kawaida...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nyumba kama hii inaweza gharimu sh ngapi ? Nione kama naweka mjengo wa 3

    Kwa Britannica hii itakuwa ni bonge la code
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anakataa baba yangu kufikia nyumbani kwetu kila anapokuja mjini, nifanyaje?

    Vipi huyo mke wako alikuoa lini na mlikubalianaje wakati anakuoa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Natamani sana mabadiliko yatokee ila Ccm limekuwa kama zimwi halitegemei tena kura za kwenye ballot box bali time ya uchaguzi na wakurugenzi ndo wanakuwa wapishi wakubwa wa data na kuwabebesha walimu na polisi kulinda uhalifu wa kura
  11. M

    JamiiForums Tanzania Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Huu mkeka ulishachanika vibaya sana. Huyu mwandishi yuko kundi pendwa ni kama walikuwa wanatulaghai tu watanzania tuingie kingi then mipango yao iendelee kama kawaida
  12. M

    JamiiForums Tanzania Siamini kabisa Riz One anatumia madaraka yake ya waziri mwenye kusimamia Usalama wa Taifa kwa ajili ya taifa bali familia yake na kundi la mtandao

    Hakuna mtu wa kipindi hiki aliyekuwa mzalendo kwa taifa kama HHP kama aliweza kunyakuliwa bila hata usalama wa taifa kuhoji au kuhakikisha anapatikana ujue hapa hatuna usalama kwa ajili ya taifa bali tuna usalama wa kikundi fulani cha watu
  13. M

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Huenda barua imekaa kama code mkuu
  14. M

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Nadhani ni kuachiwa kwa mwenyekiti wa wale jamaa. Hata hivyo ikiwa hivyo litakuwa jambo jema Sana na baada ya kuachiwa ni vema mambo mengine yafanyike wanguwangu Sana maana ni kama taifa limesimama sana hakuna kinachoendelea cha maana nchini ni Bora michakato ya katiba na time huru ya uchaguzi...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Umeme unapokatwa asubuhi mpaka jioni, wapo wanaoathirika vibaya

    Inahitajika usiwe mkosoaji wa serikali kutuma namba yako kwa mashirika haya ya serikali maana hayaaminiki na serikali hii haitaki kabisa kukosolewa hivyo kama unataka kuunganishwa kwenye kesi za ugaidi wape namba tanesco
Back
Top Bottom