Mtoa uzi hujadanganya tena mzazi hata umtumie Pesa ndogo paspo na yakutolea bado atakuombea ufanikiwe zaidi Sasa Njoo kwa demu hakuna Ahsante na Bado atasema haitoshi au mbona hujaweka ya kutolea MUNGU BARIKI WAZAZI
Lakin Mkuu kuhojiwa mbona ni kawaida sana na wanamamlaka hiyo pale wanapo mtilia mtu Shaka hata Wewe hapo Unaweza kuitwa tu Mkuu ukathibishe uraia wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.