Recent content by mla dindili

  1. M

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yajipanga kuteka soko la watalii China

    Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imesema kwa sasa muelekeo wa soko la Utalii nchini umelenga kupata watalii wengi kutoka nchini China na kama Wizara inayoshugulikia masuala ya Utalii, suala la kujifunza lugha ya kichina kwa baadhi ya watumishi na wadau wa utalii ili kuteka soko...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ikulu, Dar: Rais Magufuli akutana na Wafanyabiashara Wakubwa kutoka kila Wilaya nchini. Ataja changamoto za biashara kwa Serikali na Wafanyabiashara

    Mbona hujamssema yule mtanzania wa kiwanda cha bora ambae mpaka Mh Rais akachukua Document zake mbona kaongea vizuri kuna yule mzee wa Tanga mwenye miaka 77 mbona kaongea vizuri ACHA BIAS
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nyalandu: Niliamua kuacha Ubunge baada ya kuzuiwa kwenda kumuona Lissu

    huyu nae mpenda kiki aseme sababu nyingine ila siyo huu upuuzi
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kusitishwa Mradi wa Bagamoyo SEZ kumedhihirisha udhaifu wa Rais Magufuli kwenye Uchumi na Diplomasia

    wakati mwingine mnatumia masaburi kufikiri mkuu yaani umpe mgeni miaka 50 kuendesha bandari alafu ajipangie mwenyewe tozo
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kuongezeka kwa faida katika mabenki ni ishara ya uchumi kuimarika

    TUELEWANE!, AHADI YANGU YA KUBORESHA MASLAHI YA WAFANYAKAZI IKIWEMO KUWAONGEZEA MISHAHARA IKO PALE PALE!, TUJIFUNZE KUWEKA AKIBA YA MANENO Evarist Chahali hayo uliyoyabainisha na Mengineyo yote ni MUHIMU!
  6. M

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer

    Mzee Baba pole bana kumbe povu lote hili ni kwa sababu sikuhizi Hupati tena Tender zile za Serikali!!😂😂 Vigezo, Sifa na Masharti kuzingatiwa!,Maisha ya Fiesta ya kipindi cha JK siyo kwa JPM!, Mtalimia MENO! 🤣🤣🤣🤣
  7. M

    JamiiForums Tanzania Sakata la January Makamba na Pesa za NSSF: Awataka maadui zake kumkabili moja kwa moja

    Aaache uoga ye si afanye tu kazi yake anatapatapa tu naye.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ujio wa Rais Magufuli Kyela haujaleta neema yoyote , Shida za maji safi zabaki vile vile

    Inavyoonekana una akili ndogo sana. Yaan shida ya maji ya miaka MAGUFULI angetatua kwa siku moja. uelewa wako ni mdogo na ni mnafiki pia. Kwa hiyo MAGUFULI ni kama YESU alitakiwa aseme naamuru mabomba yatoe maji kyela na maji yangetoka. Unajua kama waziri MWAKYEMBE hajamueleza tatizo hilo...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli abatilisha muda wa usajili wa laini za simu kwa kutumia Vitambulisho vya NIDA kama ilivyotangazwa awali na TCRA

    Tatizo letu tunapenda kujifanya wajuaji wakati hatuna tunalojua hapo mh. Rais amewakumbusha Nida (wizara ya mambo ya ndani ya nchi) kukamilisha kwa wakati utoaji wa vitambulisho vya Taifa ili wananchi wote wenye sifa ya kuwa navyo wawe navyo
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwa hili la matrilioni, Magufuli na Ndugai mjiuzulu!

    Ndoto za mchana, aondoke kwa lipi sasa kwa mfano, we ndio unapaswa kuondoka nchini kwetu urudi kwenu inaonekana kabisa we si raia wa nchi ni mnyonyaji unadandia gari kwa mbele bila kuwa na facts.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mambo ni mazito sana kwa Dkt John Magufuli...

    Another fisadi uliyezibiwa mianya ya upigaji. Eti asigombee 2020. Are you serious kweli? mzee baba imekula kwako utatubu sana hamna cha maana ulichoongea hapo JPM unaye bado mpaka 2025 so jiandae kisaikolojia. Fanya kazi hamna tena pesa za magumashi.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu Kiongozi wa Ikulu, rekebisha dosari hii

    Binafsi sija Binafsi sijakuelewa unachokitaka ni nini kirekebishwe.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Na majivuno yote hayo, mpaka leo Magufuli hajavunja record ya GDP iliyoachwa na Kikwete

    Jibu lako ni rahisi sana kipindi cha jk mambo mengi yalikuwa ya hewa sana na ndio maana watu walimchoka na wakataka rais mkali ili aweze kuweka mambo sawa,sasa kaingia mzee wetu hodari kabisa asiyemuogopa yeyote anasahihisha makosa yote yaliyokuwepo.Na ukitazama kwa umakini sana utakuta hata CAG...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Na majivuno yote hayo, mpaka leo Magufuli hajavunja record ya GDP iliyoachwa na Kikwete

    Jibu lako ni rahisi sana kipindi cha jk mambo mengi yalikuwa ya hewa sana na ndio maana watu walimchoka na wakataka rais mkali ili aweze kuweka mambo sawa,sasa kaingia mzee wetu hodari kabisa asiyemuogopa yeyote anasahihisha makosa yote yaliyokuwepo.Na ukitazama kwa umakini sana utakuta hata CAG...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Na majivuno yote hayo, mpaka leo Magufuli hajavunja record ya GDP iliyoachwa na Kikwete

    Hatukatai utawala bora na demokrasia vikawa vimojawapo kwenye ukuaji wa uchumi lakini sio sana.Unataka watu walambwe miguu ili walipe kodi bila kutumia nguvu unadhani inawezekana,wafanyabiashara wanaingiza biashara zao kimagendo hawalipi kodi na wengine hata kudanganya vipato vyao.Wanachukua...
Back
Top Bottom