Recent content by Mnama

  1. Mnama

    Duniani hakuna watu wanafiki kama waarabu

    Sikiliza wa mpumbavu mimi naongelea sheria iliyotungwa siongelei alichokifanya yeyote.
  2. Mnama

    Duniani hakuna watu wanafiki kama waarabu

    Sheria ya kihuni na kibaguzi hiyo maana inalenga upande mmoja tu wa wapalestina wakati kuna waisraeli wahuni pia wanaua wapaelstina wasio na hatia.
  3. Mnama

    Wengi hawapendi JPM akumbukwe kwa Uzuri: lakini atabaki kuwa chaguo la watanzania wengi

    Yeye ndio katuletea haya matatizo yote why alimchagua kuwa mgombea mwenza akijua kabisa incase of anything.........? bado hujanishawishi.
  4. Mnama

    SI KWELI Ni kweli Kikwete amesema watoto wake hawatapata hata shilingi moja kutoka kwenye utajiri wake wa fedha taslimu?

    Wongoooo.......hiyo ni budget ya nchi. ana hela ila hazifiki huko.
  5. Mnama

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kazi ipo............mafuta yatafika TZS.5,000
Back
Top Bottom