Tuwe wakweli mimi nimeshiriki kwenye kampeni za mzee mkuchika jimbo la newala mjini niamini mzee alishinda uchaguzi wa 2005 tu chaguzi nyingine za 2010 ilitumika nguvu kutangazwa,2015 napo mzee alikosa yaani fikiria jimbo lote madiwani wa ccm walikuwa watatu na Kura za uraisi na udiwani...
Ndugu yangu Kuna wakati tuache ushabiki wa kipumbavu niamini nakuambia uchaguzi ukiwa huru na haki bila polisi amini nakuambia lile bunge litakuwa nusu kwa nusu kati ya vyama vya upinzani na Ccm
Mimi simjui hata sura yake ila taarifa zake nilizipata humu mtandaoni kwahiyo siwezi kuwa na shida binafsi na mtu nisiejuana nae kiongozi...mzee kikwete alisema akili za kuambiwa changanya na zako...summry anadai kilimo cha mahindi kinamlipa sana kiasi kwamba mtu mwingine anajiuliza mahindi...
Umeongea jambo la msingi sana nidhamu ni kila kitu nina brother wangu yupo nannyanga kupata milion 15 za korosho ni jambo la kawaida ila chakushangaza mwezi wa 7 anakuambia sina hata mia nipe kula Maua kwa bei ya sh 1000 kwa kilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.