Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 5,135
- 7,652
Endapo uchaguzi utakua wa haki na huru KURA YANGU NDIO ITAKAYOAMUA NANI ATAKUA RAIS.
Nami namshangaa huyu GAMBA! Kura ndiyo itayompeleka mtu Ikulu!
Endapo uchaguzi utakua wa haki na huru KURA YANGU NDIO ITAKAYOAMUA NANI ATAKUA RAIS.
Hovyo kabisa! Ukawa wengi wenu sijui mtapanuka kifikra lini?
Usiseme hatakuwa rais....sema hutampigia kura...tutamchagua hivyo hivyo,bora tumchague mtu wa visasi kuliko kuichagua tena CCM.over our dead bodies!!
edward lowasa hatokuwa rais wa tanzania kwasababu....
1.hajui kabisa kutawala kwa kuongozwa na sheria, mara nyingi amekua akifanya kazi kwa misukumo ya marafiki zake na interest zake mwenyewe na ndio maana kila kona amekua akiiba na kuharibu kazi hata kutuingiza hasara kama taifa, nakutimua watu kazi hovyo hovyo kwasababu hawamtengei fedha za matumizi yake.
2. Hli yake kiafya ni mbaya sana hivyo kuongoza hatoweza kabisa, nchi inataka watu watakaotumia mda mwingi kupambana na shida za watu. Sasa lowasa na ugoigoi hatoweza mikikimikiki ya ikulu zaidi ya kutumia mda mwingi hospitalini.
3. Hana busara na mwono wa kitaifa, mpaka sasa lowasa amekata tamaa ya kuendelea na mchakato ila marafiki wake wenye nia mbaya na taifa wanazidi kumlazimisha kwa nguvu ili waje kujichotea mali za umma, hivyo anaendelea na kampeni ili aje kuwaachia rafiki zake mali za umma.
4.kampeni zake, nyingi za kampeni zake lowassa amekua asikiki nini anasema, kwa maana nyingine hana sera za msingi kwa watanzania, hivyo kuonyesha kuwa kimsingi hajajipanga kimantiki kuwa rais wa taifa tanzania.
5. Chuki na visasi, lowasa ni mtu wa chuki na visasi hivyo hatoweza kuongoza kwa usawa na uhuru wa watu kutoa maoni na kukosoa serikali. Mfano lowasa alibanwa na mh mangula miaka ya 2007 na mwaka 2008 akamchezea rafu kama sehemu ya kutekeleza visasi na kuendeleza chuki, pia baada ya makongoro kuwashughulikia 2008 lowassa akija kutekeleza chuki zake 2012 wakati makongoro anagombea uwenyekiti wa ccm mara.
say no to lowassa.........say no to lowassa....say no to lowassa!!!!!
edward lowasa hatokuwa rais wa tanzania kwasababu....
1.hajui kabisa kutawala kwa kuongozwa na sheria, mara nyingi amekua akifanya kazi kwa misukumo ya marafiki zake na interest zake mwenyewe na ndio maana kila kona amekua akiiba na kuharibu kazi hata kutuingiza hasara kama taifa, nakutimua watu kazi hovyo hovyo kwasababu hawamtengei fedha za matumizi yake.
2. Hli yake kiafya ni mbaya sana hivyo kuongoza hatoweza kabisa, nchi inataka watu watakaotumia mda mwingi kupambana na shida za watu. Sasa lowasa na ugoigoi hatoweza mikikimikiki ya ikulu zaidi ya kutumia mda mwingi hospitalini.
3. Hana busara na mwono wa kitaifa, mpaka sasa lowasa amekata tamaa ya kuendelea na mchakato ila marafiki wake wenye nia mbaya na taifa wanazidi kumlazimisha kwa nguvu ili waje kujichotea mali za umma, hivyo anaendelea na kampeni ili aje kuwaachia rafiki zake mali za umma.
4.kampeni zake, nyingi za kampeni zake lowassa amekua asikiki nini anasema, kwa maana nyingine hana sera za msingi kwa watanzania, hivyo kuonyesha kuwa kimsingi hajajipanga kimantiki kuwa rais wa taifa tanzania.
