Sema kibongo bongo ukiwa na kibunju unadharaulika sana,lingekuwa subanga sjg sijui kama angethubutu kuchomoa funguo kama kamkamata bodaboda vile.
Mwamba alikuwa na haki ya kubalamaki hapa mazarau yalizidi
Hata kama sio kuchomoa funguo ila namna yoyote ya dharau ile hapa naongelea
Sema kibongo bongo ukiwa na kibunju unadharaulika sana,lingekuwa subanga sjg sijui kama angethubutu kuchomoa funguo kama kamkamata bodaboda vile.
Mwamba alikuwa na haki ya kubalamaki hapa mazarau yalizidi.
Juzi nilikuwa kijiji kimoja ndichi huko nkamuokoa msichana mmoja kutapeliwa mana aliambiwa katumiwa pesa KCB kutoka dubai.
Nkamuuliza wewe una ndugu dubai wa kukutumia pesa huku kijijini?
Sema nilitumia nguvu kubwa sana maana kumshauri mtu anaekaribia kutapeliwa ni kazi kubwa sana.
Tunza tu afya mzee piga mazoezi mengi na jenga misuli ya kutosha hiyo 70 itakukuta bado unakimbiza VW au JETOUR kama mwehu barabarani ukiikata kitonga kuelekea mafinga kuuza miti yako kwa wachina hapo ukiwa umetoka korogwe kuuza mkonge huku simu za wadau wa korosho mtwara zinaita.
Mambo ya tv...
Huo umri mwanaume unabaki nyumbani kufanya nini,mwanaune aliejipanga yuko mikoani huko anasimamia miradi nyumba ishapata wasimamizi rasmi ambao ni hao watoto uliowakuza.
Hapo ni kupiga route mikoani mashambani huko kwenye miradi mbalimbali.
uzi upo humu wataalam wataufukunyua,jamaa ilifika siku yake ya kutoa kafara ni kama alikuwa ajajiandaa/ajaiandaa so akaanza kubet kwa watu waliomzunguka lakini ikawa aitoshi mpaka alipoamua kujilamba shaba yeye mwenyewe.
Na yeye before alikuwa na hilo hilo life la kiturist kuzunguka dunia nzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.