Risasi isikie tu aisee nakumbuka ilikuwa awamu ya pili ya mzee mkapa na huku kwetu ndio ulikuwa msimu wa korosho.Wakati huo hakukuwa na stakabadhi ghalani ilikuwa ukipima korosho pesa unaipata palepale,Sasa kijijini kwetu hakukuwa na pesa ghalani ndio taarifa zikadai kuwa malatu juu pesa...
Hili swala lipo pande zote mimi nipo mtwara mjini na hapa waislamu ni 98% na hao wote wanaishabikia iran na wasomi wao wa dini wanaeleza kabisa huu ndio wakati wa mayahudi na makafiri kufa
Kwahiyo ukristo hapo unaingiaje inamaana mtu Akiwa upande wa marekani ni mkristo na vipi mtu Akiwa upande wa Iran kama wewe napo tuseme ni waislamu? Unajifanya kujua sana ndio maana unataka kila unachoandika watu wakikubali wakati mtu mwenyewe unagoogle
Okello anaujua mpira kwasababu mimi ninayekuambia nimecheza mpira siropoki kama wewe ulieujulia mpira baada ya kuwa na smartphone tatizo kubwa la Yanga ni kocha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.