pole sana mkuu usije kurudia kosa hili la kukopa ili uanzishe biashara tena ambayo huna uzoefu nayo, bali kopa kujazia/kuendleza biashara.
Pesa inayobaki tafta namna ya kuizalisha
umesema hvo nikamkumbka mzee furan alikua na bahat mbaya kwel,
picha linaanza mke wake wamekorofishana, mke akaenda ustaw wa jamii akidai mgao wa mali kwel mali wakapga pasu. Wakaachana mzee akaanza kujitafta
Mzee akaoa mwanamke mwingne(single mother), miaka imeenda yule mzee akalishwa sumu na...
nmemaanisha watu mnajua kupekua hadi thread yake ya zaman mmeipata pind alipokuaga binti.
ila mtoa mada jana alikua na kitumbua leo ana mhogo.
Sijui tumweke kund gani...!
Dada Seran aje atupe uzoefu hii kitaalam inaitwaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.