Kuna watu wanajiona malaika ila maisha tunayoishi kila mtu anajua yake. Most people wana michepuko amini usiamini. Ni wachache waaminifu kwenye ndoa zao.
Hili linatuhusu jinsia zote.
Inawezekana umeshawahi kuchepuka au la. Lakini swali la msingi ni hili, kuna umuhimu wowote wa kumwambia mchepuko kama una mume au mke? Je ukimwambia madhara yake ni yapi na usipomwambia madhara yake ni yapi? Msije kusema nachekelea kuchepuka, but we live the...
Sasa kuna shida gani hapo? Kama ni mimi naweka, kwani mtu akisoma anajua ni mume yupi? mbona watu tunaweka dp kwenye whatsapp "I love You" alafu naweka na kale kaua kazuuuuuri. Kama nina michepuko yangu kila mchepuko atajua ni yeye. Kalaga bao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.