Recent content by MLUGURU

  1. MLUGURU

    Akiri kuwabaka watoto wake 2 baada ya kumtuma mke dukani, ajitetea ni pombe!

    atutajie mganga aliemtuma NB: Tuache kuwasumbua sana waganga wakituchoka wanatupa masharti magumu ili tufedheheke tudhalilike.
  2. MLUGURU

    TANZIA Mkurugenzi wa uendeshaji wa EFM na TVE Dennis Ssebo Afariki Dunia

    Ijumaa ilikuwa inaenda poa sana na FNL yake.....Rip Sebbo.
  3. MLUGURU

    Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC akutana na Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania

    Sura ya yule mama pembeni kule inaongea kila kitu kuhusu uzito wa hoja za kikao hicho.
  4. MLUGURU

    Bashite kufunga namba za Serikali kwenye magari binafsi, hii imekaaje?

    Hapa ndipo mzungu alitupiga changa kutuletea utawala wa aina hii.Tumekwisha
  5. MLUGURU

    TANZIA Naibu Kamishna Mstaafu wa Polisi (DCP) Michael Kamuhanda Afariki Dunia

    Tukio la mwangosi nalikumbuka ndio nimejiunga tu na JF nakutana na ule mtiti picha na video za lile tukio zilikaa sana kwenye desktop yangu miaja ile time flies... Rip mwangosi
  6. MLUGURU

    Je, AI itatusaidia au itachukua nafasi zetu?

    AI akianza kushika jembe ndio ntajua anachukua nafasi yangu.
  7. MLUGURU

    Nini kinaendelea ndani ya jengo la China Plaza?

    inategemea na aina ya matajiri wanaozunguka eneo husika,nilishaenda bagamoyo nkaambiwa vijana wanatolewa sana kafara mbali huko baharini ili matajiri warudi na samaki nuingi wapige pesa,migodini hali kadhalika yani kila sehemu yenye matajiri ina namna yake. Hapo sehemu tajwa ina warabu wamanga...
  8. MLUGURU

    Hichi kifaa katika magari huwa kina kazi gani maalum?

    au ukute ndio kimeunganishwa na ac kuleta hewa ikiwa umeeka mode ya kuvuta hewa kutoka nje ya gari.
  9. MLUGURU

    Napata dalili hizi. Huu ni ugonjwa gani?

    Anaweza kuchukulia masikhara ila ndio ukweli huo
  10. MLUGURU

    Napata dalili hizi. Huu ni ugonjwa gani?

    Punguza mafuta mwilini mkuu vidole kufa ganzi ni mafuta hayo kubana mishipa ya damu inafanya damu haipenyi kufika maeneo husika. Jaribu kufika hospitali kwa uchunguzi zaidi.
  11. MLUGURU

    Napata dalili hizi. Huu ni ugonjwa gani?

    Una uzito kilo ngapi??
  12. MLUGURU

    Biashara ya machungwa

    Wapi huko ni 90 mkuu wakati nimeuliza jana nimeambiwa ni 110,au wewe unasokoza??
  13. MLUGURU

    Nakereka sana na magari ya Dar kwenda Moshi kuruhusu wauza machungwa kufanya matangazo ndani ya mabasi

    Huo usiku wa saba angekusubili stendi akukabe pia ungelalamika...hivi mtu ukiwa na roho mbaya unajijua??
  14. MLUGURU

    Biashara ya machungwa

    Kwa bei ya sasa hivi ya chungwa shambani huko bukoba si watauziwa 500 sasa chungwa moja
Back
Top Bottom