Mpe heshima Jenerali Ulimwengu... Si wa aina yako. Alikua mshauri wa Rais Mkapa awamu ta kwanza kabla ya kuvurugana awamu ya pili. Pia alikua mkalimani wa mwalinu Nyerere lugha ya kifaransa. Aneitumikia nchi hii kwa uadilifu. Ingawa uzalendo wake unanyooshewa vidole na wanasiasa wa ccm. Ni...
Viwanda zaidi ya 1000 hivi watanzania wangehangaika na ajira?
Mwalimu Nyerere miaka 24 kashindwa kujenga viwanda kila wilaya.... huyu 'mtakatifu' rais wa awamu hii atawezaje?
Mkapa hakupendelea kwao. Daraja la Mkapa, makubaliano na utiaji sahihi yaliwekwa kipindi cha Mzee Rukhsa na serikali ya Kuwait.
Huyo mtukufu rais makomeo anathibitisha utukufu wake. Ndiye huyo anaesafiri kwa gari hadi Rwanda lakini si Chato.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.