Huyu anakusaidia tu na hii ndo ubaya wenu nyie MTU anakusaidia na dhiki zako tayari mawazo kwe mambo down affair tu sijui mnakuwaga VP nyie akh!! Sipendagi ujinga mm.
Mkoani morogoro maeneo ya wilaya ya ulanga ,mahenge/ilonga au mbuga waweza waona kule kuna mabwawa makubwa na mito inayotokea kwenye hifadhi ya seras game reserve pia maeneo ya Ifakara kwenye mabwawa ya kitope na makutano ya MTO rumemo na kilombero
Ndio mahabusu wengi wanaoshitakiwa wakiwa na matatizo au akionekana ana mapungufu yasio ya kawaida hupelekwa kwnye taasisi ya isanga iliyo chini ya wizara ya afya na ustawi wa jamii hupimwa akili na hutibiwa akipata afueni hurudishwa gerezani na kurudishwa alipotoka chini ya uangalizi wa jeshi...
Yule DOGO kashatoka jela tangu 2012 kitu kama coz alipelekwa milembe kupimwa hakili akaonekana hayuko sawa nilimuona wakati nipo kule jela ,:n,b usiulize jela nilikuwa nafanya nn.
We ni mdhalilishaji kwa jinsi tu ulivyo yani umeshindwa kumuita Dada wa kazi hadi umuite beki tatu? Mnatusumbuaga sana nyie mlokuja mjini na fuso za pamba asuhi nyie .Yani mkishapata pesa tu mnajidai kusahau na ngebe lukuki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.