Mkuu Tlaa nadhani una maumivu makubwa sana kwa balozi kutoweka. Sifurahii pia ila tujifinze kuheshimu mawazo jumuishi ya watu wenye Nia njema na taifa, wewe na wenzako mnakosea sana mnapokumbatia uchawa wa kijinga.
Ccm yenu ya uchawa ni tofauti na Ccm ya wanamtandao tusimamieni ukweli wote ili...
Hivi mkuu Pasco ndo kusema hatima ya Nchimbi ndiyo imetwmatika hivyo. Inamaana huyu mtu alikuwa hapendwi kiasi hiki na wanaccm kiasi kwamba hakuna anayeweza kunyanyuq ulimi wake na kumtetea.
Ungetest boss ukikemewa unajidai ulikuwa na mapepo anakuombea mwisho wa siku unaondoka akiwa amejipa ushindi kwa uwezo wa kukemea mapepo ipo siku ungekuja kufanikiwa tu lbd kama hujamwelewa
Yeah tungeishi kulingana tu na mazingira coz mpaka leo Kuna tamaduni watu wanaishi primitively na hawaoni kama kuna shida ila wewe na Mimi ambao angalau tumeonja usasa tunawaona washamba mfano jamii za kifugaji kama wamasai, wahadzabe, wasukuma, wagogo, wabarbaig, nk ila jamaa wako comfortable...
Maisha Wala yasingekuwa magumu maana ugumu unakuja pale kunapokuwa na kitu cha kuyalinganisha. Hata kipindi cha stoneaage watu waliona hayo ndo maisha Sasa na hasa walipokuja kugundua moto maisha yakawa kwenye viwango visivyomithilika
Watawala wanapoona huu ukondoo wetu ndo wanazidi kuona hata kama watatufanyia chochote kibaya hatuna kauli.
Bila Mungu kuingilia kati mateso tunayofanyiwa yatatumaliza wote
""Ehee wameanza kujichanganya makamu mteule anasema atakuwa ni makamu atakayemsaidia zaidi na si kumpinga"" Kwani ni nani aliyekuwa makamu aliyempinga rais. Mama Samia ruhusu michakato wa kumpata mgombea kupitia Ccm kwani tuna utaratibu kila baada ya miaka 10 tunaweka ingizo jipya wewe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.