*TV ya Sony Bravia inauzwa
*Ni TV ya inch 32
*Bado ipo kwenye Warranty ya miaka miwili
*Ina Box lake pamoja na risiti zake
*Haina scratch/mikwaruzo ya aina yoyote ile
*Haina tatizo lolote lile infact ni mpya na ni TV Original
Inauzwa kwa 500,000 na maelewano yapo.
Bei yake ya dukani ni...
*TV ya Sony Bravia inauzwa
*Ni TV ya inch 32
*Bado ipo kwenye Warranty ya miaka miwili
*Ina Box lake pamoja na risiti zake
*Haina scratch/mikwaruzo ya aina yoyote ile
*Haina tatizo lolote lile infact ni mpya na ni TV Original
Inauzwa kwa 500,000 na maelewano yapo.
Bei yake ya dukani ni...
Mambo vipi wapendwa kuna TV BRAVIA ya Sony ipo ndani ya warranty, ni flat new model inch 32 imetumika kwa muda mfupi sana.
Haina mikwaruzo ya aina yoyote ile,infact ipo kwenye hali nzuri sana, ipo ndani ya box lake, ina risiti zake. Inauzwa kwa bei ya kutupwa ya 500,000. mwenye uhitaji nayo...
Unge highlight sehemu ambayo niliteleza ningekuona wa maana sana kuliko kuongea kejeli na dhihaka. Nadhani hapo ndipo tunapoona ni nani mgonjwa wa akili kati yangu na wewe
Jamani, yani watu wengine wana mawazo ya ajabu kweli. Hapo maswala ya ubunge yanaingiaje?? Asee mimi siwezi na sitokaa niwaze kugombea nafasi yoyote ile, na kwa taarifa yako mimi huku sio mzawa nilikuja kwa maswala ya ajira baada ya kuchaguliwa na serikali. Naamini wapare wananafasi ya kumchagua...
Hapo kwenye vitisho ndipo ambapo napenda wengine wapatilie mkazo. Huyu ni nani katika nchi hii anaesema nitang'oka!! Anyway mimi nilisema hapo juu, kazi yangu siiogopi naiheshimu. Ninaposema kuiheshimu ni pamoja na kufuata taratibu za kazi tulizokubaliana na mwajili wangu pia bila kuvunja kanuni...
Nimeshatolea ufafanuzi tangu mwanzo, ningekuwa na nia ya kuuza sura ningekuja na Id yangu halisi. Nisingekuwa na sababu ya kuficha Id yangu. Ningeweka jina langu na mahala ninapofanya kazi
Siwezi kuwa objective katika kufundisha. Nadhani ww sio mwalimu na pengine huwezi kuzifahamu changamoto za darasani. Wakati mwingine unaweza kuulizwa swali sio katika siasa tu bali hata katika maswala mengine ya kijamii. Katika hali ya namna hii unahitajika utulivu wa hali ya juu wa akili ili...
Ningependa ieleweke kuwa kuwashirikisha wanafunzi wale hakukuwa na maana kuwa nawauza ili kwenda kufanya nao uchafu. Kilichokuwa kinafanyika ni kuandaa mazingira ya kumtia nguvuni mwalimu aliepanga ile mipango michafu ili ukweli upatikane. Kwanza alikuwa amenishirikisha katika kitu ambacho ni...
Nadhani ni busara kumuita mwalimu alienishirikisha kuwa ndiye mzinzi. Wanafunzi wale baada ya kuwashirikisha katika huo mpango niliwahakikishia kuwa wangekuwa salama na hakuna ambae angewagusa kwa maana ya kufanya nao uchafu. Lengo ilikuwa ni kumtia nguvuni yule mwalimu ili ukweli ujulikane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.