Sokomoko la zawadi ya gari ya Rais mstaafu Mwinyi

pamoja na mambo ya zawadi, lkn tusisahau kukisoma kitabu hicho kwani ukikisoma kinaongeza kinga kwenye akili.
 
Kwakua gari limekuja limeishaandaliwa inamaanisha kwamba kamati ya maandalizi yenye wajumbe welevu na shupavu ilipendekeza na kuamua km Serikali. Vinginevyo mama angetoa agizo mzee apatiwe gari hiyo ingekua interest ya mama mwenyewe.
Nashawishika kuamini ivi
 
Mbona kuna watu walijengewa nyumba za mabilioni na hatukusikia kelele?

Na vile vikurugenzi ndugu zake Magu walionunua magari ya bei hizo inakuaje? Mwendazake aliwarudishia hii imekaaje?
 
Kwanza serikali inahaizna ya magari kama yale mengi, wamechagua tu moja wamempa wala hajanunuliwa.
Halafu gari walilompa sio hisan sabab ya uzuri wake au urefu au uzee wake, kama hivo basi kuna wazee wengi na kuna watu wafupi wengi , ila kapewa sabab alikuwa ni raisi wa jamhuri ya muungano na gari anayotumia inampashida.

Wamempa moja wapo ya zile benz za SADC
 
Kwenye hili sakata nimegundua watu wanaomchukia Mother wapo wa makundi 3:
1. Wasiotaka Rais mwanamke, hawa ni jamaa wasiotaka kukubali kuwa dunia imebadilika sana
2. Watanganyika wanaochukia kutawaliwa na Mzanzibari, hawa ni wengi zaidi
3. Wakristo wasiopenda kutawaliwa na mwislamu, hawa wengi vile vile.
Sababu zingine ndogo ndogo na ni wachache ni vyama vya upinzani na watu walioumizwa sana na kifo cha JPM
 
Mbona hukuhoji pale Mwendazake alivyonunua jogoo kwa laki moja? Mbona hukuhoji source ya hela ambazo Mwendazake alikuwa anatapanya hovyo kwa kuwazawadia watu mikutanoni?
Vitu kama si vyote alivyofanya Mwendazake Kama hivi hukutia neno na ulipotaka kusema ulileta ki complicated English ili ku blur intention 😃😃
Mtulie, rais Samia ametoa kwa niaba yetu zawadi kwa rais mstaafu. Ulitaka akodishiwe gari na serikali aliyoitumikia kwa 10 years kama kiongozi mkuu.
MATAGA kubalini bhasi
Aliyekuwa anauza jogoo alikuwa ni kuongozi wa kitaifa?
Lakini pia alinunua hakutoa zawad,

Sasa.mwinyi kapewa gari, je yeye katoa mikioni mia saba ilintuone kazidisha bei ya gari?
 
Ni roho mbaya tu za umaskini wa baadhi ya wa Tz.Rais kasema mzee wetu now anapata tabu kupanda hilo li SUV apatiwe sedan matata ajabu watu wanachonga ngenga tu.Heko kwa mama samia.After all hayo magari inasemekana yako mengi na tulipewa kama zawad isipokuwa kuna mtu alifanya kama yake.
Kuna sehemu pia nilisikia tetesi kuwa number 1 mwenyewe eti ni biological daughter wa mstaafu😂😂
Katika majina matatu ya mama inawezekana hilo la Hassan.
 
Hivi zile Nyumba walizojengewa Marais Wastaafu na Gari kipi kinathamani zaidi? Hiyo mbona kawaida tu.

Nadhani tuache kujaji vitu ambavyo hatuwezi kuzuia kama Rais ameamua.
 
Mbona hukuhoji pale Mwendazake alivyonunua jogoo kwa laki moja? Mbona hukuhoji source ya hela ambazo Mwendazake alikuwa anatapanya hovyo kwa kuwazawadia watu mikutanoni?
Vitu kama si vyote alivyofanya Mwendazake Kama hivi hukutia neno na ulipotaka kusema ulileta ki complicated English ili ku blur intention 😃😃
Mtulie, rais Samia ametoa kwa niaba yetu zawadi kwa rais mstaafu. Ulitaka akodishiwe gari na serikali aliyoitumikia kwa 10 years kama kiongozi mkuu.
MATAGA kubalini bhasi
Pia last year mwenda zake aliwapa marais wastaafu nyumba,hakuna aliyehoji hilo jambo,
aligawa hela kila kona hakuna aliyehoji matumizi mabaya ya fedha.

