The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,494
- 2,040
Labda sielewi au nasikiliza vibaya pindi wataalam na viongozi wetu wanapo zungumzia usafiri wa reli kua eti ni usafiri wa gharama nafuu ukilinganisha na barabara.
Majuzi nilikua na tani 30 za mahindi ili nisafirishe kutoka Mbeya kuja Dar es Salam nilipoenda kuuliza bei nikaambiwa kilo moja itasafirishwa kwa shs 220 uongeze na gharama za Porter's.
Nilipoamua kutafuta malory nilipata malory tofauti tofauti ambapo nikilinganisha bei zao nilipata wastani wa sh 80 kwa kilo.
Kutokana na ukweli huo nikajiuliza huo unafuu unaotajwa kusafirisha mizigo kwa njia ya reli ni kwa muktadha gani?
Majuzi nilikua na tani 30 za mahindi ili nisafirishe kutoka Mbeya kuja Dar es Salam nilipoenda kuuliza bei nikaambiwa kilo moja itasafirishwa kwa shs 220 uongeze na gharama za Porter's.
Nilipoamua kutafuta malory nilipata malory tofauti tofauti ambapo nikilinganisha bei zao nilipata wastani wa sh 80 kwa kilo.
Kutokana na ukweli huo nikajiuliza huo unafuu unaotajwa kusafirisha mizigo kwa njia ya reli ni kwa muktadha gani?