unaongelea club au kitambaa cheupe,kama kitamabaa cheupe sawa ila kama club hao vijana wako hawawezi kusimamia show pale 1245 bado uhitaji wa wazee ni mkubwa sana.
mkuu hapo korogwe kwa sasa matajiri wameamia hapo kuchimbua ardhi hekari kwa mahekari kupanda mkonge,mkonge unataka kuzika hela so kwa mtaji wako huo pale patakufaa kwa biashara za kuchuuza maana korogwe inalisha vijiji vingi sana vya korogwe vijijini.
watoto wakali wa kisambaa weupee pee hata...
wataalamu wa mambo wanasema wewe mtumishi lile ambalo unalifanyaga kipindi ukichukua likizo ndio hilo utakuwa unalifanya wakati umestaafu.
kwa jinsi nilivyomuelewa ni kuwa kama lipindi cha likizo ulikuwa unaenda kutumia muda wako shamba basi hata ukistaafu nguvu na akili zako utazielekeza huko...
nilienda nyumba 1 ya kishua huko nkakuta banda la chuma kubwa lipo sebleni najiuliza hapa ni nini naona mzee kasuku huyo anashuka toka ghorofani kurejea kwenye banda lake....ila wana kelele hao na kusumbua wageni mi alikuwa anakuja anadonoa nguo yangu.
TCRA pamoja na haya makampuni ya simu ya Tanzania (Tigo, Vodacom, Halotel, Zantel, Airtel,ttcl), miongoni mwa wateja wenu kuna hawa wenye mahitaji maalumu ambao ni viziwi kiasili. KIZIWI maana yake ni mtu ambae hawezi kuwasiliana kwa namna yoyote ile kwa njia ya sauti zaidi ya video call na sms...
huyu kaka mkubwa nilianza kumuangalia kwa jicho pevu alivyowadindia kina gsm kule mikocheni na kumpa shit nyingi sana injinia while hayupo madarakani....kifupi ni jeshi la mtu mmoja alafu seems wazee wanamzingatia sana huyu braza tofauti na sisi mayanki tunavyomuona.
let saga continue.
nilitumia copy zake zile za 35000 aisee kuna siku manzi alinipigia kuwa bado kwake anasikia harufu ya marashi yangu.hapo wiki imepita tangu niende kwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.