livafan
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 2,925
- 5,528
Kama kichwa cha habari elezwa hapo juu kinavyojieleza ,
Leo nikiwa naelekea Posta tokea Kimara mara mama moja akawa anapayuka na kumshambulia kaka fulani kwamba kashindwa nini kudindisha mbele ya mke wake anakuja kudindishia kwenye gali la umma na kumgusisha yeye
Wanawake tusitilini wanaume jamani ndo tulivyoumbwa, ikiwezekana mwambie tu taratibu sio gari zima mpaka watu wajue.
Lakini ningependa nijue pia kwa wataalamu wa mambo haya je tatizo la wanaume kudindisha dindisha, mpaka inafikia hatua hii inatokea hivi kwenye public ,
Je wanawake ndo sababu kwa uvaaji wao? Au sisi wanaume hatutongozi mpaka inafikia mtu anakuwa na ugwadu kiasi hicho ? Au kuna sababu zingine zinazopelekea hayo?
Mwaka mpya na mambo mapya.
Leo nikiwa naelekea Posta tokea Kimara mara mama moja akawa anapayuka na kumshambulia kaka fulani kwamba kashindwa nini kudindisha mbele ya mke wake anakuja kudindishia kwenye gali la umma na kumgusisha yeye
Wanawake tusitilini wanaume jamani ndo tulivyoumbwa, ikiwezekana mwambie tu taratibu sio gari zima mpaka watu wajue.
Lakini ningependa nijue pia kwa wataalamu wa mambo haya je tatizo la wanaume kudindisha dindisha, mpaka inafikia hatua hii inatokea hivi kwenye public ,
Je wanawake ndo sababu kwa uvaaji wao? Au sisi wanaume hatutongozi mpaka inafikia mtu anakuwa na ugwadu kiasi hicho ? Au kuna sababu zingine zinazopelekea hayo?
Mwaka mpya na mambo mapya.