Mikoa ya Tanzania na tabia ya makabila yake

Mikoa ya Tanzania na tabia ya makabila yake

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
26,507
Reaction score
29,288
1.Tanga mtoto wa kike akizaliwa tu
anavalishwa shanga.
2. Arusha kama huna meno ya dhahabu
unatengwa.
3. Manyara usipoua simba we shoga.
4. Mara demu akiwa hapigwi anaomba talaka.
5. Mwanza mtoto mchanga wa cku 1 anapewa
ugali sio maziwa.
6. Kagera huko hata barabara ya vumbi
wanaita flyover.
7. Kigoma kati ya watu 10 basi 8 sio
watanzania.
8. Shinyanga kuokota hirizi ni kama kuokota
jani la muembe uchawi no stress.
9. Tabora wasomali wengi kuliko waswahili
10. Dodoma mtoto anazaliwa kanyoosha
mikono. anajifunzia uomba omba tumboni.
11. Rukwa hawa hata hawajui kama wapo
Tanzania
12. Mbeya ukinywa chai usitumie dk. Kumi la
sivyo inaganda.
13. Iringa kujinyonga ni ushujaa.
15. Morogoro wanaamini wao ni wajanja
kuliko DSM
16. Pwani hawa ni mgambo wa jiji la
dsm.wanalinda mkoa.
17. Lindi mkoa mkuubwaaa ila woote ni
hifadhi ya wanyamapori.
18. Mtwara usipokula panya unaonekana
mwanga
19. Ruvuma huko naskia hawatumii tsh
wanatumia kwacha.
20. Dar kila mtu tapeli. Unaweza kujitapeli
hadi nafsi yako
21. Kilimanjaro ikifka December huwa kuna
fiesta mji unajaa. Sijui hata watu wanatoka
wapi
22. Singida hapanaga tofauti na jangwa la sahara full vumbi.
 
....Madhara ya kulala stendi, sidhani kama ulisalimika na wajuba.
 
Wahaya noma sana hata ambaye hajasoma utamkuta kachomeka kalamu kwa mfuko wa shati na bahasha kubwa mkononi kumbe unakuta kwa bahasha kuna senene au ndizi
Anajinadi kasomamo mpaka chuo kikuu
 
Tanga mtoto wa kike akizaliwa tu
anavalishwa shanga.

Arusha kama huna meno ya
dhahabu unatengwa.

Manyara usipoua simba we
shoga.

Mara demu akiwa hapigwi
anaomba talaka.

Mwanza mtoto mchanga wa cku
1 anapewa ugali sio maziwa.

Kagera huko hata barabara ya
vumbi wanaita flyover.

Kigoma kati ya watu 10 basi 8 sio
watanzania.

Sinyanga kuokota hirizi ni kama
kuokota jani la muembe uchawi no stress

Tabora wasomali wengi kuliko waswahili

Dodoma mtoto anazaliwa kanyoosha
mikono.anajifunzia uomba omba tumboni.

Rukwa hawa hata hawajui kama wapo tanzania

Mbeya ukinywa chai usitumie dakika kumi la sivyo inaganda.

Iringa kujinyonga ni ushujaa.

Morogoro wanaamini wao ni wajanja kuliko dsm

Pwani hawa ni mgambo wa jiji la
dsm... wanalinda mkoa.

Lindi mkoa mkuubwaaa ila woote
ni hifadhi ya wanyamapori.

Mtwara usipokula panya unaonekana mwanga

Ruvuma huko naskia hawatumii
tsh wanatumia kwacha.

Dsm kila mtu tapeli. Unaweza
kujitapeli had nafsi yako

Kilimanjaro ikifka december mji unajaa. Cjui hata watu wanatoka wap?

Singida hapanaga tofaut na jangwa la sahara.full vumbi

Wewe unatokea mkoa gani kati
ya Mikoa hii ?
 
mbeya mpaka leo wanaiomba serikali iwapelekee kupatwa kwa jua
 
Tanga mtoto wa kike akizaliwa tu
anavalishwa shanga.

Arusha kama huna meno ya
dhahabu unatengwa.

Manyara usipoua simba we
shoga.

Mara demu akiwa hapigwi
anaomba talaka.

Mwanza mtoto mchanga wa cku
1 anapewa ugali sio maziwa.

Kagera huko hata barabara ya
vumbi wanaita flyover.

Kigoma kati ya watu 10 basi 8 sio
watanzania.

Sinyanga kuokota hirizi ni kama
kuokota jani la muembe uchawi no stress

Tabora wasomali wengi kuliko waswahili

Dodoma mtoto anazaliwa kanyoosha
mikono.anajifunzia uomba omba tumboni.

Rukwa hawa hata hawajui kama wapo tanzania

Mbeya ukinywa chai usitumie dakika kumi la sivyo inaganda.

Iringa kujinyonga ni ushujaa.

Morogoro wanaamini wao ni wajanja kuliko dsm

Pwani hawa ni mgambo wa jiji la
dsm... wanalinda mkoa.

Lindi mkoa mkuubwaaa ila woote
ni hifadhi ya wanyamapori.

Mtwara usipokula panya unaonekana mwanga

Ruvuma huko naskia hawatumii
tsh wanatumia kwacha.

Dsm kila mtu tapeli. Unaweza
kujitapeli had nafsi yako

Kilimanjaro ikifka december mji unajaa. Cjui hata watu wanatoka wap?

Singida hapanaga tofaut na jangwa la sahara.full vumbi

Wewe unatokea mkoa gani kati
ya Mikoa hii ?
Tuanze na wewe,wewe unatokea mkoa gani kati ya hiyo?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Morogoro na iringa
 
Kigoma wabishi mno wakiwa wawili mmoja akijamba watabishana hapo mpaka basi
 
Kilimanjaro December huko
Kwetu n mwendo wa [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]

Karbun sana huko
 
mimi ni wa lindi
ulichokisema hujakosea 100% maana coverage kubwa mapori tu
 
Back
Top Bottom