Buyobe: Kikundi cha Mafwele kitajuta

Buyobe: Kikundi cha Mafwele kitajuta

Haina shida katika operation ya kuua wale nyumbu wahalifu wa October 29 wako na watu wema waliuwawa kimakosa hilo linajulikana ilimradi nyumbu wahalifu walikufa wengi zaidi hilo linatosha, amani ya nchi hii italindwa kwa gharama yoyote , sahivi nyumbu mmeshika adabu mmebaki kuimba taarabu mitandaoni

Mungu akusamehe.
 
Hivi kwanza buyobe yupo nchini? Mafwele naye ni kama kibaka tu, hizo kazi za utekaji na uuaji zipo kila nchi, ila ni very professional, huwezi kuta kiongozi wa hilo genge anajulikana hadu na watoto wadogo mitaani, hii nchi mambo yake yanaenda unprofessional, eti jasusi anaenda kuteka wavuta bangi,halafu yeye mwenyewe anaenda kuwa interrogate, mara eti mafwele anamuambia mateka wake Agatha atuahire atampa mimba, fakin kabisa hii nchi
Mwisho wake utakuwa mbaya sana MAFWELE.
 
Oct 29 kuna ccm kindakindaki walikula chuma.

Wengine walitoka kupiga kura tena wakimchagua huyo huyo lakini walikula chuma.

Haya mambo sio ya kuyafurahia saaana.

Kwa maana huwezi jua siku wala saa, mvua hata wewe inaweza ikakunyeshea na maisha yao yakaendelea kama kawaida.
Mmojawapo
 
Back
Top Bottom