Samahani mkuu. Kwa kuweka kumbukumbu, Mchora katuni hii (GADO) ni MTANZANIA.
Miaka michache nyuma alichora katuni yenye taswira ya waandishi wa habari watz wakila miguuni mwa wanasiasa. Waandishi walimwandama kwa makala kwenye magazeti. Lakini ni kweli kuwa wanahabari wetu wamewekwa mifukoni na...
Mtu ukiwa timamu kiakili, mtu mwingine akikutumia kwenye upumbavu. Tambua wewe uliyetumiwa ni punguani zaidi ya wanaotembea barabarani bila fahamu zao.
Tambua hilo JULIANA SHONZA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.