Nadhani hakuna sababu ya kuliombea taifa acha hizo nguzo zitikisike ili taifa lianze upya. Taifa limenajisiwa sana na huu utawala Mungu afanye tu yake ikiwezekana aue top layer yote iliyojishindisha uchaguzi, akiteketeza wote mpaka level ya uwaziri litakuwa jambo jema sana.
Msigwa anafafanua nini wakati mkuu wake alifanya marekebisho hapohapo badala ya 8000 usd ikawa 800usd na 6000 euro ikawa 600 euro na hiyo ni kwa lite moja
Siyo huyu mama tu watanzania wote kwasasa ni ama hatuna akili au tumerogwa kwa kiwango cha kutisha. Hasa majeshi yetu Kuna wakati nawaza hivi hii nchi ina jeshi kweli ina usalama wa taifa kweli ina deep state kweli.
Taifa limekuwa la mazombi lote anyway sisi wananchi wakawaida hatuna namna ya...
Mkuu unatakiwa kujua kuwa mtu akiwa na uwezo wa ku accumulate wealth huyo ndo ana akili kuliko wewe mwenye A's zako. Japo ungeachana na makaratasi ukaingia uraiani uhakika wa ku make ulikuwa mkubwa.
Yaani hizi elimu za darasani usipobahatisha kupata ajira kwenye sekta yenye marupurupu ndiyo...
Of course baada ya kusikia purukushani za kuvamiwa bora angejiwahisha tu maana kwa vyovyote vile alitakiwa kujua wakimkamata lazima atatoa siri zote na baada ya hapo watamumaliza. Sasa hivi baada ya mission kufeli atasababisha wengi sana wapotezwe, hata kina Bashungwa na wenzake kutowekwa kwenye...
Unajua ukijiuliza hata uadui wa Nchimbi na mazeri hupati sababu ila ukiconnect dots unagundua kuwa huenda Nchimbi wakati akiwa balozi automatically walikuwa na mawasaliano na mabolozi wenzake akiwemo HP sasa naamini kulikuwa na mambo mazito wanayapanga kwa pamoja so baada ya kukamatwa HP huenda...
Mi nadhani wam
Uko sahihi sana mkuu. Usalama wa taifa wamefeli pakubwa sana yaani wamelifanya taifa letu lionekane la watu wajinga wajinga tu kwasababu ya kutumikia matumbo yao na watu wao kuliko kujali maslahi mapana ya nchi.
Ukiangalia tu hata yanayoendelea bungeni utaona kabisa hatuna watu...
Kila nikiusoma huu uzi naumia sana ulinipa matumaini makubwa sana juu ya kinachoenda kufanyika nchini.
Sikutegemea kama leo hii nchi ingebagazwa na kubanangwa namna hii.
Naumia sana kuona taifa letu limekosa uelekeo kila jambo liko shagara baghala haijawahi kutokea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.