South Africa ilivyopata uhuru na Nelson Mandela alivyoachiwa huru na kupewa nchi, sio tu alikuwa nao karibu Wazungu, Bali aliwaacha katika uchumi wao,madaraka na baadhi ya nyadhifa wala hakuwafukuza waliishi pale vizazi na vizazi mpaka leo.
Angalia maendeleo ya South Africa halafu nitajie nchi...
Brother huyu jamaa inaonekana kwanza mafia anaiskia tu hajawahi kuishi wala kukaa, kuhusu kupata eneo ni rahisi na gharama zake nafuu, na hakuna utalii huo kama anavyofikiria, kwa ufupi mafia bado sana, ni wilaya inayojivuta mnoo, hata hiyo car wash na hicho chuo ni kupoteza pesa tu, watu wa...
Mimi nimeishi mafia naijua vizuri sana na nimefanya
Mwambie huyo jamaa ako aache kukuongopea.
Kama anataka kuwa sehemu ya connection katika hiyo biashara basi akueleze ukweli.
Mimi Mafia naijua nimetembea maeneo mengi na nimefanyakazi ya uvuvi huko.
Habari wapendwa wa jamiiforums,
Naomba kuwauliza kwa mwenye kufahamu kuhusu application ya Telegram.
Zamani nilikuwa natumia hii Application bila shida yoyote lakini nikaja kuifuta.
Sasa kwa siku hizi za usoni kila nikijaribu kujiunga inaniambia nilipie elfu tatu (Tsh 3,000)
Sijajua ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.