mim nadhan hata mama ake hakujua kama bintie hafaham kupika.
Kwan hawafatilii kivile.
Na mama ni kiongoz kansa la askof kakobe mwenge huko.
Hua anawashawish nyumb nzima kwenda kuabudu kule hata kama wew ni r.c
Sasa bint akabak kikamramba
tena ni mama ake mwenyew aliacha maelekezo apike, kwani wao na wadada wakaz wote walikua wanaenda kuabudu j,pili.
na tulio baki wote wakiume isipokuwa yeye mdada.
Na sijui kama anafaham upish wa mwanae jikon maana nae mama harakat nyingi.
siku yangu yakuzaliwa siku iona ila inamashahid wengi na wote wanasema siku ni ileile na ninaamin wasemavyo.
Ila kuzim/pepon ama mbinguni nani marehem alikuja kutuambia palivo na kuamin kwel ipo?
hapana mkuu, siku ya kuzaliwa sio iman.
Ile inajulikana kama alama yako.
Sasa hyo imani yakusadikika sio yakusadiki sana, huenda ipo au haipo.
Kwan hamna marehem aliye enda kule kuzim na kurudi kutujuza yaliyoko kule kuzimu yanafananaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.