Recent content by Mnachihanguuu

  1. Mnachihanguuu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mimi siwezi kukasirika kwa vitu kama hivi
  2. Mnachihanguuu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hoja ni wewe kushambulia wakristo pekeyake ukawaAcha na wengine wakati hivi vita kwahuku Africa ni vita vya kidini
  3. Mnachihanguuu

    Tukumbushane tukio la Ujambazi pale Ubungo Mataa mwaka 2006

    Risasi isikie tu aisee nakumbuka ilikuwa awamu ya pili ya mzee mkapa na huku kwetu ndio ulikuwa msimu wa korosho.Wakati huo hakukuwa na stakabadhi ghalani ilikuwa ukipima korosho pesa unaipata palepale,Sasa kijijini kwetu hakukuwa na pesa ghalani ndio taarifa zikadai kuwa malatu juu pesa...
  4. Mnachihanguuu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwahiyo akiongea gwajima unaona ndio muwakilishi wa wakristo?
  5. Mnachihanguuu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hili swala lipo pande zote mimi nipo mtwara mjini na hapa waislamu ni 98% na hao wote wanaishabikia iran na wasomi wao wa dini wanaeleza kabisa huu ndio wakati wa mayahudi na makafiri kufa
  6. Mnachihanguuu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwahiyo ukristo hapo unaingiaje inamaana mtu Akiwa upande wa marekani ni mkristo na vipi mtu Akiwa upande wa Iran kama wewe napo tuseme ni waislamu? Unajifanya kujua sana ndio maana unataka kila unachoandika watu wakikubali wakati mtu mwenyewe unagoogle
  7. Mnachihanguuu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Waswahili aisee eti unauliza irani kaunda lini kombora yaani unavyouliza ni kama mtu wa maana vile
  8. Mnachihanguuu

    BMW wamezindua BMW i3 Sedan | Hii ni 3 Series ya Umeme!

    Mkuu mwezi wa nne nitakutafuta tuongee jambo aisee nishachoka bodaboda
  9. Mnachihanguuu

    Mufti Mkuu Abubakar: Mkristo hawezi mfanyia fujo Muislam

    Angalia hata wewe unaonyesha chuki zako badala uandike wakristo huwa unaandika wakiristo
  10. Mnachihanguuu

    Ushauri Kocha wa Yanga hana sifa atafutwe kocha mwingine

    Ajue wapi mpira mpuuzi huyo okello eti atokee pembeni unategemea nini
  11. Mnachihanguuu

    Ushauri Kocha wa Yanga hana sifa atafutwe kocha mwingine

    Mpuuzi wewe hauoni aibu kudanganya eti dar mzima wakujue labda wakujue kama choko....mtu yeyote aliecheza mpira hawezi kusema eti okello hajui mpira mbuzi wewe
  12. Mnachihanguuu

    Ushauri Kocha wa Yanga hana sifa atafutwe kocha mwingine

    Ijifunze kwa simba ambapo timu ikifanya vizuri anapongezwa modewj na ikifanya vibaya anatukanwa na kupigwa mzee mangungu
  13. Mnachihanguuu

    Ushauri Kocha wa Yanga hana sifa atafutwe kocha mwingine

    Okello anaujua mpira kwasababu mimi ninayekuambia nimecheza mpira siropoki kama wewe ulieujulia mpira baada ya kuwa na smartphone tatizo kubwa la Yanga ni kocha
  14. Mnachihanguuu

    Ushauri Kocha wa Yanga hana sifa atafutwe kocha mwingine

    Mtu mwenye akili timamu hauwezi kumkosoa mwenzio kisa alivyoumbwa
Back
Top Bottom