Mkuu unatakiwa kujua kuwa mtu akiwa na uwezo wa ku accumulate wealth huyo ndo ana akili kuliko wewe mwenye A's zako. Japo ungeachana na makaratasi ukaingia uraiani uhakika wa ku make ulikuwa mkubwa.
Yaani hizi elimu za darasani usipobahatisha kupata ajira kwenye sekta yenye marupurupu ndiyo...
Of course baada ya kusikia purukushani za kuvamiwa bora angejiwahisha tu maana kwa vyovyote vile alitakiwa kujua wakimkamata lazima atatoa siri zote na baada ya hapo watamumaliza. Sasa hivi baada ya mission kufeli atasababisha wengi sana wapotezwe, hata kina Bashungwa na wenzake kutowekwa kwenye...
Unajua ukijiuliza hata uadui wa Nchimbi na mazeri hupati sababu ila ukiconnect dots unagundua kuwa huenda Nchimbi wakati akiwa balozi automatically walikuwa na mawasaliano na mabolozi wenzake akiwemo HP sasa naamini kulikuwa na mambo mazito wanayapanga kwa pamoja so baada ya kukamatwa HP huenda...
Mi nadhani wam
Uko sahihi sana mkuu. Usalama wa taifa wamefeli pakubwa sana yaani wamelifanya taifa letu lionekane la watu wajinga wajinga tu kwasababu ya kutumikia matumbo yao na watu wao kuliko kujali maslahi mapana ya nchi.
Ukiangalia tu hata yanayoendelea bungeni utaona kabisa hatuna watu...
Kila nikiusoma huu uzi naumia sana ulinipa matumaini makubwa sana juu ya kinachoenda kufanyika nchini.
Sikutegemea kama leo hii nchi ingebagazwa na kubanangwa namna hii.
Naumia sana kuona taifa letu limekosa uelekeo kila jambo liko shagara baghala haijawahi kutokea.
Yule naibu gavana kutoka Zanz kaja kimkakati hazina ya nchi yote itahamia Zanz walahi. Natamani tungekuwa na usalama wa taifa wazalendo hata kadhaa tu walioko huko juu lakini kwasasa hatuna kila kitu nchi itanyooshwa hasa na huyu mama
Ipo tu siku taifa zima tutakuja kuelewa kuwa hatukuwa na usalama wa taifa tulikuwa na genge la wahuni tu la kuiibia nchi huku hicho kikundi kikiwalinda wezi wa rasilimali za nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.