Kutoka hapana tunahitaji mpambanaji aliye ndani ya Ccm humohumo ili watibuane hasa. Akitoka yaani inakuwa haina maana inakuwa tu kama Msigwa alivyotoka Ccm kuja Chadema.
Hapa ndo Chadema na nyinyi huwa mnakuwa hamna akili yaani mnaamini eti mtu mpaka awe chamani kwenu ndipo aaminike badilisheni...
Ni kweli ila kuna wakati fanya hivyo na mara nyingi huwa wanakupima tu upepo ukimkubalia aende yeye mwenyewe anaanza tu kubadilika.
Sasa km mtu anakunyima mpaka kuichakata anakuwa na maana gani kwako mwache aende tu huwa haichukui siku nyingi kukaa sawa wiki mbili za mwanzo ndo utamkumbuka ila...
Mwache aende anakotaka kwenda usihofu kuhusu watoto kwa mfano mfe wote wewe na yeye unafikiria watoto hawatakua, sasa hapo chukulia anakufa yeye halafu wewe unabaki na watoto simple like that
Britanicca salute kwako una akili nyingi sana mkuu. Nakuomba wewe na wenzako mlisaidie hili taifa yaani tuifikirie miaka 200 au zaidi ya taifa na si hawa wanaofikiria matumbo yao leo na kesho ya watoto wao tu. Watoto wa Tanzania ni wengi kuliko watoto wa walafi wa madaraka na wafujaji wa...
Nadhani hili ni kaburi kwa ajili ya mtu fulani ambaye aidha anastafishwa kwa maslahi ya nchi na si unajua kaburi linakuwa ni nyumba anayoishi mteule tu so huenda Kuna mnene mmoja ambaye ni kikwazo kwa taifa kusonga mbele yuko mbioni kuliwa kichwa. Britanicca hawezi kumaanisha nyumba ya kawaida...
Natamani sana mabadiliko yatokee ila Ccm limekuwa kama zimwi halitegemei tena kura za kwenye ballot box bali time ya uchaguzi na wakurugenzi ndo wanakuwa wapishi wakubwa wa data na kuwabebesha walimu na polisi kulinda uhalifu wa kura
Huu mkeka ulishachanika vibaya sana. Huyu mwandishi yuko kundi pendwa ni kama walikuwa wanatulaghai tu watanzania tuingie kingi then mipango yao iendelee kama kawaida
Hakuna mtu wa kipindi hiki aliyekuwa mzalendo kwa taifa kama HHP kama aliweza kunyakuliwa bila hata usalama wa taifa kuhoji au kuhakikisha anapatikana ujue hapa hatuna usalama kwa ajili ya taifa bali tuna usalama wa kikundi fulani cha watu
Nadhani ni kuachiwa kwa mwenyekiti wa wale jamaa.
Hata hivyo ikiwa hivyo litakuwa jambo jema Sana na baada ya kuachiwa ni vema mambo mengine yafanyike wanguwangu Sana maana ni kama taifa limesimama sana hakuna kinachoendelea cha maana nchini ni Bora michakato ya katiba na time huru ya uchaguzi...
Inahitajika usiwe mkosoaji wa serikali kutuma namba yako kwa mashirika haya ya serikali maana hayaaminiki na serikali hii haitaki kabisa kukosolewa hivyo kama unataka kuunganishwa kwenye kesi za ugaidi wape namba tanesco
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.