Recent content by Mlachake

  1. Mlachake

    JamiiForums Tanzania Vituo vya watoto yatima vilivyopo Dar es salaam

    Shukrani sana
  2. Mlachake

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Hotel Inauzwa ipo Kariakoo Dsm, bei Ni Billioni 10

    hapa ni matangazo madogo madogo jamani.
  3. Mlachake

    JamiiForums Tanzania Musukuma: Mawaziri wa Zanzibar chungeni kauli zenu za kibaguzi bungeni, Rais achukue hatua

    Kuna watu wa ajabu sana humu Duniani. ni mzazibari gani huyo anakataa muungano?
  4. Mlachake

    JamiiForums Tanzania Nanyamba: Mwanamke ajitosa kisimani baada ya kupewa talaka na mume wake

    hali yake inaendeleaje?
  5. Mlachake

    JamiiForums Tanzania Kuhusu wateja Kuhama Bandari ya Dar Es salaam na kuhamia Bandari ya Tanga

    Wadau, kuna taarifa ambazo zimekuwa zikisikika kwamba baadhi ya wateja waliokuwa wanapitisha mizigo yao kupitia Bandari ya Dar es Salaam sasa wanaanza kutumia zaidi Bandari ya Tanga kutokana na sababu mbalimbali kama gharama, ucheleweshaji wa mizigo, congestion na urahisi wa huduma. Je, taarifa...
  6. Mlachake

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nderitu Gachagua’s Family Writes to Ruto Over Alleged Forged Will and Stolen Estate

    Extremely Intelligent move, But politacally motivated to Finish the Truthful Man.
  7. Mlachake

    JamiiForums Tanzania Samuel Mwawato: From Pilot In The US To Garbage Collector In Mtwapa

    The story of Samuel Mwawato is a touching tale that underscores the unpredictable nature of life’s journey. Once a pilot, soaring through the skies over the United States of America, Mwawato’s return to his hometown of Mtwapa, Kilifi, Kenya, took an unexpected and challenging turn. In 1990...
  8. Mlachake

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nandi Tragedy: Student Dies After Septic Tank Collapses at Kapsabet School for the Deaf

    May the Soul of the Depoarted Rest in Eternal Peace.
  9. Mlachake

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Azimio La Umoja One Kenya Makes Changes In Top Leadership

    Junet Muhamed anatetea serikali kuliko hata wabunge wa UDA
  10. Mlachake

    JamiiForums Tanzania Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

    Mkuu hapa nimekuelewa yaani yasipomkuta mtu hawezi kuelewa.
  11. Mlachake

    JamiiForums Tanzania Ibada ya funga katika dini zenu haina utaratibu maalumu ndio maana mnakashifu funga ya Waislamu

    Mjinga unampuuza kwa kukaa kimya ila kuna wajinga wengine wanatakiwa kuambiwa kabisa ni wajinga na tumewapuuuza
  12. Mlachake

    JamiiForums Tanzania Je Tuutumie Mwezi Huu wa Toba, Kufanya Toba ya Kweli, Tukiri Makosa Yetu, Tujute Dhambi Zetu, Tuungame, Tusamehewe, Nchi Itakasike Au Tusubirie Tume?

    Sipendi kuongelea wala kukumbuka yaliyotokea October 29. Kuna Kijana Mmoja Fundi umeme, wiki Moja kabla ya yale mauwaji alikua nyumbani ananirekebishia Baadhi ya switch za umeme, Katika maongezi yake alikua anapinga sana suala la kuandamana tar 29. Baada ya kazi aliondoka Bila Malipo kwasababu...
  13. Mlachake

    JamiiForums Tanzania Buyobe: Kikundi cha Mafwele kitajuta

    Mungu akusamehe.
Back
Top Bottom