Mmwaminifu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 1,129
- 302
- Thread starter
- #21
Asanteni sana woooote kwa ushauri wenu. Hakika mmenipa mwanga mzuri. Kesho ntapita garage halafu ntaleta mrejesho.
Mara nyinyi huchangiwa na mafuta kuja kidogo kwenye engine muda ambao yalitakuwa kuja mengi.Heshima zenu wakuu.
Kuna gari asubuhi inawaka ila inakuwa kama ina miss hivi na rpm inakuwa chini sanaaaa hadi wakati mwingine inazima.
Ukiiacha kwa kama dakika 2 hivi miss inakata na rpm inatulia vizuri kabisa.
Hii hutokea asubuhi au kama umepaki gari muda mrefu - masaa kuanzia 3 na kuendelea huko.
Gari ni Rav 4 old model (3s engine).
Naombeni msaada wakuu ili nikienda garage angalau niwe na mwanga kidogo.
Naomba kuwasilisha
Engine ya 3s haina VVTi sensor.Tatizo laweza kuwa VVti sensor. Ndio inayo control rpm kwa kubalance mafuta na hewa. Nilipata tatizo hili lakini nilitatua kwa kubadili vvti sensor kwa 50k only
Ni valve gani hiyo mkuu?Ya huyu jamaa nadhan ni non vvti, yangu fundi alinisaidia kuosha hyo valve kwa diesel na kuipaka grease basi na changamoto ikaondoka moja kwa moja.
Hii ni throttle body.View attachment 1714901
Culprit wangu alikuwa hapa
Yaani kuwaka haina shida kabisa. Tatizo ikishawaka ndo shida zinaanza. Baada ya dakika 2 hadi 3 inatulia fresh kabisa kama sio ile.
Heshima zenu wakuu.
Kuna gari asubuhi inawaka ila inakuwa kama ina miss hivi na rpm inakuwa chini sana hadi wakati mwingine inazima.
Ukiiacha kwa kama dakika 2 hivi miss inakata na rpm inatulia vizuri kabisa.
Hii hutokea asubuhi au kama umepaki gari muda mrefu - masaa kuanzia 3 na kuendelea huko.
Gari ni Rav 4 old model (3s engine).
Naombeni msaada wakuu ili nikienda garage angalau niwe na mwanga kidogo.
Naomba kuwasilisha
Nashukuru sana kaka kwa kunifungua macho.Hii ni throttle body.
Nimeshamwona fundi, amefanya diagnosis na kuniambia nibadilishe fuel injection nozzles, fuel injection pump, petrol cleaner, ignition plugs na plug wires zake...
Engine ya 3s haina Mass Air Flow sensor.Kabla ua kwenda mbali jaribu kuchek hivi vitu viwili
1) ignition plug
2) Air intake system huenda inavuja sehemu au air mass flow sensor in shida
NB: Kwa wenye vyombo vya moto mjitahidi kuwa mnasoma soma hata You tube kuna vitu unaweza jifunza juu ya gari lako
🤣 🤣 🤣Dah hivi vitu vyote viharibike at once?
Tatizo lako umeshatatua?
Ni sawa. Hii inaweza kuwa sababu mojawapo japo zipo na nyingine nyingiRav4 Yangu iliwahi kupata shida kama hiyo na tatizo lilikuwa ni Engine coolant sensor, baada ya kubadili ikakaa vizuri
Kabla ya kugundua hii niliambiwa nibaidilishe plug, wire na coil nikafanya hivyo lakini havikufua dafu. Nikaamua nifanye uchunguzi wangu binafsi nikagundua shida ilipo.Ni sawa. Hii inaweza kuwa sababu mojawapo japo zipo na nyingine nyingi
Kwa plug si rahisi. Kuna hiyo sensor, Intake air temperature sensor au EGR. Mara nyingi tatizo ndio linakuwa hapo.Kabla ya kugundua hii niliambiwa nibaidilishe plug, wire na coil nikafanya hivyo lakini havikufua dafu. Nikaamua nifanye uchunguzi wangu binafsi nikagundua shida ilipo.
Mrejesho jombaa...Asanteni sana woooote kwa ushauri wenu. Hakika mmenipa mwanga mzuri. Kesho ntapita garage halafu ntaleta mrejesho.
Tuanzie hapa.Heshima zenu wakuu.
Kuna gari asubuhi inawaka ila inakuwa kama ina miss hivi na rpm inakuwa chini sana hadi wakati mwingine inazima.
Ukiiacha kwa kama dakika 2 hivi miss inakata na rpm inatulia vizuri kabisa.
Hii hutokea asubuhi au kama umepaki gari muda mrefu - masaa kuanzia 3 na kuendelea huko.
Gari ni Rav 4 old model (3s engine).
Naombeni msaada wakuu ili nikienda garage angalau niwe na mwanga kidogo.
Naomba kuwasilisha