Hapana tukiwapiga mawe matafuta sababu acha tuwazomee tuone kama mtafungua kesi ya kuwazomea..Wana Arusha na ukubwa wote huo bado mnatumia zomea zomea kama njia ya kumdharau mtu?
Kama ni hivyo basi hamjapevuka.
Kamanda upo?, Mkapa Dawa yake ni Vicent Nyerere anamwambiaga dawa na boflo ni chai...Wampeleke baba lao Mkapa akaokoe jahazi, teh teh teh
Kamanda upo?, Mkapa Dawa yake ni Vicent Nyerere anamwambiaga dawa na boflo ni chai...
Hivi kabisa kuna watu wanaweza kukaa na kumsikiliza nape?
Karibu sana kamanda....Nimerudi ndugu,hawa ccm hawana ujanja tena, kwisha habari yao
kibara wa chama chakavuHuyo hata akipigwa mawe shauri yake ! Tulimtahadharisha Mapema sana !
teh teh, anajitekenya mwenyewe! AhaaaMwanri anahutubia watu alio fuatana nao kwenye msafara njia ya Ulboru