Recent content by mnangagwa

  1. mnangagwa

    JamiiForums Tanzania Dalili za ugonjwa wa H-PYLORI

    Mwnye kuhitaji h pyroli kit anitafute ninazo box tano,mzee ana vidonda vya tumbo ila hatumii hizi dawa,huwa anachukua mambo ya bima ila hazitumii.0738832800
  2. mnangagwa

    JamiiForums Tanzania Jamii tuzungumze kuhusu baadhi ya wababa na matunzo kwa watoto

    Heshima yako mkuu,mimi ni miongoni mwa baba niliyepata changamoto ya kuvunjika ndoa yangu kwa makosa ya aliyekuwa mke wangu,kesi ilifika ustawi wa jamii stakishari ikaonekana alikuwa na makosa ya kuchepuka had kupachikwa ujauzito ambao alilazimisha kuwa ni wangu,baada ya kuona upepo umemwendea...
  3. mnangagwa

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hongereni sana,niko hapa Nmb mkuranga nasikilizia bado.
  4. mnangagwa

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Ww ungekuwa una kazi ya maana au mfanyabiashara mwny pesa zake usingekuwa muda huu unachungulia uzi wa walalahoi.
  5. mnangagwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi ya wanawake wa maofisini ni mtihani

    Unakutana na mwanamke kwny daladala anakuangalia mpaka unahisi hauko salama,kumbe anahitaji japo umtamkie neno lolote au umsemeshe,
  6. mnangagwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi ya wanawake wa maofisini ni mtihani

    Na wakipata ndoa wanakuwa pasua kichwa.
  7. mnangagwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa Vyuo na vyuo vikuu, Tumieni njia halali za kutafuta pesa. Mwenzenu yamemkuta

    Baadae utasikia wanaume tunaitwa vibamia kumbe ushatombwa mpaka na mbwa uchi umekuwa kama gagulo.
  8. mnangagwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume mnaharaka sana wakati wa kufanya mapenzi, na hamna ubunifu, shida ni nini?

    Yaani wanawake wanataka wakojozwe sio,nimtongoze,nimhonge,nilipie lodge baada ya tendo nimlipe tena halafu anataka nimkojoze,nikishakojoa mm na kwa sbb mm ndie niliyelipia huduma nikiridhika imetosha,kama mnataka kukojozwa mlipie huduma na kila mtu ashinde mechi zake.
  9. mnangagwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usioe au kukaa na binti bila kumpiga radar wengi ni mapilot na wachawi sugu

    Kweli kabisa ndg mm ni mhanga wa mambo hayo,nilioa mwanamke msambaa mwnyeji wa lushoto ,ni Wale wavaa majuba huyo mama ni mchawi mno,kama ni mizigo nilibeba ya kutosha,nimemwacha kwa mbinde kweli baada ya kuishi nae miaka 12,
  10. mnangagwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

    KWny ushirikina na umalaya ni pro max,mm ndoa ya miaka10 ilibidi ivunjike tu nipate amani ya moyo.
  11. mnangagwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

    Alimpeleka kwa mpalange
  12. mnangagwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni kufahamu sifa za wanawake wa Kipare

    Ndg yangu ni kama unanisemea mm,nilioa mpare ni wale wa majuba hakuna sala na funga zinazompita ila sasa,ni mshirikina sijapata ona,nimeponea chupu chupu kuuliwa ili abaki kwny mji,kesi yetu ilifika hadi kwa kadhi dsm kwa njinsi alivyo kadhi alihisi namsingizia,nilivyoweka ushahidi mezani kadhi...
  13. mnangagwa

    JamiiForums Tanzania Athari ya vita vya Gaza na Ukraine zaenea dunia nzima.Spain na Italy zajitenga na mpango wa EU kuisaidia Ukraine huku UK ikiipa onyo Israel

    Illa kuwaruhusu wavulana kuingiliwa kinyume na maumbile na mapadri ruksa.
  14. mnangagwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nakuomba tuliza kabisa Akili yako kisha tumia D mbili kama ulisoma Cuba au Israeli kama Mimi kisha sema hapa Waziri Gwajima kamaanisha nini hasa?

    Hongera sana mheshimiwa,na nashukuru sana kwa nasaha zako ulizonipa kipindi niko ktk mgogoro na mke wangu,ila nakuomba ufuatilie kwny mahakama zinazohusiana na migogoro ya kifamilia wanaume tunaonewa sana,unakuta watumishi wote wa mahakama hizo ni wanawake wanabebana sana sana,wanatuvunja moyo...
  15. mnangagwa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

    Mwasi nanga
Back
Top Bottom