Recent content by MLUGURU

  1. MLUGURU

    JamiiForums Tanzania Kwa nini utahisi ngozi ya tumboni na Kifuani kuwasha unapoanza Kukimbia baada ya Kukaa muda mrefu bila Matizi?

    mimi nikienda shamba nikipanda boda kwa mara ya kwanza umbali mrefu maeneo ya makalio yanawasha sana 😂😂😂😂
  2. MLUGURU

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Dangote kiwanda cha Kuchakata mafuta (Refinery) kutoa IPO katika masoko ya hisa Africa.

    Kumbe ile refinery plant ya nigeria alifanikiwa kuimplement,mimi nikajua kutokana na lile zengwe na viongozi wa serikali ndio ikabidi ahamishie huku kwetu....kumbe tajiri kaona fursa ya mafuta Africa na kaishi nayo,Hongera kwake
  3. MLUGURU

    JamiiForums Tanzania Basi la Abood lakamatwa na kilo 101.2 za mirungi, eneo la Tegeta Kibo

    Barabara ya Kaskazini imeharibika sana na hiyo biashara,Polisi wanajitahidi sana ukienda pale polisi korogwe utaina gari nyingi za thamani zimetaifishwa kwa kosa la kubeba milungi
  4. MLUGURU

    JamiiForums Tanzania Watu hawa wanashusha energy yako bila wewe kujua katika maisha yako

    Shughuli zangu kwa kiasi kikubwa ni ukulima na nimepiga hatua kubwa kidogo ukilinganjsha,ila idea ya kununua shamba la kwanza kabisa niliipata kwa rafiki.yangu wa karibu tena alikuwa ni jobless mpambananji ila alishare na mimi taarifa za kumiliki shamba na mimi akili ikashtukia hapo. So mimi...
  5. MLUGURU

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuajiriwa kwa muda mrefu nimeamua kuanza upya kwa mtindo huu

    Yes,kilimo cha miwa kina siasa zake hasa ukifika muda wa kuvuna na kiwandani kuna foleni wakubwa washapeleka miwa yao....cha msingi lima ila usiwe na mategemeo makubwa
  6. MLUGURU

    JamiiForums Tanzania Umasikini unavumilika ukiwa unajitegemea, hakuna umasikini mbaya kama unapokuwa na familia inayokutegemea halafu huna pesa

    Poverty is very expensive yaani umaskini ni gharama sana.
  7. MLUGURU

    JamiiForums Tanzania KERO Malalamiko ya "DEED POLL" kwa wasailiwa, yamulikwe ni kosa la uelewa wa baadhi ya watendaji wa serikali

    Kwenye para ya 1 mpaka ya 5 ndugu mwandishi umepuyanga kwani inaonekana bado hujui mazingira yepi yanahitajika kutumia affidavity na yepi ni ya deedpoll. Kuhusu hilo la kuscan hiyo qr code hapo ni mamlaka husika kukubaliana na kuridhika matumizi ya teknolojia mpya,mtumishi binafsi hawezi...
  8. MLUGURU

    JamiiForums Tanzania Akiri kuwabaka watoto wake 2 baada ya kumtuma mke dukani, ajitetea ni pombe!

    atutajie mganga aliemtuma NB: Tuache kuwasumbua sana waganga wakituchoka wanatupa masharti magumu ili tufedheheke tudhalilike.
  9. MLUGURU

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mkurugenzi wa uendeshaji wa EFM na TVE Dennis Ssebo Afariki Dunia

    Ijumaa ilikuwa inaenda poa sana na FNL yake.....Rip Sebbo.
  10. MLUGURU

    JamiiForums Tanzania Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC akutana na Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania

    Sura ya yule mama pembeni kule inaongea kila kitu kuhusu uzito wa hoja za kikao hicho.
  11. MLUGURU

    JamiiForums Tanzania Bashite kufunga namba za Serikali kwenye magari binafsi, hii imekaaje?

    Hapa ndipo mzungu alitupiga changa kutuletea utawala wa aina hii.Tumekwisha
  12. MLUGURU

    JamiiForums Tanzania TANZIA Naibu Kamishna Mstaafu wa Polisi (DCP) Michael Kamuhanda Afariki Dunia

    Tukio la mwangosi nalikumbuka ndio nimejiunga tu na JF nakutana na ule mtiti picha na video za lile tukio zilikaa sana kwenye desktop yangu miaja ile time flies... Rip mwangosi
  13. MLUGURU

    JamiiForums Tanzania Je, AI itatusaidia au itachukua nafasi zetu?

    AI akianza kushika jembe ndio ntajua anachukua nafasi yangu.
  14. MLUGURU

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea ndani ya jengo la China Plaza?

    inategemea na aina ya matajiri wanaozunguka eneo husika,nilishaenda bagamoyo nkaambiwa vijana wanatolewa sana kafara mbali huko baharini ili matajiri warudi na samaki nuingi wapige pesa,migodini hali kadhalika yani kila sehemu yenye matajiri ina namna yake. Hapo sehemu tajwa ina warabu wamanga...
Back
Top Bottom