Recent content by Mme Mwenza

  1. Mme Mwenza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuwaambia wengine move on ni rahisi sasa ngoja yakushenyete sasa

    Ni kisukumio cha ugari
  2. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Tupinge Mapenzi ya jinsia moja kwa vitendo

    Wapgwe mawe hAdi kufa
  3. Mme Mwenza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuwaambia wengine move on ni rahisi sasa ngoja yakushenyete sasa

    Hapo ndo utajua maharage sio mboga
  4. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Mke siyo ndugu yako!

    Tunatetea haki zetu
  5. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuamua kwenda kupanga na kujitegemea, chumba chako cha kwanza kilikuwa na muonekano gani?

    Nakumbuka nilinunua godoro ndoo ya maj kubwa na ndogo yakuogea.. Sefuria mbil sahan mbil bakuli na kikombe bila kusahau jiko la mkaa maisha yakaanza ivo
  6. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Majina ya kibantu yanayofurahisha

    Mngoja tucheke tu sasa
  7. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania HIVI BADO MNAAGIZA KIKUU

    Yaan wafanya biashara weng wahun
  8. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Majina ya kibantu yanayofurahisha

    sio dictator mama, awe na misimamo thabiti kama mwanaume kiongoz juu ya family yake.
  9. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania HIVI BADO MNAAGIZA KIKUU

    Soko la KIKUU bhana ni kama mtumba. niliagza memory card GB128 ikaja ikawa og, nikajaza mzgo ukafka hadi gb50 humo. Sema kuna mtu nikamuuzia kwa kutaman faida ili niagze nyingne. Nikasahau jina la muuzaj wa mara ya kwanza nikaagza pengne GB500. Ilikua feki. na niliagza kamera sikuamin...
  10. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Tukio gani ulishawahi kufanya ukahakikisha umemfundisha mtu adabu?

    Nimejifunza kumbe mwanamke usimpende sanaaa, ila mthamini tu na usitegemee uwepo wake. Ukimpenda unakuwa mtumwa wake na atakuacha. Ukimthamin na ukawa tiari kumpoteza, atakupenda na atabaki. Ila sijui kwanin inakuwa hivi. Mdada usiemzingatia sana ndo atakuganda. Na unaempenda atakudharau
  11. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania HOJA Janga la Mashoga Mitaani na kwenye Familia... Kwanini Serikali na Jamii wanafumbia Macho?

    Unajua wakati mwingne kusambaza kitu watu wakijue kipo. ni kuibuka na kukijadiri au kukikemea. Unakuta watu hawakijui ndo watakisikia mara ya kwanza na kujua kumbe kuna ushoga n.k Nakumbuka mtu anapenda kujaribu anakokatazwa. Mitandao, makatazo na kukisema kitu sana, ndo hufanya watu wakijue...
  12. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Majina ya kibantu yanayofurahisha

    hehehee hosptal ipi sasa mwananyamala au mhimbili ama bugando
  13. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Majina ya kibantu yanayofurahisha

    UONGOZI mama. ukiolewa na mme asiekuwa kiongoz sawa utakuwa huru na romantic lakn mwisho utamchoka mapema kwa kumuona hana vigezo kama mme kiongoz. fikilia kaya zeny baba mweny misimamo na kiongoz wa kaya na anasaut ndoa zao zinadumu na waoaji ndo wanapenda kuoa family hizo kwan mabint wapale...
  14. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Majina ya kibantu yanayofurahisha

    hata pwani majina ni mazito tu. Mtu anaitwa Mzee JONGO, KOMBO
Back
Top Bottom