Recent content by Mnachihanguuu

  1. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Nini hasa chimbuko la CHADEMA kupwaya karibu katika kila idara kwenye siasa za Tanzania?

    Wimbo wa chadema imekufa haujaanza leo binti yangu
  2. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Nini hasa chimbuko la CHADEMA kupwaya karibu katika kila idara kwenye siasa za Tanzania?

    Waulize ccm waliogopa nini kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa Ikiwa chadema imekufa?
  3. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Rais wa Lebanon, Joseph Aoun alitoa kwa mara ya kwanza kauli kali zisizo za kawaida dhidi ya Hezbollah

    Aisee waswahili yaani ni wavumbuzi mno wa mawazo ya watu
  4. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Iran yalipiza kisasi kwa makombora makubwa kufuatia mashambulizi ya anga ya Israel dhidi ya Tehran na Isfahan

    Mwisho mbaya huwa anatoa nani? Na upoje?
  5. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kutoka kushindwa Uchaguzi, hadi Siasa za Huruma: Hoja kuhusu Mkakati wa CHADEMA

    Tuwe wakweli mimi nimeshiriki kwenye kampeni za mzee mkuchika jimbo la newala mjini niamini mzee alishinda uchaguzi wa 2005 tu chaguzi nyingine za 2010 ilitumika nguvu kutangazwa,2015 napo mzee alikosa yaani fikiria jimbo lote madiwani wa ccm walikuwa watatu na Kura za uraisi na udiwani...
  6. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kutoka kushindwa Uchaguzi, hadi Siasa za Huruma: Hoja kuhusu Mkakati wa CHADEMA

    Fikiria dogo magufuli anatoa kauli kuwa mkurugenzi nimekupa nyumba,gari na posho halafu unamtangaza mpinzani kashinda jeuri hiyo unaitoa wapi
  7. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kutoka kushindwa Uchaguzi, hadi Siasa za Huruma: Hoja kuhusu Mkakati wa CHADEMA

    Ndugu yangu Kuna wakati tuache ushabiki wa kipumbavu niamini nakuambia uchaguzi ukiwa huru na haki bila polisi amini nakuambia lile bunge litakuwa nusu kwa nusu kati ya vyama vya upinzani na Ccm
  8. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Israel yaendelea kuishambulia Iran. Yataka Vita ianze au iendelee. Yapiga maeneo nyeti ya Kijeshi

    Si tunaambiwa na ccm kuwa tuna kila rasilimali sisi kiasi kwamba mabeberu hawatufikii?
  9. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Jaji mstaafu David Maraga akamatwa kwenye maandamano Kenya

    Kiukweli wakenya wametuzidi vingi mno....sisi tupo busy na ubishi wa nairobi vs daresalama wapi kuzuri
  10. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Jipatie TV, redio, home theater, pasi, majiko soundbar na vingine vingi kwa bei ya store

    Kiongozi tv inch 42 ya bei rahisi inaanzia tsh ngapi?
  11. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Hotel inauzwa, ipo Mtwara, Tanzania. Bei ni dollar 1.6m

    Hii ndio Naf?
  12. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Hotel inauzwa, ipo Mtwara, Tanzania. Bei ni dollar 1.6m

    Hii ndio ikiitwa naf beach?
  13. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Wanazi wa Mabasi: Huu Ndiyo Uwekezaji Sasa!

    Naomba basi unitajie kiongozi hizo biashara
  14. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Wanazi wa Mabasi: Huu Ndiyo Uwekezaji Sasa!

    Mimi simjui hata sura yake ila taarifa zake nilizipata humu mtandaoni kwahiyo siwezi kuwa na shida binafsi na mtu nisiejuana nae kiongozi...mzee kikwete alisema akili za kuambiwa changanya na zako...summry anadai kilimo cha mahindi kinamlipa sana kiasi kwamba mtu mwingine anajiuliza mahindi...
  15. Mnachihanguuu

    JamiiForums Tanzania Wanazi wa Mabasi: Huu Ndiyo Uwekezaji Sasa!

    Umeongea jambo la msingi sana nidhamu ni kila kitu nina brother wangu yupo nannyanga kupata milion 15 za korosho ni jambo la kawaida ila chakushangaza mwezi wa 7 anakuambia sina hata mia nipe kula Maua kwa bei ya sh 1000 kwa kilo
Back
Top Bottom