Tukio la mwangosi nalikumbuka ndio nimejiunga tu na JF nakutana na ule mtiti picha na video za lile tukio zilikaa sana kwenye desktop yangu miaja ile time flies... Rip mwangosi
inategemea na aina ya matajiri wanaozunguka eneo husika,nilishaenda bagamoyo nkaambiwa vijana wanatolewa sana kafara mbali huko baharini ili matajiri warudi na samaki nuingi wapige pesa,migodini hali kadhalika yani kila sehemu yenye matajiri ina namna yake.
Hapo sehemu tajwa ina warabu wamanga...
Punguza mafuta mwilini mkuu vidole kufa ganzi ni mafuta hayo kubana mishipa ya damu inafanya damu haipenyi kufika maeneo husika.
Jaribu kufika hospitali kwa uchunguzi zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.