Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,289
- 2,413
Unahakika gani kama CAG anasema ukweli?! Kwa nini usifikirie kuwa tunaweza kuwa tunapigwa... Kwa kuonyeshwa hasara na watu waka pindisha kuwa zao?Wewe iyo mikataba aliyoingia hayati umewahi kuiona? Una uhakika gani kama sio ya upigaji? Mambo mangapi amesema ambayo yamekuja kuwa sio kweli?
Aliwahi kutuambia ndege zimetengeneza faida ya deal milion kumi na nne juzi CAG anasema ndege zimeingiza hasara kwa miaka 5 mfululuzo. Utamwamini vipi mtu kama huyu?