Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Hii nchi haihitaji kukabidhiwa na mtu au chama chochote bali ITACHUKULIWA na CHADEMA . Nchi si faili wala kapu la machungwa bali ni watu kwa maana ya waTZ ndiyo watakao ikabidhi kwa CHADEMA ; Nape ni ENTITY he can hardly count on anything ni sawa na sisimizi mmoja kujaribu kuzui kundi la nyuki ku- occupy mzinga.
kwa Nape watanzania wapenda mabadiliko ni wahuni. Mafisadi na wezi wa mali ya umma ndo wazalendo