Sijapata kuona tofauti ya matumizi ya kitambulisho cha kupigia kura cha 2010 na hiki kitambulisho cha BVR,kimatumizi ktk uchaguzi huu na uliopita taratibu ni zile zile,wakuu naomba kujuzwa nini MCHANGO iliyopatikana kwetu ktk BVR?
NB:- Hakika hii tenda imetembea na mkwanja mrefu
waungwana habari zenu pia poleni kwa shughuli,msaada wenu tafadhali naomba kupatiwa na kusaidiwa vyanzo vya kupata application nyingine ukitoa hii ya playstore,
mfano Mimi Nina
mobo market,
blackmart basi
hivyo basi naomba mnipatie market nyingine.
asante kwa msaada wenu nawasilisha
kichwa chako ni mzigo unaupatia mwili wako taabu kukibeba kichwa kikubwa kisicho na ajili
tunajua mmepangishiwa nyumba pale ukonga kumchagua ENL tupo njiani kuja kuwatoa hapo nduki
wakuu habari zenu,napenda kuleta ka uzi haka kwenu ili nipate mualobaini wa matatizo haya yahusuyo sd card.ninatumia simu huawei y 530 pia nina sd card 8 GB,tatizo ni kuwa nasumbuliwa sana na setting pindi niwekapo sd card as default inakubali lkn ninapoendelea kutumia baada ya muda yaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.