Kumbe ile refinery plant ya nigeria alifanikiwa kuimplement,mimi nikajua kutokana na lile zengwe na viongozi wa serikali ndio ikabidi ahamishie huku kwetu....kumbe tajiri kaona fursa ya mafuta Africa na kaishi nayo,Hongera kwake
Barabara ya Kaskazini imeharibika sana na hiyo biashara,Polisi wanajitahidi sana ukienda pale polisi korogwe utaina gari nyingi za thamani zimetaifishwa kwa kosa la kubeba milungi
Shughuli zangu kwa kiasi kikubwa ni ukulima na nimepiga hatua kubwa kidogo ukilinganjsha,ila idea ya kununua shamba la kwanza kabisa niliipata kwa rafiki.yangu wa karibu tena alikuwa ni jobless mpambananji ila alishare na mimi taarifa za kumiliki shamba na mimi akili ikashtukia hapo.
So mimi...
Yes,kilimo cha miwa kina siasa zake hasa ukifika muda wa kuvuna na kiwandani kuna foleni wakubwa washapeleka miwa yao....cha msingi lima ila usiwe na mategemeo makubwa
Kwenye para ya 1 mpaka ya 5 ndugu mwandishi umepuyanga kwani inaonekana bado hujui mazingira yepi yanahitajika kutumia affidavity na yepi ni ya deedpoll.
Kuhusu hilo la kuscan hiyo qr code hapo ni mamlaka husika kukubaliana na kuridhika matumizi ya teknolojia mpya,mtumishi binafsi hawezi...
Tukio la mwangosi nalikumbuka ndio nimejiunga tu na JF nakutana na ule mtiti picha na video za lile tukio zilikaa sana kwenye desktop yangu miaja ile time flies... Rip mwangosi
inategemea na aina ya matajiri wanaozunguka eneo husika,nilishaenda bagamoyo nkaambiwa vijana wanatolewa sana kafara mbali huko baharini ili matajiri warudi na samaki nuingi wapige pesa,migodini hali kadhalika yani kila sehemu yenye matajiri ina namna yake.
Hapo sehemu tajwa ina warabu wamanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.