Mama kazi IENDELEE.
 
Jana Rais Samia kwenye uzinduzi wa kitabu cha Rais mstaafu Mwinyi, alitangaza kuwa katika pia kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Rais wetu huyo wa zamani aliyetimiza miaka 96, serikali imempatia gari [jipya?] aina ya Mercedes Benz iliyo chini [sedan] kwa sababu aliyokuwa akiitumia [nadhani ni SUV] ilikuwa inampa shida kuipanda na kushuka kutokana na umri wake mkubwa kwa sasa pamoja na kimo chake [hapa nahisi Rais Samia alisema kwa utani].

Tangazo hilo la Rais Samia limezua sokomoko kubwa, hususan mitandaoni.

Mimi sina tatizo na ‘zawadi’ hiyo kwa Rais wetu huyo mstaafu. Kwa maelezo machache aliyoyatoa Rais, sina pingamizi lolote lile.

Ila kuna wengine hawakufurahishwa na jambo hilo. Wamehoji kwamba iweje mtu kama Rais Mwinyi, ambaye katumikia taifa kwa muda mrefu na katika nafasi za juu kabisa, mtu mwenye istihaki nyingi hivyo, ashindwe kujinunulia gari linalomfaa kwa matumizi yake.

Rais Mwinyi keshawahi kuwa waziri. Keshawahi kuwa Rais wa Zanzibar. Na alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Sina hakika kama pia huwa anapata marupurupu ya utumishi wake kama Rais wa Zanzibar au la. Naamini ya urais wa Jamhuri ya Muungano anayapata.

Sasa mimi nina maswali kadhaa:

1. Je, hilo gari alilopewa hivi sasa ni la kwake? Limesajiriwa kwa jina lake? Yeye ndo analilipia bima?
Mimi muda wote huu nimekuwa nikidhani kuwa marais wastaafu huwa wanapewa gari ya matumizi na serikali na kwamba magari hayo huwa ni mali ya serikali.
Yaani, Rais mstaafu huwa anapewa gari, ofisi, watumishi wa ofisi, walinzi, na kadhalika.

2. Kama hivyo ni ndivyo, ni kapewa au wamembadilishia tu gari ya matumizi na siku atayoacha kuitumia itarudishwa ilikotoka?

3. Kama wamembadilishia tu gari, Rais angesema ‘tumembadilishia’ gari la matumizi kuliko kusema ‘tumempa’ gari jipya kama zawadi ya siku yake ya kuzaliwa, ingekuwa ni bora zaidi na isingezua sokomoko?

Tatizo nilionalo hapa ni kuhusu timing, optics, na word choice tu.

Zaidi ya hapo kelele zilizopigwa sizioni kama ni hoja zilizo compelling.

Rais Mwinyi siyo raia wa kawaida. Hawezi kulinganishwa na wazee wengine ambao hawajawahi kuwa marais.

Rais Samia kusema ile majuzi kuwa serikali haina hela za kutosha kuwapa posho wazee, hiyo haina maana serikali haina hela za kuwatunza marais wa zamani.

So this is much ado about nothing.

Go ahead and click that ‘Like’ button if you agree with me. Even if you don’t agree but you appreciate the content, go ahead and smash that button.

Happy Sunday and most importantly, have a very happy Mother’s Day!
''Yes all people of this republic we are equal but some people are more equal'' Hii ni kanuni ya kimaumbile hatuwezi kuikwepa,hata huko mbiguni hii kanuni inafanya kazi even angel's are not equal, historia ya mbinguni inasema shetani alikuwa akiitwa Lucifer alikuwa ni maraika mwenye daraja ya juu kuliko wengine lakini hata yeye alikuwa chini ya maraika wengine kwa sifa zao kama maraika Gabriel. Na hapo ndipo chemichemi ya husuda,wivu na chuki iliko zaliwa,shetani alihisi kuhitaji heshima zaidi ya aliyokuwa nayo na ndio chanzo cha kumuasi Mungu.
baada ya kusema hayo watanzania wenzangu tambueni kuwa sisi sote tuko sawa kwa kuwa sisi sote ni binadamu,lakini wenzetu wengine wako sawa zaidi kulingana na madaraja yao katika kulitumikia taifa, tuliwatwika mizigo hiyo wenyewe hatukuwa tumebeba sawa,walibeba zaidi kwa niaba yetu,iweje sasa tutapike nyongo zinazo weza kumtapisha mwengine kwa harufu yake yenye uozo wa chuki,husuda na wivu. Kuna ubaya gani yule mzee wa watu kupewa gari inayo mfaa kwa umri wake,isitoshe ni moja ya stahiki zake!
 
