Tanga mtoto wa kike akizaliwa tu
anavalishwa shanga.
Arusha kama huna meno ya
dhahabu unatengwa.
Manyara usipoua simba we
shoga.
Mara demu akiwa hapigwi
anaomba talaka.
Mwanza mtoto mchanga wa cku
1 anapewa ugali sio maziwa.
Kagera huko hata barabara ya
vumbi wanaita flyover.
Kigoma kati...
1. STEVE JOBS
Akiwa na miaka 30 aliachwa amechanganyikiwa na mwenye huzuni baada ya kuondolewa kikatili kwenye kampuni aliyokuwa ameianzisha. Baadaye alisimama imara na leo mamilioni ya binadamu wanajifunza kutoka kwenye mafanikio yake.
2. WALT DISNEY
Alifukuzwa kutoka kwenye gazeti kwa kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.