Ushahidi ninao mkubwa sana kwasababu mimi nipo kwenye maghala makuu ya Tanecu wew chawa njoo uwaambie huku maghalani kuwa Bashe ni mzalendo utachekwa sana....Tuzo sio tatizo hata wakina samia na kikwete si walipewa tuzo?
Mkuu kwema? Hivi Abdul akiamua kufanya hayo unadhani Kuna mtu anaweza kunyanyua mdomo kulaani hadharani? Siamini kama waganda na watanzania wana utofauti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.