Recent content by mlundilwa

  1. M

    Dawa Kinga ya UKIMWI iliyozinduliwa ni kwa ajili tu ya wale ambao wamepima na kugundulika hawajaambukizwa

    Sahihi Mkuu kikubwa ni kuacha uhuni hizi dawa bhana watatupoteza
  2. M

    Kero: Jirani kufungulia mziki sauti kubwa, nimfanye nini?

    Hahahaha [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
  3. M

    Asante ya mzazi huwa ina maana kubwa sana kwangu

    Mtoa uzi hujadanganya tena mzazi hata umtumie Pesa ndogo paspo na yakutolea bado atakuombea ufanikiwe zaidi Sasa Njoo kwa demu hakuna Ahsante na Bado atasema haitoshi au mbona hujaweka ya kutolea MUNGU BARIKI WAZAZI
  4. M

    Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

    Kabisa Kama mtu hajui bora kuwa kimya
  5. M

    Benki ya NMB yaja na huduma ya mkopo ya "NMB Salary Advance" kwa wafanyakazi

    Kwan unalazimishwa kukopa au ndo shida zetu zinatufanya Tuende
  6. M

    Rais Magufuli amesema akitoka Arusha anakwenda ziara Mkoa wa Iringa

    Elimu ya ziada inahitajika pole na wale waruka njee kila week je? Duuuu wtz hatari mpe baiskeli yako aende nayo
  7. M

    Hakuna simu mbovu duniani kama tecno

    Uliihalibu mwenyewe bhana
  8. M

    Zitto ataka kuonana na Askofu Kakobe sakata la uhamiaji

    Lakin Mkuu kuhojiwa mbona ni kawaida sana na wanamamlaka hiyo pale wanapo mtilia mtu Shaka hata Wewe hapo Unaweza kuitwa tu Mkuu ukathibishe uraia wako
  9. M

    Nauza kuku

    Apo umenena Mkuu
Back
Top Bottom