Recent content by Mna Nassa

  1. M

    Simiyu: Mkoa wenye sifa ya kipekee kwa siasa za upinzani Tanzania

    Niwasaidie kwa hili,mimi ni mzawa wa jimbo la busega,kata ya mwamanyili tarafa ya busega,hoja ya kwamba busega imewahi kuwa ya upinzani si sahihi,UDP mwaka 97 wakiongozwa na cheyo kama mgombea wao walishinda jimbo la MAGU,ulikuwa uchaguzi mdogo kufuatia kifo cha mbunge wa magu bwana...
  2. M

    Kibanda: Hii serikali ni ya Kidikteta, nipo tayari kwa lolote

    Anatuzuga tu,walimwaga mboga akashindwa kumwaga ugali,kuzoa ndo aweze?
  3. M

    Baada ya Operation ya Busanda, sasa ni Kwimba - Kijiji kwa Kijiji...

    Mpaka sasa kamanda MAWAZO umeshaungana na mashujaa wa kisukuma wafuatao,ng'hwana malonde,kasasala na wengine nisiowafahamu ambao walikuwa tayari kufa wakitetea masilahi ya watu wao,ndelea kuwatoa wasukuma kwenye magunia ya ccm
  4. M

    CHADEMA yampuuza Nape

    Mpuuzi huwa anapuuzwa
  5. M

    Jimbo la Busega sasa CCM Kwaheri

    Na mimi nakuja,kwetu nassa ginery,mwezi wa sita nilikuwa nyumbani wananchi wameamka,wanaijua CHADEMA na baadhi ya sehemu wanao uongozi wa chama,kwa kifupi busega inahitaji fikra mpya,maisha magumu na ajira hakuna,vijana wa umri wangu sasa ni wazee,wasomi wa busega mpo?,twendeni nyumbani,BUSEGA...
  6. M

    Walimu muwe macho na siasa majitaka za CHADEMA, hakuna waraka ni uzushi tu

    Hivi wanaohitaji maboresho ya mishahara ni walimu ama chadema?,kwa mfano mishahara ya walimu ikiboroshwa chadema watapata faida gani?,iacheni chadema maana ndo imewatoa watanzania kwenye magunia ya ccm sasa wapo kwenye matenga wanaona kila kitu,pawepo na waraka ama usiwepo,walimu wanahitaji...
  7. M

    Naanza kuamini yalosemwa hapo zamani kuhusu Lema.

    Mtoa maada yuko baa
  8. M

    Siri imefichuka.. Viongozi CHADEMA kuweni makini

    Tuvumilie,mda si mrefu kutakucha
  9. M

    CCHADEMA yang'ara Uchaguzi mdogo wa Udiwani Sengerema, CCM na magari yao wanazomewa kila kona!

    Nipo viwanja vya shule ya msingi sengerema,chadema ni noma kiwanja kimejaa,ccm wako mnadani wa mgeni wao ni wasira,pamoja na matangazo mengi yupo mgeni,njeleja na watoto wa shule
  10. M

    Wenje aendeleza mazishi ya CCM Nyampulukano(Sengerema) sasa hivi!

    Si hayo tu wakati wenje na washabiki wa cdm wanatoka mkutanoni kwa maandamano ngeleja si akatokea kazomewa hadi akaanza kupiga makofi
  11. M

    Nape anazomewa muda huu Kata ya Kimandolu Arusha

    Hata Ngeleja kazomewa sengerema,amekutana na moto wa Wenje,niaibu
  12. M

    Mgombea wa TLP kata ya Elerai ahamia CHADEMA

    Hapa Sengerema Magamba wako ICU,hata mikutano ya kampeini hawafanyi,wananchi wamesusia mikutano yao
  13. M

    Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Lwakatare apata dhamana...

    Dunia hii imebeba watu wenye akili,wajinga,wanyonge na wapumbavu,siku zote wenye akili huwa wana jukumu la kuwatetea wanyonge ambao wamekuwa mtaji wa wapumbavu na wajinga kwa mda mrefu eti kwasababu wao wana mamlaka
Back
Top Bottom