Recent content by Mnanguliti

  1. M

    Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    Kwani huoni asilimia kubwa ya walimu walivyo duni. Na unajua kabisa serikali inatumia uduni wao kupitisha mambo yake na inawaacha kama walivyo
  2. M

    Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    Mkuu unatakiwa kujua kuwa mtu akiwa na uwezo wa ku accumulate wealth huyo ndo ana akili kuliko wewe mwenye A's zako. Japo ungeachana na makaratasi ukaingia uraiani uhakika wa ku make ulikuwa mkubwa. Yaani hizi elimu za darasani usipobahatisha kupata ajira kwenye sekta yenye marupurupu ndiyo...
  3. M

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Of course baada ya kusikia purukushani za kuvamiwa bora angejiwahisha tu maana kwa vyovyote vile alitakiwa kujua wakimkamata lazima atatoa siri zote na baada ya hapo watamumaliza. Sasa hivi baada ya mission kufeli atasababisha wengi sana wapotezwe, hata kina Bashungwa na wenzake kutowekwa kwenye...
  4. M

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Sukuma gang shitukeni mtamalizwa wote maana mmekaa kishamba sana wakati mna support ya wananchi.
  5. M

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Unajua ukijiuliza hata uadui wa Nchimbi na mazeri hupati sababu ila ukiconnect dots unagundua kuwa huenda Nchimbi wakati akiwa balozi automatically walikuwa na mawasaliano na mabolozi wenzake akiwemo HP sasa naamini kulikuwa na mambo mazito wanayapanga kwa pamoja so baada ya kukamatwa HP huenda...
  6. M

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Hakuna connection na kukamatwa kwa HP kweli, huenda HP alikuwa na mawasiliano solid sana na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali hii
  7. M

    Tuambizane kiume, je ni sahihi kumrudia na kumuoa mwanamke mliyewahi kuachana baada ya yeye kuzaa na mtu mwingine?

    Nitakujibu kwa maneno matatu kama qlivyotuambia Mzee Butiku kuwa alimjibu Balozi Humphrey Polepole Fuata dhamira yako
  8. M

    Wakati Taasisi za Intelejensia Kenya, Marekani na Uingereza zikijikita kuyaimarisha Mataifa yao kiuchumi, huku TISS inapambana CCM ibaki madarakani

    Mi nadhani wam Uko sahihi sana mkuu. Usalama wa taifa wamefeli pakubwa sana yaani wamelifanya taifa letu lionekane la watu wajinga wajinga tu kwasababu ya kutumikia matumbo yao na watu wao kuliko kujali maslahi mapana ya nchi. Ukiangalia tu hata yanayoendelea bungeni utaona kabisa hatuna watu...
  9. M

    Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Kila nikiusoma huu uzi naumia sana ulinipa matumaini makubwa sana juu ya kinachoenda kufanyika nchini. Sikutegemea kama leo hii nchi ingebagazwa na kubanangwa namna hii. Naumia sana kuona taifa letu limekosa uelekeo kila jambo liko shagara baghala haijawahi kutokea.
  10. M

    Wakati Taasisi za Intelejensia Kenya, Marekani na Uingereza zikijikita kuyaimarisha Mataifa yao kiuchumi, huku TISS inapambana CCM ibaki madarakani

    Itoshe tu kusema Tanzania hatuna usalama wa taifa. Tuna kundi lakuhakikisha usalama wa wezi wa rasilimali tu ukipenda liite tiss
  11. M

    Uuzaji wa Akiba ya Dhahabu ni dalili mbaya ya kushindwa kwa dola

    Hatuna viongozi wa kusimamia barabara rasilimali zetu mkuu. Hawa tulionao ni wapigaji tu hakuna lolote
  12. M

    Uuzaji wa Akiba ya Dhahabu ni dalili mbaya ya kushindwa kwa dola

    Yule naibu gavana kutoka Zanz kaja kimkakati hazina ya nchi yote itahamia Zanz walahi. Natamani tungekuwa na usalama wa taifa wazalendo hata kadhaa tu walioko huko juu lakini kwasasa hatuna kila kitu nchi itanyooshwa hasa na huyu mama
  13. M

    Uuzaji wa Akiba ya Dhahabu ni dalili mbaya ya kushindwa kwa dola

    Ipo tu siku taifa zima tutakuja kuelewa kuwa hatukuwa na usalama wa taifa tulikuwa na genge la wahuni tu la kuiibia nchi huku hicho kikundi kikiwalinda wezi wa rasilimali za nchi.
Back
Top Bottom