Kamani kwa muda aliokaa madarakani amefanya mambo makubwa kwa muda wa miaka 2 amechimba marambo 7 sekondari 3 amejenga barabara mwasamba mkula imejengwa pesa ya mfuko wa jimbo inafanyakazi kwa uwazi shule nyingi za msingi zimenufaika na mfuko wa jimbo unaposema hajafanya lolote unataka amnunulie mkeo chupi ndiyo uamini ameleta maendeleo kwako, kamani sio mgawa pesa ya miwa kama mlivyo zoea yeye anasaidia vikundi siyo mtu mmoja kama unavyo taka wewe kuna vikundi vingi amevisaidia mfano kikundi cha wauza kabeji lamadi amewapatia mtaji, kikundi cha waendesha pikipiki nyashimo amewapatia pikipiki na kikundi cha manyam cha nyamikoma ni vikundi vingi sana ambavyo amevisaidia wewe unataka afanye nini uamini anafanya kazi? Muda wa miaka 2 ni mudogo sana lakini ameweza na kazi inaonekana wewe endelea kusubiri chadema ikuletee maendeleo nyumbani kwako,