Dalili za ugonjwa wa H-PYLORI

Dalili za ugonjwa wa H-PYLORI

ngoja nijaribu pylorikit hizo amoxillin metranidazole na omaprazole nishatumia ni kama zinatuliza tu ila huponi moja kwa moja
Ukitumia bila mpangilio unaweza kusabisha usugu ,, hawa bacteria niwakutibu kwa makini sana lakini hizo ni dozi za awali na unaweza kutumia hiyo pylory kit usipone pia, nakushauri chukua za siku 14. Kisha upime tena kama bado rudia kwa ushauri wa Dactari
 
Ukitumia bila mpangilio unaweza kusabisha usugu ,, hawa bacteria niwakutibu kwa makini sana lakini hizo ni dozi za awali na unaweza kutumia hiyo pylory kit usipone pia, nakushauri chukua za siku 14. Kisha upime tena kama bado rudia kwa ushauri wa Dactari
Hao pylory ni bacteria wa dunia ya tatu, unaweza kuwapata kwa stress tu.

Sasa jiulize Watanzania wangapi wanaishi bila stress?
 
Upotoshaji upi? Stress inazidisha uzalishwaji wa acid tumboni na inakuletea vidonda vya tumbo.
Ni sawa lakini H.pylory sio vidonda bali ni bacteria wanaoweza kusababisha vidonda vya tumbo , bacteria hawa huambukiza . Tofauti na vidonda vinavyosabishwa na stres au mpangilio mbovu wa kula ambavyo kimsingi haviambukizi
 
dawa inaitwa

H pylori Kit​

ndio ina mkusanyiko wa dawa tatu
Mwnye kuhitaji h pyroli kit anitafute ninazo box tano,mzee ana vidonda vya tumbo ila hatumii hizi dawa,huwa anachukua mambo ya bima ila hazitumii.0738832800
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom