Nakumbuka nilinunua godoro ndoo ya maj kubwa na ndogo yakuogea.. Sefuria mbil sahan mbil bakuli na kikombe bila kusahau jiko la mkaa maisha yakaanza ivo
Soko la KIKUU bhana ni kama mtumba.
niliagza memory card GB128 ikaja ikawa og, nikajaza mzgo ukafka hadi gb50 humo.
Sema kuna mtu nikamuuzia kwa kutaman faida ili niagze nyingne.
Nikasahau jina la muuzaj wa mara ya kwanza nikaagza pengne GB500.
Ilikua feki.
na niliagza kamera sikuamin...
Nimejifunza kumbe mwanamke usimpende sanaaa, ila mthamini tu na usitegemee uwepo wake.
Ukimpenda unakuwa mtumwa wake na atakuacha.
Ukimthamin na ukawa tiari kumpoteza, atakupenda na atabaki.
Ila sijui kwanin inakuwa hivi.
Mdada usiemzingatia sana ndo atakuganda.
Na unaempenda atakudharau
Unajua wakati mwingne kusambaza kitu watu wakijue kipo.
ni kuibuka na kukijadiri au kukikemea.
Unakuta watu hawakijui ndo watakisikia mara ya kwanza na kujua kumbe kuna ushoga n.k
Nakumbuka mtu anapenda kujaribu anakokatazwa.
Mitandao, makatazo na kukisema kitu sana, ndo hufanya watu wakijue...
UONGOZI mama.
ukiolewa na mme asiekuwa kiongoz sawa utakuwa huru na romantic lakn mwisho utamchoka mapema kwa kumuona hana vigezo kama mme kiongoz.
fikilia kaya zeny baba mweny misimamo na kiongoz wa kaya na anasaut ndoa zao zinadumu na waoaji ndo wanapenda kuoa family hizo kwan mabint wapale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.