Ndo maana sasa naamini hata nyumbu anawazidi akili!

Mimi sikuhoji hela alizokuwa anagawa Rais Magufuli?

Huyu alieandika hivi ni nani?

View attachment 1778145
Sasa 450 m mbona unaziona si mali kitu wakati 38 m zilikuuma!? Au matumizi ya 38 m yalifanya jambo lisilo na manufaa kwa taifa lakini 450 zimefanya jambo muhimu, zito, la lazima na manufaa kwa taifa!?
 
Jana Rais Samia kwenye uzinduzi wa kitabu cha Rais mstaafu Mwinyi, alitangaza kuwa katika pia kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Rais wetu huyo wa zamani aliyetimiza miaka 96, serikali imempatia gari [jipya?] aina ya Mercedes Benz iliyo chini [sedan] kwa sababu aliyokuwa akiitumia [nadhani ni SUV] ilikuwa inampa shida kuipanda na kushuka kutokana na umri wake mkubwa kwa sasa pamoja na kimo chake [hapa nahisi Rais Samia alisema kwa utani].

Tangazo hilo la Rais Samia limezua sokomoko kubwa, hususan mitandaoni.

Mimi sina tatizo na ‘zawadi’ hiyo kwa Rais wetu huyo mstaafu. Kwa maelezo machache aliyoyatoa Rais, sina pingamizi lolote lile.

Ila kuna wengine hawakufurahishwa na jambo hilo. Wamehoji kwamba iweje mtu kama Rais Mwinyi, ambaye katumikia taifa kwa muda mrefu na katika nafasi za juu kabisa, mtu mwenye istihaki nyingi hivyo, ashindwe kujinunulia gari linalomfaa kwa matumizi yake.

Rais Mwinyi keshawahi kuwa waziri. Keshawahi kuwa Rais wa Zanzibar. Na alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Sina hakika kama pia huwa anapata marupurupu ya utumishi wake kama Rais wa Zanzibar au la. Naamini ya urais wa Jamhuri ya Muungano anayapata.

Sasa mimi nina maswali kadhaa:

1. Je, hilo gari alilopewa hivi sasa ni la kwake? Limesajiriwa kwa jina lake? Yeye ndo analilipia bima?
Mimi muda wote huu nimekuwa nikidhani kuwa marais wastaafu huwa wanapewa gari ya matumizi na serikali na kwamba magari hayo huwa ni mali ya serikali.
Yaani, Rais mstaafu huwa anapewa gari, ofisi, watumishi wa ofisi, walinzi, na kadhalika.

2. Kama hivyo ni ndivyo, ni kapewa au wamembadilishia tu gari ya matumizi na siku atayoacha kuitumia itarudishwa ilikotoka?

3. Kama wamembadilishia tu gari, Rais angesema ‘tumembadilishia’ gari la matumizi kuliko kusema ‘tumempa’ gari jipya kama zawadi ya siku yake ya kuzaliwa, ingekuwa ni bora zaidi na isingezua sokomoko?

Tatizo nilionalo hapa ni kuhusu timing, optics, na word choice tu.

Zaidi ya hapo kelele zilizopigwa sizioni kama ni hoja zilizo compelling.

Rais Mwinyi siyo raia wa kawaida. Hawezi kulinganishwa na wazee wengine ambao hawajawahi kuwa marais.

Rais Samia kusema ile majuzi kuwa serikali haina hela za kutosha kuwapa posho wazee, hiyo haina maana serikali haina hela za kuwatunza marais wa zamani.

So this is much ado about nothing.

Go ahead and click that ‘Like’ button if you agree with me. Even if you don’t agree but you appreciate the content, go ahead and smash that button.

Happy Sunday and most importantly, have a very happy Mother’s Day!
Kuna mwamba aliwahi kugawa mama yake in exchange of a cock.

Mambo ya wanasiasa haya
 
Sina tatizo na Mzee Mwinyi kupeqa gari. Mzee Mwinyi anastahili kupewa gari ya kutembelea na serikali wakati wote. Siyo hisani wala haiwezi kuwa zawadi. Ni stahili yake.

Ila nina tatizo na Mzee Mwinyi kupewa gari kama zawadi. Ingekuwa ni vyema angetafutiwa kitu kingine kama zawadi.
Kama kipi mfano?,taja
 
Back
Top Bottom