Recent content by Mnachihanguuu

  1. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Bashe Atunukiwa Tuzo ya Sera Bora za Mifumo ya Kilimo.Amedhihiridha Alikuwa Mtu Sahihi Wa Kusimamia Wizara ya Kilimo

    Ushahidi ninao mkubwa sana kwasababu mimi nipo kwenye maghala makuu ya Tanecu wew chawa njoo uwaambie huku maghalani kuwa Bashe ni mzalendo utachekwa sana....Tuzo sio tatizo hata wakina samia na kikwete si walipewa tuzo?
  2. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Ni nani aliyemshauri Samia kufanya safari za ndege DSM kwenda Urusi? Huyo mtu kama yupo, afukuzwe Kazi!

    Aisee samia huyuhuyu kiazi awe ndie chief organizer wa kuitoa eti afrika? Ccccm ni mandondocha mno
  3. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini tafuteni zao mbadala la biashara,Mahindi Kwa Sasa yanalimwa Kila pembe ya Nchi.Hadi Singida bei ni 45,000

    Yaani humu ndani Kuna wajinga wengi mno jambo wasilolijua hiyo bei sio ya ajabu kwa mkulima wa nchi hii na masika bei itapaa tu
  4. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Bashe Atunukiwa Tuzo ya Sera Bora za Mifumo ya Kilimo.Amedhihiridha Alikuwa Mtu Sahihi Wa Kusimamia Wizara ya Kilimo

    Bashe ni mpigaji sio kwakusimuliwa ila kwakujionea mwenyewe huku kwenye maghala ya tanecu newala
  5. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini tafuteni zao mbadala la biashara,Mahindi Kwa Sasa yanalimwa Kila pembe ya Nchi.Hadi Singida bei ni 45,000

    Dogo una stress za maisha sana mkulima analima zao analoona mwenyewe linamfaa
  6. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Nadhani bado haujaelewa nilichokueleza binti yangu
  7. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Muhoozi Kainerugaba anataka kuanza kumkamua mkosoaji wake utumbo.

    Mkuu kwema? Hivi Abdul akiamua kufanya hayo unadhani Kuna mtu anaweza kunyanyua mdomo kulaani hadharani? Siamini kama waganda na watanzania wana utofauti
  8. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania wanawake wamemshambulia jamaa kwa wingi lakini huu ndio ukweli mchungu

    Haya mambo yanaumiza mno
  9. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Ndio maana nikakuambia maisha yana siri sana binti yangu
  10. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Hivi una uelewa na mambo haya au wewe ni chawa tu?
  11. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Ni kweli ila huyu jamaa ni kiazi sana kwasababu lissu na mnyika walikuwa wanakwepa kuiingiza neno serikali ila yeye kataja aisee anazingua mno
  12. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Hata mimi nimeona hiyo sehemu na nimeshangaa sana huyu gogulwa ni kiazi
  13. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Maisha yana siri usishangae hata mama yako mzazi aliekuzaa nae anasagana
Back
Top Bottom