Ni jambo jema imegundua hilo.....ni aibu kwa kweli
@Mama Amon
.MIHIMILI YA DOLA AU NCHI
Nakumbuka Civics ya Form 1
Government imegawanyika kwa:
1.Executive (Uongozi)
2. Judiciary (Mahakama)
3.Parliament (Bunge)
hakuna tatizo mama.
Uongozi gani?
Wa Bunge?
Wa Kiserikali?
Wa Mahakama?
Kuna tatizo hapo.
Ingekua Chema kama ungetuma email moja kwa moja kwa katibu mkuu kiongozi au kwa ile idara ya serial inayoshughulika na TEHAMA.
.Ingekua Chema kama ungetuma email moja kwa moja kwa katibu mkuu kiongozi au kwa ile idara ya serial inayoshughulika na TEHAMA.
Watu wasiojulikana wanakuangalia tuuuu, huu utawala haukosolewagi hadharani
Watu wasiojulikana wanakuangalia tuuuu, huu utawala haukosolewagi hadharani
Ingekua Chema kama ungetuma email moja kwa moja kwa katibu mkuu kiongozi au kwa ile idara ya serial inayoshughulika na TEHAMA.
Unapanic Huku Haujui Kitu.
Uongozi gani?
Wa Bunge?
Wa Kiserikali?
Wa Mahakama?
Kuna tatizo hapo.
Binafsi sijakuelewa unachokitaka ni nini kirekebishwe.
.
Uongozi gani?
Wa Bunge?
Wa Kiserikali?
Wa Mahakama?
Kuna tatizo hapo.