Recent content by mlanga2

  1. M

    NASAHA: Viongozi wetu kuweni makini na ulimi

    Mkuu hii ni coincidence au ni mwezi/wiki yao kina Anthony ? antony dialo sasa antony mtaka
  2. M

    Rais kaamua kuleta mabasi ya mwendokasi mapya kabisa?

    Kuna jambo halipo sawa hapo. TRA wangeweza kuzuia mabasi machache ( thamani sawa na ushuru unaodaiwa) nakuyaruhusu menginhe ili kupata kodi zingine kutokana nayo
  3. M

    Rais kaamua kuleta mabasi ya mwendokasi mapya kabisa?

    Duh mabasi 100 ( mia moja) yangekuwa yanafanya kazi TRA wangepokea kodi kiasi gani kwa mwaka ?
  4. M

    Rais kaamua kuleta mabasi ya mwendokasi mapya kabisa?

    Hayo mabasi bandarini yalikuwa mangapi?
  5. M

    Sokomoko la zawadi ya gari ya Rais mstaafu Mwinyi

    kuna tetesi kuwa hilo ni moja kati ya zawadi tulizopewa na mfalme fulani
  6. M

    Utata juu ya Mradi wa Bagamoyo

    kama nj kweli kuwa Wachina na mabeberu walimuuwa JPM kwa sababu ya kuukataa mradi wa bandari, sasa unataka Ndugai na Rais wa sasa nao wauwawe kwa kuukataa?
  7. M

    Kuibuka kwa suala la bandari ya Bagamoyo ni uthibitisho kuwa Kikwete ndo anaeongoza nchi kwa sasa!

    mambo yawekwe wazi kama vile tulivyofanya kwenye unnunuzi wa ndege za ATCL , mikataba ya ujenzi wa mradi wa umeme JNHEPP n.k
  8. M

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    kumbuka yote uliyoyataja yalifanyywa kwa fedha zetu na zingine (mikopo) bado tutaendelea kuzilipa kwa miaka kadhaa ijayo
  9. M

    Huu ni wakati wa wabunge kutafakari sana kabla ya kuchangia hoja zao; Watanzania walilia watalia na wengi

    Wakumbushe wabunge kikao cha bajeti walichokaa kupitisha ununuzi wa ndege za ATCL
  10. M

    Kumbe Hata Rais wa Kambo Aweza Kuwa Noma Kama Baba au Mama wa Kambo

    kama ni mpinzani kweli nje ya CCM tumia hiyo fursa
  11. M

    Kumbe Hata Rais wa Kambo Aweza Kuwa Noma Kama Baba au Mama wa Kambo

    kama ni mpinzani kweli nje ya CCM tumia hiyo fursa
Back
Top Bottom