Recent content by Mm Mtanzania

  1. M

    Katuni: Bunge letu na dhihaka toka Kenya

    Samahani mkuu. Kwa kuweka kumbukumbu, Mchora katuni hii (GADO) ni MTANZANIA. Miaka michache nyuma alichora katuni yenye taswira ya waandishi wa habari watz wakila miguuni mwa wanasiasa. Waandishi walimwandama kwa makala kwenye magazeti. Lakini ni kweli kuwa wanahabari wetu wamewekwa mifukoni na...
  2. M

    Kumbe CHADEMA hii ndio sababu ya kumkashifu Kinana?!!! Sasa naelewa

    Mtu ukiwa timamu kiakili, mtu mwingine akikutumia kwenye upumbavu. Tambua wewe uliyetumiwa ni punguani zaidi ya wanaotembea barabarani bila fahamu zao. Tambua hilo JULIANA SHONZA
  3. M

    Mabere Marando ni nani?

    Kila sekta kuna TISS. Kuhusu Marando nadhani ni jinsi gani hawa jamaa wanatimiza kiapo chao vs matakwa binafsi au ya wanaowatumikia/ wanaowatuma.
  4. M

    Wasifu wa marehemu

    Uchizi
  5. M

    Ndoto

    Kama ndoto (dream) zako hazijatimia endelea kulala
  6. M

    Ndege ya Marehemu Wakili Nyaga Mawalla yaanguka na kuharibika 'write-off'

    Image haionekani. Au iko kinyume na maadili/taaluma
Back
Top Bottom