Kuna aina fulani ya mti nimkubwa tu na ni wa asili hupatikana msituni maeneo mbalimbali.
Mti huu unatumika kama dawa ya kutibu magonjwa mbalimbali.
Sifa za mti huu ni kuwa ndege akipaa usawa wa mti huo lazima afe na anaanguka chini ya mti husika.
Miti hii ilikuwepo kwa wingi lakini kwa sasa...
Hiyo ni sugu tiba yake ni kupiga bomba 2mils kupitia haja kubwa dawa isiingie zaidi ya sm 10 kuna vifaa maalum.
Lakini kuna mixture ya dawa tatu zinazotumika. Nitafute.
Mimi nimeongea sana na mpendwa wangu saa 4 usiku muda wa kutosha akiwa hospital but kaniambia subiri kidogo ntakutafuta baadaye but saa tano akafariki na taarifa nikapata asubuhi.
Unanimumbusha maumivu.
Kinumbo ,nadhani kiuhalisia mimi ni muumini wa panya ila naomba uheshimu thread yangu.
Nimepost hapa kwa ajili ya ma expert mainjinia competent wanaojua habari za jometri haswaa siyo wewe uliyesoma memkwa pengine ukafeli.
Kupitia thread hii wengine wanajifunza na kuona kuwa jambo hili...
Tendo la mapenzi ni process ndefu ambayo inahisisha ubongo na fahamu zote kwa asilimia 90.
Hata kama wewe ni mpenzi wa kuku ikitokea ukaona kuku anakula kinyesi halafu muda mfupi kuku huyo akakamatwa kuchinjwa hutaweza kula nyama hiyo kwa kuwa ubongo utakupa tafsiri hasi.
Shida yako ni ukosefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.