Recent content by Mlachake

  1. Mlachake

    Nderitu Gachagua’s Family Writes to Ruto Over Alleged Forged Will and Stolen Estate

    Extremely Intelligent move, But politacally motivated to Finish the Truthful Man.
  2. Mlachake

    Samuel Mwawato: From Pilot In The US To Garbage Collector In Mtwapa

    The story of Samuel Mwawato is a touching tale that underscores the unpredictable nature of life’s journey. Once a pilot, soaring through the skies over the United States of America, Mwawato’s return to his hometown of Mtwapa, Kilifi, Kenya, took an unexpected and challenging turn. In 1990...
  3. Mlachake

    Nandi Tragedy: Student Dies After Septic Tank Collapses at Kapsabet School for the Deaf

    May the Soul of the Depoarted Rest in Eternal Peace.
  4. Mlachake

    Azimio La Umoja One Kenya Makes Changes In Top Leadership

    Junet Muhamed anatetea serikali kuliko hata wabunge wa UDA
  5. Mlachake

    Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

    Mkuu hapa nimekuelewa yaani yasipomkuta mtu hawezi kuelewa.
  6. Mlachake

    Ibada ya funga katika dini zenu haina utaratibu maalumu ndio maana mnakashifu funga ya Waislamu

    Mjinga unampuuza kwa kukaa kimya ila kuna wajinga wengine wanatakiwa kuambiwa kabisa ni wajinga na tumewapuuuza
  7. Mlachake

    Je Tuutumie Mwezi Huu wa Toba, Kufanya Toba ya Kweli, Tukiri Makosa Yetu, Tujute Dhambi Zetu, Tuungame, Tusamehewe, Nchi Itakasike Au Tusubirie Tume?

    Sipendi kuongelea wala kukumbuka yaliyotokea October 29. Kuna Kijana Mmoja Fundi umeme, wiki Moja kabla ya yale mauwaji alikua nyumbani ananirekebishia Baadhi ya switch za umeme, Katika maongezi yake alikua anapinga sana suala la kuandamana tar 29. Baada ya kazi aliondoka Bila Malipo kwasababu...
  8. Mlachake

    Buyobe: Kikundi cha Mafwele kitajuta

    Mungu akusamehe.
  9. Mlachake

    Tunampa Bongo Zozo hadi Jumatatu aturudishie hela zetu

    yaani Bitcoin Moja Mwaka Jana mwezi wa 8 ilikua Tshs Milioni 321 na Leo hii ni Milioni 177?? for Real?
  10. Mlachake

    Nyaraka za Siri za Epstein: Kisiwa cha Mnemba kama 'Uchochoro' nchini Tanzania

    There’s no verified connection between Mnemba Island and the Epstein files. The link people mention online is rumor-by-association, not evidence. What the Epstein files actually are When people say “Epstein files,” they usually mean: Court documents, flight logs, contact lists, and...
  11. Mlachake

    Tarehe 23 ya NSSF inavyonipa presha na kuniweka roho juu. Niombeeni please!

    Ha ha ha hizi pombe hizi kuna siku nilikunywa konyagi nikachanganya na Zanzi niliumwa wiki nzima
  12. Mlachake

    Picha: Nimepata msongo wa mawazo baada kuona katuni ya leo ya Masoud Kipanya akizungumzia sakata la Wachina

    Hujaelewa hapo, Mama anaponunua mchele kwa Mzawa anampa mzawa uwezo na yeye wa kununua vitumbua kwake na ubwabwa. Mama alipoenda kununua mchele kwa mchina mzawa naye hana uwezo wa kununua vitumbua kwasababu hajauza naye mama anabaki na vitumbua vyake kwasababu mzawa hana uwezo wa kununua...
Back
Top Bottom