The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,672
- 20,647
Yetu.macho na.masikio
They are trustworthy, hence i trust, to the uppermost height of my trust,aint you?Unaamini unatoyasikia mkuu wangu ?
Haina shida katika operation ya kuua wale nyumbu wahalifu wa October 29 wako na watu wema waliuwawa kimakosa hilo linajulikana ilimradi nyumbu wahalifu walikufa wengi zaidi hilo linatosha, amani ya nchi hii italindwa kwa gharama yoyote , sahivi nyumbu mmeshika adabu mmebaki kuimba taarabu mitandaoni
nonsense

Mwisho wake utakuwa mbaya sana MAFWELE.Hivi kwanza buyobe yupo nchini? Mafwele naye ni kama kibaka tu, hizo kazi za utekaji na uuaji zipo kila nchi, ila ni very professional, huwezi kuta kiongozi wa hilo genge anajulikana hadu na watoto wadogo mitaani, hii nchi mambo yake yanaenda unprofessional, eti jasusi anaenda kuteka wavuta bangi,halafu yeye mwenyewe anaenda kuwa interrogate, mara eti mafwele anamuambia mateka wake Agatha atuahire atampa mimba, fakin kabisa hii nchi
MmojawapoOct 29 kuna ccm kindakindaki walikula chuma.
Wengine walitoka kupiga kura tena wakimchagua huyo huyo lakini walikula chuma.
Haya mambo sio ya kuyafurahia saaana.
Kwa maana huwezi jua siku wala saa, mvua hata wewe inaweza ikakunyeshea na maisha yao yakaendelea kama kawaida.
Itakuwa IQ ndogo huyoKila anaetekwa/ kamatwa lazima jamaa ajionyeshe mbele yake na kumpiga mikwala