Recent content by Mnanguliti

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kitakachokwenda kutokea mwaka 2026 Huu ni Ufunuo kwa Ulimwengu

    Nadhani hakuna sababu ya kuliombea taifa acha hizo nguzo zitikisike ili taifa lianze upya. Taifa limenajisiwa sana na huu utawala Mungu afanye tu yake ikiwezekana aue top layer yote iliyojishindisha uchaguzi, akiteketeza wote mpaka level ya uwaziri litakuwa jambo jema sana.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    Msigwa anafafanua nini wakati mkuu wake alifanya marekebisho hapohapo badala ya 8000 usd ikawa 800usd na 6000 euro ikawa 600 euro na hiyo ni kwa lite moja
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kumteua Anjela Kizigha ni wazi dozi ya Oktoba 29 haikukuingia vizuri

    Siyo huyu mama tu watanzania wote kwasasa ni ama hatuna akili au tumerogwa kwa kiwango cha kutisha. Hasa majeshi yetu Kuna wakati nawaza hivi hii nchi ina jeshi kweli ina usalama wa taifa kweli ina deep state kweli. Taifa limekuwa la mazombi lote anyway sisi wananchi wakawaida hatuna namna ya...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    Kwani huoni asilimia kubwa ya walimu walivyo duni. Na unajua kabisa serikali inatumia uduni wao kupitisha mambo yake na inawaacha kama walivyo
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    Mkuu unatakiwa kujua kuwa mtu akiwa na uwezo wa ku accumulate wealth huyo ndo ana akili kuliko wewe mwenye A's zako. Japo ungeachana na makaratasi ukaingia uraiani uhakika wa ku make ulikuwa mkubwa. Yaani hizi elimu za darasani usipobahatisha kupata ajira kwenye sekta yenye marupurupu ndiyo...
  6. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Of course baada ya kusikia purukushani za kuvamiwa bora angejiwahisha tu maana kwa vyovyote vile alitakiwa kujua wakimkamata lazima atatoa siri zote na baada ya hapo watamumaliza. Sasa hivi baada ya mission kufeli atasababisha wengi sana wapotezwe, hata kina Bashungwa na wenzake kutowekwa kwenye...
  7. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Sukuma gang shitukeni mtamalizwa wote maana mmekaa kishamba sana wakati mna support ya wananchi.
  8. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Unajua ukijiuliza hata uadui wa Nchimbi na mazeri hupati sababu ila ukiconnect dots unagundua kuwa huenda Nchimbi wakati akiwa balozi automatically walikuwa na mawasaliano na mabolozi wenzake akiwemo HP sasa naamini kulikuwa na mambo mazito wanayapanga kwa pamoja so baada ya kukamatwa HP huenda...
  9. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Possibly mkuu
  10. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Hakuna connection na kukamatwa kwa HP kweli, huenda HP alikuwa na mawasiliano solid sana na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali hii
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuambizane kiume, je ni sahihi kumrudia na kumuoa mwanamke mliyewahi kuachana baada ya yeye kuzaa na mtu mwingine?

    Nitakujibu kwa maneno matatu kama qlivyotuambia Mzee Butiku kuwa alimjibu Balozi Humphrey Polepole Fuata dhamira yako
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wakati Taasisi za Intelejensia Kenya, Marekani na Uingereza zikijikita kuyaimarisha Mataifa yao kiuchumi, huku TISS inapambana CCM ibaki madarakani

    Mi nadhani wam Uko sahihi sana mkuu. Usalama wa taifa wamefeli pakubwa sana yaani wamelifanya taifa letu lionekane la watu wajinga wajinga tu kwasababu ya kutumikia matumbo yao na watu wao kuliko kujali maslahi mapana ya nchi. Ukiangalia tu hata yanayoendelea bungeni utaona kabisa hatuna watu...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Kila nikiusoma huu uzi naumia sana ulinipa matumaini makubwa sana juu ya kinachoenda kufanyika nchini. Sikutegemea kama leo hii nchi ingebagazwa na kubanangwa namna hii. Naumia sana kuona taifa letu limekosa uelekeo kila jambo liko shagara baghala haijawahi kutokea.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Wakati Taasisi za Intelejensia Kenya, Marekani na Uingereza zikijikita kuyaimarisha Mataifa yao kiuchumi, huku TISS inapambana CCM ibaki madarakani

    Itoshe tu kusema Tanzania hatuna usalama wa taifa. Tuna kundi lakuhakikisha usalama wa wezi wa rasilimali tu ukipenda liite tiss
  15. M

    JamiiForums Tanzania Uuzaji wa Akiba ya Dhahabu ni dalili mbaya ya kushindwa kwa dola

    Hatuna viongozi wa kusimamia barabara rasilimali zetu mkuu. Hawa tulionao ni wapigaji tu hakuna lolote
Back
Top Bottom