Recent content by Mmbone

  1. M

    Amenisomesha, kaninunulia gari lakini sina mapenzi naye

    Mkataa pema pabaya panamuita!
  2. M

    Buseresere: Mapigano makali yaibuka kati ya waislamu na wakristu!

    Watu tumejijengea jadi ya kupenda vurugu kwa kisingizio cha Dini, Siujui Uislamu ila sidhani kama Mwenyezi Mungu kupitia Mtume aliagiza kuwa ikiwa watu wa Itikadi togfauti na Uislamu wakiamua kuchinjwa wenyewe ni dhambi na hivyo wapigwe, kwanza mimi sikujua kama kuchinja ni Ibada, na baada ya...
  3. M

    Natafuta mchumba mwenye elimu kuanzia kidato cha nne hadi chuo kikuu.

    Mwanaume kutafuta mke kwenye mitandao anashindwa ku approach ama? hainiingii akilini, lazima atakuwa na matatizo, maana katika wanawake waliokuzunguka ukosepo mmoja jamani, lol
  4. M

    Umeshawahi ku-date msichana anayejifanya 'high class'...?

    Hahahahahahaaaa, miye hoi jamani, wa hivyo wanapatikana wapi? tupa kule ni matatizo unatafuta, next time mwambie akusubiri Impala, na aagize chakula na vinywaji then unampotezea, kama kweli anajua maisha hayo yanawezekana kama hajaosha vyombo na kusafisha hotel nzima ili kulipia alichokula, lol
  5. M

    Nna sababu 100 za kutokumchagua Dr Slaa ikiwa atapitishwa na Chadema tena 2015

    kabla hajamaliza, habari ya kuacha useminary iache tu kwa sababu ni wengi viongozi wetu wa siasa na wa kidini tunawaza tuko njia mpoja kumbe ana yake, unafiki sio mzuri kabisaaaa, jambo kama huwezi unajitoa mapema
  6. M

    Bungeni kimenuka, Naibu Spika azomewa! Bunge lavunjika kabla ya muda...

    Imekuwaje jamani? maana wengine tuliko hakuna mawasiliano ya kuweza kuliona bunge, hakuna ving'amuzi, lol
  7. M

    LULU Out "Mama Kanumba Aanguka KILIO"

    Mama Kanumba nampa pole sana kwa sababu ni mzazi, lakini ieleweke kwamba inawezekana kabisa kwamba Lulu hakumuua Kanumba, Marehemu halaumiwi lakini kwa nini alikuwa anadate mtoto mdogo? Karibu sana Uraiani Lulu, ila Mungu na akusaidie, ubadilike, Utulie, na uepuke scandal ambazo hazina msingi...
  8. M

    Habari njema kwa Vibonge!

    Lol, asante mdada uloshare hii habari, i had one diet, hii soup walikuwa wanaita "wounder soup" kama ulivyosema kiukweli hii supu mimi ilinishinda, mmmh, may be nijaribu tena, ila mimi nimefanya diet, so far nimeshaloose 20 kgs, na ninaendelea nayo, ninakata kilo 3 kwa week kama sikucheat...
  9. M

    Maaskofu kuipelekeka serikali mahakamani kuhusu kuchinja nyama

    Kwani mzozo huo umekujaje? mbona tulikuwa tunanunua nyama muda wote bila kujali au kuuliza imechinjwa na nani? mi nadhani hapakuwa na Serikali kutangaza kuwa ni lazima waislamu wachinje nyama, ni kuongeza sintofahamu ambayo haina maana, utaratibu ubaki kama ulivyokuwa mwanzo, unaenda kwenye...
  10. M

    Radio IMAAN - Maoni ya Katiba

    Nimekuwa nikiona saana hoja ya Mahakama ya Kadhi, lakini kimsingi sielewi Mahakama ya kadhi ni nini na inafanya shughuli zipi, na je, itahukumu waislamu na Wakristo ama ni waislamu pekee, na je kuwepo kwa mahakama ya Kadhi ni mwisho wa uweppo wa Mahakama nyinginezo Tanzania? naomba anayeelewa...
  11. M

    Kuepusha stress za ndoa, do not marry a first born... Responsibility kibao!

    mmmmmh, maisha hayana formula jamani, leo unamuona mama mkwel wako mzigo, lakini mama yako na ndugu zako wakija je? na wewe utakuwa na fiorst born siku moja, na utafikia pia hatua unaumwa unataka kwenda kwake kutibiwa, mkweo akubague? wanawake tuacheni tabia za kichoyo na uzungu usiokuwa na maana!
Back
Top Bottom