Hivi mkuu hii unlimited ni kweli wanamaanisha unlimited? Au ni wanakupa labda GB kadhaa kwa mwezi?..
Mfano labda nimelipa unlimited ya mwezi lkn matumizi yangu yanafika hadi GB 30 per day,je Nita survive kwa unlimited yao kwa mwezi au itafika cku 10 tu ikate?
Kuna yeyote humu ashaangalie movie ya THE KING OF FIGHTERS ?,tafuta hii movie ina kamfanano flan hv na hii simulizi....
By the way singanojr hongera sana,uko mbali sana mkuu
Mimi naomba INSIDER MAN anipe pande nikatulie kwa Jane,nimsaidie mzee Pama malezi ya kijana,nitamtunza vzr sana Jane na mtt hadi pama atatabasamu huko kaburini kwake
Mkuu,Mungu alikua akileta miongozo ya sisi kuifata kulingana na zama.hakutoa muongozo kwa Adam na Hawa/Eva siku moja tu.bali alikua akibadili maisha taratibu kulingana na zama.
Kila zama zilikuja na taratibu mpya kama serikali za mataifa zinavyobadili katiba na mitazamo siku hizi,huwezi kutumia...
Hapo kwa Mungu unazini mkuu,si kujazwa ujinga.ni mtazamo tu,sio lazima tulingane mitazamo,ndo maana na dini na madhehebu pia tunatofautiana lkn ktk maisha tunashirikiana.
Ndoa ya dini ina miongozo yake kwa kila dini,na hakuna dini inakubali ndoa ya Bomani that means ukifunga Bomani ni ndoa...
Tena sio cheti km cheti tu,wasije kujipeleka Bomani kwa ndoa ya kiserikali ati ili wapate cheti,nashauri wamalizane na Mungu kwa kufunga ndoa kwa misingi ya imani zao.
Mijitu inatumbukiza hadi chupa za wine na haiumii leo mtu anataka kuongeza ub*o ili iweje labda?
Akiona ki ub*o hakimtoshi atumbukize mguu hadi gotini kidadeki zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.