5. Chuki na visasi, lowasa ni mtu wa chuki na visasi hivyo hatoweza kuongoza kwa usawa na uhuru wa watu kutoa maoni na kukosoa serikali. Mfano lowasa alibanwa na mh mangula miaka ya 2007 na mwaka 2008 akamchezea rafu kama sehemu ya kutekeleza visasi na kuendeleza chuki, pia baada ya makongoro kuwashughulikia 2008 lowassa akija kutekeleza chuki zake 2012 wakati makongoro anagombea uwenyekiti wa ccm mara.
say no to lowassa.........say no to lowassa....say no to lowassa!!!!!
edward lowasa hatokuwa rais wa tanzania kwasababu....
1.hajui kabisa kutawala kwa kuongozwa na sheria, mara nyingi amekua akifanya kazi kwa misukumo ya marafiki zake na interest zake mwenyewe na ndio maana kila kona amekua akiiba na kuharibu kazi hata kutuingiza hasara kama taifa, nakutimua watu kazi hovyo hovyo kwasababu hawamtengei fedha za matumizi yake.
2. Hli yake kiafya ni mbaya sana hivyo kuongoza hatoweza kabisa, nchi inataka watu watakaotumia mda mwingi kupambana na shida za watu. Sasa lowasa na ugoigoi hatoweza mikikimikiki ya ikulu zaidi ya kutumia mda mwingi hospitalini.
3. Hana busara na mwono wa kitaifa, mpaka sasa lowasa amekata tamaa ya kuendelea na mchakato ila marafiki wake wenye nia mbaya na taifa wanazidi kumlazimisha kwa nguvu ili waje kujichotea mali za umma, hivyo anaendelea na kampeni ili aje kuwaachia rafiki zake mali za umma.
4.kampeni zake, nyingi za kampeni zake lowassa amekua asikiki nini anasema, kwa maana nyingine hana sera za msingi kwa watanzania, hivyo kuonyesha kuwa kimsingi hajajipanga kimantiki kuwa rais wa taifa tanzania.
5. Chuki na visasi, lowasa ni mtu wa chuki na visasi hivyo hatoweza kuongoza kwa usawa na uhuru wa watu kutoa maoni na kukosoa serikali. Mfano lowasa alibanwa na mh mangula miaka ya 2007 na mwaka 2008 akamchezea rafu kama sehemu ya kutekeleza visasi na kuendeleza chuki, pia baada ya makongoro kuwashughulikia 2008 lowassa akija kutekeleza chuki zake 2012 wakati makongoro anagombea uwenyekiti wa ccm mara.
say no to lowassa.........say no to lowassa....say no to lowassa!!!!!
Huna lolote jipya!
Tunajua huu mda wenu wa kwaya umeanza ili buku 7 isome!
Vyovyote vile! Kura yangu na familia yangu na 75% ya wanaomzunguka kwa lowassa! Am done
Inawezekana huna familia, na kama inayo basi na yenyewe pia ni goigoi kama ww mwenyewe, ni wachache wenye akili mbovu kama ww wanaosema watampigia Lowasa, na hawana sababu kama ww.
Kaa kushoto! Nishafanya maamuzi since!
Huna jipya
Huna maamuzi yeyote yale, kwani ww ni bendera fuata upepo, na siku zote watu walozoea kukaririshwa ndo hasara yake hiyo, naamini kwamba kama una familia basi unawalazimisha kufanya unachotaka ww, lakini pia naamini hawatofanya kama unavofikili ww, kwani kura ni siri ya mtu.
Achana naLowassa. Huyo ni agano la kale. Tunahitaji Magufuli Agano JipyaNa Lowasa huyo uliemsema ndie watanzania,makada wa ccm waliochoka uovu wa CCM...ndie wanaemtaka.Despite all the presumptiv weaknesses.
AFTER ALL THIS IS NOT HEAVEN,WE ARE NOT LOOKING FOR ANGEL.
edward lowasa hatokuwa rais wa tanzania kwasababu....
1.hajui kabisa kutawala kwa kuongozwa na sheria, mara nyingi amekua akifanya kazi kwa misukumo ya marafiki zake na interest zake mwenyewe na ndio maana kila kona amekua akiiba na kuharibu kazi hata kutuingiza hasara kama taifa, nakutimua watu kazi hovyo hovyo kwasababu hawamtengei fedha za matumizi yake.
