Recent content by Mme Mwenza

  1. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Mdada unaolewa huwezi kupika wala kufua kiafrika, hii imekaaje?

    wew inatakiwa uolewe ukuryan kule ukapike ugari wa mtama. Au usukuman kwa mganga uwe unapika ugari sufulia la kilo 15
  2. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Mdada unaolewa huwezi kupika wala kufua kiafrika, hii imekaaje?

    mim nadhan hata mama ake hakujua kama bintie hafaham kupika. Kwan hawafatilii kivile. Na mama ni kiongoz kansa la askof kakobe mwenge huko. Hua anawashawish nyumb nzima kwenda kuabudu kule hata kama wew ni r.c Sasa bint akabak kikamramba
  3. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Wahenga tujuane hapa..

    kwani uhenga unaanzia miaka mingapi? wakati mim najua kila rika lina era yake.
  4. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Wahenga tujuane hapa..

    hahaha heloo maza, ngoja nicheke kisukuma kabsa
  5. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Mdada unaolewa huwezi kupika wala kufua kiafrika, hii imekaaje?

    tena ni mama ake mwenyew aliacha maelekezo apike, kwani wao na wadada wakaz wote walikua wanaenda kuabudu j,pili. na tulio baki wote wakiume isipokuwa yeye mdada. Na sijui kama anafaham upish wa mwanae jikon maana nae mama harakat nyingi.
  6. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Hofu ya kifo inatoka wapi ikiwa mbinguni, peponi kupo kweli na sio story tu?

    siku yangu yakuzaliwa siku iona ila inamashahid wengi na wote wanasema siku ni ileile na ninaamin wasemavyo. Ila kuzim/pepon ama mbinguni nani marehem alikuja kutuambia palivo na kuamin kwel ipo?
  7. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Wahenga tujuane hapa..

    duuh kwahyo iliitwa thumun hvohvo tu au ilikua na kiwango tofaut nayenyewe kama tunavoita saiv Tsh 500 au 100?
  8. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Wahenga tujuane hapa..

    hatujuagi vyote duniani mama
  9. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Wahenga tujuane hapa..

    hebu tuweke wazi sasa umri wako, huenda ukapata na mchumba humu. Maana watu huwa wanaku imagination tu.
  10. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu kwanini Congo haiwezi kupata amani milele

    Inawezekana hata ugonjwa wa EBOLA congo ni wa kimkakati.
  11. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Ado Shaibu: Yuko wapi aliyekuwa Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi?

    ni ngumu, angekuwa ameshajitokeza mapema tu. Na tulitegemea tumwone ile tare 04/09 lakn hola. Haya yote aliyasema KIGOGO
  12. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Hofu ya kifo inatoka wapi ikiwa mbinguni, peponi kupo kweli na sio story tu?

    hapana mkuu, siku ya kuzaliwa sio iman. Ile inajulikana kama alama yako. Sasa hyo imani yakusadikika sio yakusadiki sana, huenda ipo au haipo. Kwan hamna marehem aliye enda kule kuzim na kurudi kutujuza yaliyoko kule kuzimu yanafananaje.
  13. Mme Mwenza

    JamiiForums Tanzania Hofu ya kifo inatoka wapi ikiwa mbinguni, peponi kupo kweli na sio story tu?

    BILA USHAHIDI hizi mambo zitabaki mapichapicha tu. Angarau waliosema kuna REINCANATION, kidogo wanamashiko kwa mbaaaali.
Back
Top Bottom