Recent content by mlosa

  1. M

    Dr. Magufuli ashindwa kuhutubia baada ya kuzomewa

    Inatosha sasa CCM tumechokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah
  2. M

    Dr. Magufuli ashindwa kuhutubia baada ya kuzomewa

    nitupie hiyo,0712635299
  3. M

    Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

    acha kupotosha watu, nimeingia kwenye website ya UDOM leo pesa ya matibabu ni sh elfu 50
  4. M

    Tundu Lissu: Dr. Slaa ni muongo, watanzania mpuuzeni. Maneno yote tatizo ni Urais

    Nataman niisikie hiyo clip, naipataje aise??
  5. M

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Hakuna upepo ulio badirika zaidi wanamuimarisha Lowassa
  6. M

    Hotuba ya Lowassa jana: Alisimama au kukaa?

    Alitumia muda mfupi kutokana na kupewa muda kidogo,maana alianza kuhutubia saa 11:36.ikiwa kwa muujibu wa sheria mwisho ni saa 12 ulitaka ahutubie dk ngap??
  7. M

    Wasomi wa Elimu ya Juu wakataa kuburuzwa

    inawezekana kabisaa, mpaka mwaka jana wanafunzi walikua wananufaika na mkopo ni 97,348 ambao ni sawa na sh 300 billioni hakuna hata mmoja ambae amelipa mpaka sasa na mwaka huu idadi inaongezeka watasemaji haiwezekan? waende zao
  8. M

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    inaonekana umesimuliwa hotuba ila hujaona wala kusikia,
  9. M

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    Hata siku moja adui hawezi kukusifia kwa lolote hata ufanye zuri lip,mlitaka tumuweke Slaa mshinde kiraisi?? lazima tuwavuruge safari hii
  10. M

    UKAWA wanaweza kutumia muda wote kuwajibu Mkapa, Mwinyi na Makongoro

    Nackia Lowasa leo kapanda daladala asubuhi wakati anaenda kwenye shuhuri zake,kama kunamwenye taarifa zaidi atujize
  11. M

    UKAWA wanaweza kutumia muda wote kuwajibu Mkapa, Mwinyi na Makongoro

    Hatuta wajibu kitu CCM Ila tuwasamehe wote walio tukana tutapiga kampeni za kistaarabu, wanao tukana ni wale wanao ona jahazi linazama ambao no ccm
  12. M

    Diamond, ni nani kakwambia Sumaye na Lowassa ni kabila moja?

    Njaa zake tu, alienda kukutanishwa na Wema
  13. M

    CCM Wapiga Mkwara Television Kuruka Live

    mliopo online na mnaocheki tv tujuzen nn kinaendelea??
Back
Top Bottom