we jamaa huna jema kabisa!!!!!!!!! angetumia ndege ungesema ndege gharama,asingeenda nyanda za juu kusini ungesema anawatenga watu wa nyanda za juu kusini.............shida yako akili yako inaongozwa na mange kimambi ndio tatizo,siku akikuambia nenda ukajilipue utakimbiza kichwa tu ,some time...
Wameshakuja wa dharura wakasema mita hii muda wake umeisha unatakiwa ubadilishiwe mita...kwenda mbezi ndio wakajibu hivyoo,narudia tena kuwapongeza wa dharura
kwa upande wa dharura nawapa pongezi mmeboresha sana, ila huduma zenu bado za kupigana tarehe sana,mita yangu ime expire tangu wiki sasa,umeme unaingia lkn hautoi kuingiza ndani,naenda pale mbezi tanesco waje wabadilishe wanasema ngoja tukuandalie mpaka wiki ijayo ,kweli kitu cha kuchukua tu...
mbona unatetea sana oil com ? kataa mpaka ulie lakini oil com wezi sana
kwanza kwanini wanakataa kwenda na vidumu vya lita 5 au 10 au 20? majizi makubwa nyie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.