2. Hli yake kiafya ni mbaya sana hivyo kuongoza hatoweza kabisa, nchi inataka watu watakaotumia mda mwingi kupambana na shida za watu. Sasa lowasa na ugoigoi hatoweza mikikimikiki ya ikulu zaidi ya kutumia mda mwingi hospitalini.
3. Hana busara na mwono wa kitaifa, mpaka sasa lowasa amekata tamaa ya kuendelea na mchakato ila marafiki wake wenye nia mbaya na taifa wanazidi kumlazimisha kwa nguvu ili waje kujichotea mali za umma, hivyo anaendelea na kampeni ili aje kuwaachia rafiki zake mali za umma.
4.kampeni zake, nyingi za kampeni zake lowassa amekua asikiki nini anasema, kwa maana nyingine hana sera za msingi kwa watanzania, hivyo kuonyesha kuwa kimsingi hajajipanga kimantiki kuwa rais wa taifa tanzania.
5. Chuki na visasi, lowasa ni mtu wa chuki na visasi hivyo hatoweza kuongoza kwa usawa na uhuru wa watu kutoa maoni na kukosoa serikali. Mfano lowasa alibanwa na mh mangula miaka ya 2007 na mwaka 2008 akamchezea rafu kama sehemu ya kutekeleza visasi na kuendeleza chuki, pia baada ya makongoro kuwashughulikia 2008 lowassa akija kutekeleza chuki zake 2012 wakati makongoro anagombea uwenyekiti wa ccm mara.
say no to lowassa.........say no to lowassa....say no to lowassa!!!!!
Wee unasumbuliwa na ukabila. Huna lolote kama unasema hata maiti utaipigia kura. Huna uelewa wa kutosha juu Nchi yetu na wagombea wetu.Hey you damage!
Why are you concern with?
Achana na mimi!
Whether he or not I have made up my mind! Hata iwekwe mait I will YES to him than the so damage CCM!
Kaa kushoto!
edward lowasa hatokuwa rais wa tanzania kwasababu....
1.hajui kabisa kutawala kwa kuongozwa na sheria, mara nyingi amekua akifanya kazi kwa misukumo ya marafiki zake na interest zake mwenyewe na ndio maana kila kona amekua akiiba na kuharibu kazi hata kutuingiza hasara kama taifa, nakutimua watu kazi hovyo hovyo kwasababu hawamtengei fedha za matumizi yake.
2. Hli yake kiafya ni mbaya sana hivyo kuongoza hatoweza kabisa, nchi inataka watu watakaotumia mda mwingi kupambana na shida za watu. Sasa lowasa na ugoigoi hatoweza mikikimikiki ya ikulu zaidi ya kutumia mda mwingi hospitalini.
3. Hana busara na mwono wa kitaifa, mpaka sasa lowasa amekata tamaa ya kuendelea na mchakato ila marafiki wake wenye nia mbaya na taifa wanazidi kumlazimisha kwa nguvu ili waje kujichotea mali za umma, hivyo anaendelea na kampeni ili aje kuwaachia rafiki zake mali za umma.
4.kampeni zake, nyingi za kampeni zake lowassa amekua asikiki nini anasema, kwa maana nyingine hana sera za msingi kwa watanzania, hivyo kuonyesha kuwa kimsingi hajajipanga kimantiki kuwa rais wa taifa tanzania.
5. Chuki na visasi, lowasa ni mtu wa chuki na visasi hivyo hatoweza kuongoza kwa usawa na uhuru wa watu kutoa maoni na kukosoa serikali. Mfano lowasa alibanwa na mh mangula miaka ya 2007 na mwaka 2008 akamchezea rafu kama sehemu ya kutekeleza visasi na kuendeleza chuki, pia baada ya makongoro kuwashughulikia 2008 lowassa akija kutekeleza chuki zake 2012 wakati makongoro anagombea uwenyekiti wa ccm mara.
say no to lowassa.........say no to lowassa....say no to lowassa!!!!!
Wee unasumbuliwa na ukabila. Huna lolote kama unasema hata maiti utaipigia kura. Huna uelewa wa kutosha juu Nchi yetu na wagombea wetu.
Big no. He's incapacitated, of unsound mind to say the least.I say YES to him.