1. Kumpa uhuru wa kuwasiliana nawe.
Wengi wapenzi upima na kuyafurahia upya mahusiano yao kwa kuona nafasi aliyonayo kimawasiliano na mpenzie au mwenza waliotoka kukosana na kuombana msamaha.
Ikiwa bado suala la mawasiliano ni la kutafuta kwa tochi, mambo kama lawana, kuonesha dharau na...
Mapenzi uumiza, ushawahi jiuliza inakuwaje amani imetawala, bata unazila, mapenzi yamenoga alafu ghafla mpenzio/mwenza wako anakuambia "mimi na wewe basi".
Zipo sababu za kujifunza kuyaepuka haya na pia kuwa tayari kuyapokea mapya usiyo yatarajia kwenye mapenzi.
1. Uoga wa maisha.
Mpenzi/...
1. Kihisia - ni kuanzisha mahusiano na kudumu nae kwa kuwa umeguswa naye kifikra kuwa naye.
2. Kimahitaji- ni kuanzisha mahusiano na kudumu nae kwasababu unakitu unakipata kwake cha kuziba pungufu lako kama kuanzisha upate fedha, mali, kusomeshwa, kula nk
Sana ndugu Surya, napofanya ushauri na elimu huwa nakutana na watu wanakuelezea walivyotoa mali na pesa hadi kuna wakati nasema " dah kuna watu wanapewa ndoto za watu lakini bado hawashikiki hisia zao".
Shida watu wengine wanashindwa kutambua kuwa kuna mahusiano ya aina mbili:
1. Ya hisia
2. Ya...
1. Kutumia lugha asiyoijua
Ni hadhi mtu kutumia lugha fulani kuonyesha wewe ni msomi, mjuaji au umetembea, lakini ni mbaya kwa mpenzio ambaye hana maarifa hayo, uona kama umedharau na kumkejeli.
Tumia lugha ya kueleweka ili uonyeshe wewe na yeye ni wamoja na unakusudi zuri kwake kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.