Recent content by mmasi masud

  1. mmasi masud

    MAZURI ya Kikwete ambayo hayajawahi kufanywa na marais waliomtangulia HAYA HAPA

    mmesahau hili pia kuuza nchi kumuokoa mwanae asinyongwe huko china baada ya kudakwa na sembe.
  2. mmasi masud

    Hukumu Masogange na Melisa yaishangaza Tume

    mwaKYeMbe ItaBidI awarejesh
  3. mmasi masud

    China, adui wa maendeleo na Demokrasia Tanzania! Balozi avaa kofia ya CCM

    yule siyo balozi wa china kama walivyomtambulisha ni mfanyakazi wa kampuni ya uchimbaji madini,nawaletea ishaidi muda si mrefu.usanii ile
  4. mmasi masud

    Tetesi: Mwigulu Nchemba amtishia mbunge wa CUF

    jicho la3 kama uliangalia kipindi hukuona,ninahofu hata kusikia kwako ni tatizo.au ndo unabalehe kisiasa wewe ni kubisha tu.
  5. mmasi masud

    Mwarobaini wa CCM hatimaye umepatikana

    kidato cha nne siyo hoja jielekeze kwenye hoja,unaweza kuwa profesa ila siyo mwadilifu,kidato cha nne akawa mwadilifu,acha porojo.
  6. mmasi masud

    Mwarobaini wa CCM hatimaye umepatikana

    kidato cha nne sio hoja yenye mashiko,unaweza ukawa profesa mwizi,kidato cha nne mwadilifu,joelekeze kwenye hoja.
  7. mmasi masud

    NYARAKA: Nani muongo kati ya Msigwa na Kagasheki?

    marire.kweli ukoo wa panya ccm ha ha ha ha ha.
  8. mmasi masud

    Mti huu umezaaje ukiwa hivi?

    mti huo ukowapi?
  9. mmasi masud

    Mwigulu akiwa na familia yake; kweli uongozi unaanzia nyumbani!

    Hammy d kwa uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo,?kubeba mtoto ndiyo sifa inayomfanya mtu kuonekana anafa kuongoza? Aisee hoja haina mashiko
  10. mmasi masud

    JK, Dr Salim, Dr Banna wanena kuhusu uvunjifu wa amani na viashiria vyake nchini.

    Amani inatengenezwa, amani inaandaliwa amani haijadiliwi.na kama mlikuwa na taarifa za chadema kuaribu amani na hamkuchukua hatua basi unaivua nguo serikali inayoongozwa na chama chako kwamba ni dhaifu.
  11. mmasi masud

    Hivi mh. Godbless Lema ni kweli unaufahamu mji wa Arusha au?

    Fujo unazosema kasababisha. Lema mbona hujatupa mfano vurugug
  12. mmasi masud

    Mbeya: Diwani wa CHADEMA,watu saba wasota rumande bila dhamana kwa kuipinga bajeti ya kijiji

    Pole makamanda mungu atawaongoza katika kushinda.
  13. mmasi masud

    Ni kwamba Dr Slaa katoswa au?

    Kwa hiyo tija kwa Taifa ni ipi hapo kama siyo kuzidi kuongeza tatizo la wasio na hajira?na hicho kifaa kitakuwa na uwezo wa kkusahhisshia wanafunnzi?au mwalimu atasafiri kusahisha kazi za wanafunzi wake?
  14. mmasi masud

    Watanzania wa Dar! Andaeni mabango...

    Ccm wore akili zao kama pinda tu,haiwezekani ukashabikkia upumbavu ukabaki salama.
Back
Top Bottom