Recent content by MLETSANE

  1. M

    Nape: Hatutakabidhi nchi kwa wahuni

    Mkuu, asante kwa habari hii! Ila ningependa umtaarifu kijana Nape kuwa, muda ndiyo mwamuzi, na maji ndiyo hayo yameshamwagika, pengine abaki na chungu kilichobebea maji ambacho nacho kimesambaratika! Heri tuikabidhi nchi kwa hao wahuni tuanze nao ukurasa mpya na tofauti, kuliko kuendelea...
  2. M

    CCM wahofia mkutano wa CHADEMA, wadai kuna mamluki wameandaliwa kuhadaa umma

    Sasa ndugu Nape, kwa akili yako ya kawaida, hata bila kuipitisha kwenye bomba la maji ukaamini thread hii itawasumbua waungwana kweli? Mbona umejiaibisha kwa kueleza mbinu zenu mnazofanya kuwarubuni M4C? Hapa umepotea njia, kajaribu NCCR na CUF mlikozoea kuwa vyeo ili muongeze idadi ya...
  3. M

    Angalia Mtazamo wa Wazanzibari

    Asante kaka/dada kwa ufafanuzi, kuwa, makaratasi ya mitihani haiandikwi majina ya watahiniwa bali namba zao za mitihani! Sasa labda na hao wasahihishaji wana maelekezo kuwa wakihisi mwandiko huu ni wa "kiboko haramu" wakiseshe! Lau basi pengine hao watahiniwa huwa wanaandika namba zao za...
  4. M

    Watanzania Wengi ni Wavivu? The Moment of Truth!

    QUOTE=mikonomiwili;3933879]Ukiwa una compare Tanzania na nchi jirani kama kenya ama Uganda ama Rwanda utangundua kua watanzania ni wavivu kwa asilimia kubwa sana tofauti na mataifa mengine. kunasiku Mkapa alitoa hii kauli lakini watu walimshambulia sana , lakini mimi naamini ukweli una uma na...
  5. M

    Wamasai jijini dar

    Mimi kwa mtizamo wangu, na hasa experience ya kuishi jirani na hawa wamasaai, hakuna haja ya kuwa na woga kuwahusu wao katika hali ya kawaida! Wamasaai wamekuwa hivyo tangu ustaarabu ulipoingia mjini Arusha na Nairobi Kenya! Kwa upande wa Kenya, pamoja na kuwa kati ya makabila...
  6. M

    Tunamuonea Rais Kikwete?

    Tungetarajia nini kutoka kwa mpiga tumba kwenye ngoma ya kikwere?! Napita tu, baadae
  7. M

    Mtei kasema UKWELI ULIOSHINDWA KUTAMKIKA, tuache unafiki!

    N Ndibalema: Umesomeka kiukweli kweli. Tuwe wavumilivu tusubiri tuone, pengine Rais hakuchagua based on such claimed criteria; kumbe lengo ni kupata Katiba mpya inayo cover area zote of concern bila kujali huo udini; or rather ukristo na uislamu! Sasa wale wahindu, freemasons, wapagani...
  8. M

    Nassari: Mungu aibariki Tanzania!

    Kwa ushauri tu kwa wanajamvi, tunafahamu ni kiasi gani wanasiasa wasio na huruma, uzalendo na nji hii hata kufikia hapa tulipo! Lakini, endapo sisi tunaojiita great thinkers tutakuwa hatuoneshi u great thinkers wetu kwa kutumia lugha mbofu mbofu tutapoteza mwelekeo unaostahili. Tukubali...
  9. M

    Lema: Ikulu imenivua ubunge ; Ikulu yamjibu vikali

    Naomba nibishe hodi hapa jamvini kwa ugeni wangu, japo nimekuwa msomaji wa muda mrefu sasa. Langu katika hili la Ikulu kutoa tamko mapema kiasi hicho, kinaleta utata hata kwa aliye na uweza mdogo sana kutafakari! QUOTE=LATTICE BOND;3635161]Baada ya mahakama kutoa hukumu, Lema ametoa maoni...
Back
Top Bottom