1. Hao wote uliowataja hapo hakuna nabii hata mmoja. Nabii ni kama Elia, Elisha na Yohana Mbatizaji.
2. Hata kama kweli wangekuwa manabii. Haimaanishi kuwa maovu waliyofanya ni halali na sisi tuyafanye.
3. Ungejenga hoja yako kwa mazuri anayofanya Shilla kwa kulinganisha na waliyoyafanya...
Mkuu! Hela ya kwako bado una hangaika?
Mi huwa nahangaika wakati wa kusaka hela tu, na sio wakati wa kuitumia. Hapo saka benki nyingine tu fasta fungua akaunti anza kukimbiza mihamala fasta.
Unawafahamu vizuri HESLB au unawasikia mkuu? Mi nina statement 4 toka kwao, zote zina details zangu full. Ila kila moja ina amount (deni anzia) yake tofauti.
Ukitaka uumwe kichwa nenda ofisini kwao, utakaa masaa 9 ya siku bila msaada wowote. Hapo hujapewa jibu la kuudhi.
Shida ni kwamba hausianishi mshahara wake na huduma anayotoa. Yaani hajui kuwa mizigo ikisafirishwa mingi kupitia kampuni yake ndo anakuwa na uhakika zaidi wa mshahara.
Kusema ukweli hata mi leo ndo nimejua kuwa posta wanasafirisha mizigo
Heshima zenu wakuu.
Kuna gari asubuhi inawaka ila inakuwa kama ina miss hivi na rpm inakuwa chini sana hadi wakati mwingine inazima.
Ukiiacha kwa kama dakika 2 hivi miss inakata na rpm inatulia vizuri kabisa.
Hii hutokea asubuhi au kama umepaki gari muda mrefu - masaa kuanzia 3 na kuendelea...
Pia hakikisha hakuna dumu karibu hapo. Niliwahi shuhudia dumu linavutwa fasta nikamwambia hayo mafuta niwekee kwenye tenki la gari. sio kwenye hilo dumu lililovutiwa nyuma ya gari. Aliishiwa nguvu balaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.