Recent content by Mnanguliti

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba aanguka Jukwaani!

    Hiyo mic ilikuwa na usalama kweli. Duh hadi huyu Mzee naye wanataka wampoteze
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ni kweli Mzee Kikwete kazuiwa kuingia kwenye nchi za Kimagharibi hasa Marekani?

    Ubaya wa boldness yako ni uchawa zaidi
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ni kweli Mzee Kikwete kazuiwa kuingia kwenye nchi za Kimagharibi hasa Marekani?

    Hahahahah umekuwa mpole sana siku hizi gentleman
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nchimbi yuko wapi? Serikali na CCM tunataka majibu

    Acheni kutoa majibu ya kijinga kwenye issue serious bhana msijione Ccm hili ndo taifa lenu pekee na mnaweza kutufanya mtakavyo
  5. M

    JamiiForums Tanzania Yuda Fever: Nyumba nyeupe haikaliki analala Zanzibar

    Mkuu Tlaa nadhani una maumivu makubwa sana kwa balozi kutoweka. Sifurahii pia ila tujifinze kuheshimu mawazo jumuishi ya watu wenye Nia njema na taifa, wewe na wenzako mnakosea sana mnapokumbatia uchawa wa kijinga. Ccm yenu ya uchawa ni tofauti na Ccm ya wanamtandao tusimamieni ukweli wote ili...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Taamuli Huru ya Gazeti la Mwananchi: Kilichofanyika Mkutano Mkuu wa CCM, ni Ubatili!.

    Hivi mkuu Pasco ndo kusema hatima ya Nchimbi ndiyo imetwmatika hivyo. Inamaana huyu mtu alikuwa hapendwi kiasi hiki na wanaccm kiasi kwamba hakuna anayeweza kunyanyuq ulimi wake na kumtetea.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nilivyokutana na Mlokole kwa mara ya pili

    Ungetest boss ukikemewa unajidai ulikuwa na mapepo anakuombea mwisho wa siku unaondoka akiwa amejipa ushindi kwa uwezo wa kukemea mapepo ipo siku ungekuja kufanikiwa tu lbd kama hujamwelewa
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nilivyokutana na Mlokole kwa mara ya pili

    Mkuu mbona kama umemwelewa hivi. Vipi hukuomba namba ili wakati mwingine uwe unajuliana hali na mwinjilist
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mnaolalamika kuwa Mnadhimu wa JWTZ ni Mzanzibari, hivi akiteuliwa Mzanzibari kuwa Mkuu wa Jeshi na Mtanganyika akawa Mnadhimu wake mtatulia ?

    Watanganyika sisi ni makubwa jinga nadhani acha wazanzibar watuhenyeshe kadri ya uwezo wao
  10. M

    JamiiForums Tanzania Bila wazungu, maisha yangekuwa magumu sana hapa duniani

    Yeah tungeishi kulingana tu na mazingira coz mpaka leo Kuna tamaduni watu wanaishi primitively na hawaoni kama kuna shida ila wewe na Mimi ambao angalau tumeonja usasa tunawaona washamba mfano jamii za kifugaji kama wamasai, wahadzabe, wasukuma, wagogo, wabarbaig, nk ila jamaa wako comfortable...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Bila wazungu, maisha yangekuwa magumu sana hapa duniani

    Maisha Wala yasingekuwa magumu maana ugumu unakuja pale kunapokuwa na kitu cha kuyalinganisha. Hata kipindi cha stoneaage watu waliona hayo ndo maisha Sasa na hasa walipokuja kugundua moto maisha yakawa kwenye viwango visivyomithilika
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mbona sioni hashtag free Dr Emanuel Nchimbi mpaka sasahivi? WATANZANIA mmeanza kuzoea upotevu wa watu? Hay Mimi naanza FREE DR NCHIMBI

    Watawala wanapoona huu ukondoo wetu ndo wanazidi kuona hata kama watatufanyia chochote kibaya hatuna kauli. Bila Mungu kuingilia kati mateso tunayofanyiwa yatatumaliza wote
  13. M

    JamiiForums Tanzania Maria Surungi: Deo Ndejembi ni Mzanzibari, Muislamu, pia ana uraia wa Uingereza

    Polepole kokote uliko pumzika salama sana mkuu!!
  14. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Pukutiko linaendelea...

    ""Ehee wameanza kujichanganya makamu mteule anasema atakuwa ni makamu atakayemsaidia zaidi na si kumpinga"" Kwani ni nani aliyekuwa makamu aliyempinga rais. Mama Samia ruhusu michakato wa kumpata mgombea kupitia Ccm kwani tuna utaratibu kila baada ya miaka 10 tunaweka ingizo jipya wewe na...
Back
Top Bottom