Recent content by Mnachihanguuu

  1. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Katibu UDASA: Dkt. Kaijage aliniambia Mkipata nafasi msaidieni mke wangu

    Wewe ni zao la shule ya kata kwasababu hakuna mzee mwenye akili za panzi kama wewe
  2. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Aziz Ki yupo anainjoy jiji la Dar uku SIMBA inabung'aa macho tu

    Umetumia kipimo gani kusema kuwa unaujua mpira?
  3. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Katibu UDASA: Dkt. Kaijage aliniambia Mkipata nafasi msaidieni mke wangu

    Kumbe umuhimu ni bank account? Hizi shule za kata ni hasara
  4. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Katibu UDASA: Dkt. Kaijage aliniambia Mkipata nafasi msaidieni mke wangu

    Amekosea kuikosoa serikali bali alitakiwa asifie
  5. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Katibu UDASA: Dkt. Kaijage aliniambia Mkipata nafasi msaidieni mke wangu

    Siku ile uliyokawa unajifungua
  6. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Katibu UDASA: Dkt. Kaijage aliniambia Mkipata nafasi msaidieni mke wangu

    Wahadhiri inatakiwa wasifie na sio kukosoa
  7. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Enyi Wakiristo Abdullah bin Salam Mkuu wa Makuhani wa Kiyahudi alishuhudia kuwa hapana Mungu apasaye kuabudiwa ila Allah, na Mohamed ni Mtume wake

    Inafikirisha sana huyo myahudi aliapa kwa mola wa Musa na isa wakati kiuhalisia wayahudi wanaamini bado masihi(isa) hajafika duniani sasa hapo aliapaje? Na pia kisa kinaeleza kuwa alidai huyu Mohammad ndie nabii na Mtume wa mwisho kwa mujibu wa maandiko yao sasa atakuwaje wa mwisho wakati isa...
  8. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Mjue fisadi wa enzi za mwalimu

    Samia anadai mafisadi tuwazomee ili waone aibu..
  9. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyerere alia na unafiki wa Prof. Anna Tibaijuka

    Butiku anadai tumsikilize samia tu 🤣🤣🤣🤣🤣
  10. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Shahidi wa 18 akwamisha kesi yaahirishwa hadi Agosti 17, 2026

    Jana shahidi anaishia kukubali kila kitu anachoulizwa na lissu
  11. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Wamaasai hatukuagi romantic!

    Wapi huko wanaanza watu wazima,?
  12. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Naishauri TEC kulitazama upya Jimbo Katoliki la Kondoa kwa jicho la tatu.

    Kwahiyo kama RC hakuna Mungu je kwanani yupo huyo Mungu?
Back
Top Bottom