Ni kushindwa kuelewa uchumi unavyofanya kazi ndo unaweza comment namna hiyo .ujue awamu hii pesa nyingi zinaingizwa kwenye mega structures haiwezi kuwa sawa na jk miradi kama SGR return yake si ya leo na uchumi wetu unasacrifice portion kubwa ambayo ingekuwa ina share kubwa katika active economy. Si SGR pekee kuna stiglers na miundombinu kibao ikianza kutema boost yake ni for good ila ujue economy ya nchi inagive up portion kubwa . Wakati wa jk pesa zilijuwa zinamwagika kila mahala zilifanya tufikie hizo percentage juzi nilimsikia dakitari kayoza azam tv hakuweza ku analyse kwa nini uchumi wetu u score 4%
Hii ni HOJA DHAIFU kupita maelezo!!!Mkuu Kwenye Gas sikuungi Mkono kabisa,Either wewe ni Mdau mfaidikaji na gesi,
Gas inaisha lakini maji hayaishi!!! You're very funny aisee!!! Kwani wakati serikali ilivyokuwa inahangaika kutafuta vyanzo vingine vya umeme hapakuwa na umeme wa maji?! Wakati tunategemea umeme wa diesel kwani KIdatu haikuwapo? Nyumba ya Mungu haikuwepo? Kiansi haikuwepo? Mtera haikuwepo?! Kama maji hayaishi, ni kwanini basi mabwawa yote hayo yalishindwa kukidhi mahitaji ya umeme na tukalazimika kutafuta vyanzo mbadala?!1.Gesi ni ghali kuliko Umeme wa maji
2.Gesi inaisha lakini maji hayaishi
3.Maji ni simple sana tofauti na Gesi
4.Gesi mpaka uuziwe na wazungu vitalu...
Yaani Magufuli go go with Stiegliers gorge tuu...
Mkuu na juzi CRDB wametoa Dola million 786 hivi Karibia 1.5 Trillions kwa ajili ya Stiegliers...sasa hivi ujenzi umepamba moto yaani moto unaounguza...
Hii taarifa watu aina yako waliichukulia simple sana lakini kwa mtu anayeuangalia uchumi kwa mapana yake haikuwa taarifa mzuri!Alisema mahitaji ya umeme mkoani humo ni megawati 75 wakati uwezo wa kituo chao cha kusambaza umeme ni megawati 120, hali inayokifanya kiwe na ziada ya megawati 50.
Hebu niambie ile gas iliyotuletea shida kule kusini imetusaidia nini kwenye uchumi wetu hadi sasa?Ni kushindwa kuelewa uchumi unavyofanya kazi ndo unaweza comment namna hiyo .ujue awamu hii pesa nyingi zinaingizwa kwenye mega structures haiwezi kuwa sawa na jk miradi kama SGR return yake si ya leo na uchumi wetu unasacrifice portion kubwa ambayo ingekuwa ina share kubwa katika active economy. Si SGR pekee kuna stiglers na miundombinu kibao ikianza kutema boost yake ni for good ila ujue economy ya nchi inagive up portion kubwa . Wakati wa jk pesa zilijuwa zinamwagika kila mahala zilifanya tufikie hizo percentage juzi nilimsikia dakitari kayoza azam tv hakuweza ku analyse kwa nini uchumi wetu u score 4%
Kwa mikopo mikubwa sana ndo , raisi aliyeinflate deni la taifa kwa kiasi kikibwa
Hatukatai utawala bora na demokrasia vikawa vimojawapo kwenye ukuaji wa uchumi lakini sio sana.Unataka watu walambwe miguu ili walipe kodi bila kutumia nguvu unadhani inawezekana,wafanyabiashara wanaingiza biashara zao kimagendo hawalipi kodi na wengine hata kudanganya vipato vyao.Wanachukua mishahara hewa,elimu hewa. Watu wanaphd hewa unadhani watafanya uchumi ukue,tambua huo utakuwa uchumi hewa uliokua.Sasa anapokuja kiongozi anayetumia nguvu ili hayo mambo yasikuwepo watu mnasema hakuna demokrasia,utawala wake ni wakimabavu kumbe yeye ndio anaiweka nchi katika hali ya ukweli na sio wa kihewahewa tu.Acha tupigike tu lakini matumizi ya kodi zetu tunaziona huyo anayesema uchumi unashuka ataendelea kuangalia tu hiyo statistics yake na wengine tutaangalia statistic yetu ya maendeleo.Hapa kazi tu.Demokrasia na utawala bora mara nyingi huwa chachu ya ukuaji uchumi na maendeleo katika mataifa mengi. Unapokuwa na kiongozi au mtawala wa nchi asiyejali wala kuheshimu misingi ya demokrasia na utawala bora, hata ukuaji wa uchumi huporomoka na pia kudumaza maendeleo yaliyofikiwa na nchi husika. Ukatili, roho mbaya, ufisadi na kutojali wala kuheshimu raia wako ni moja ya chanzo kikuu kinachoweza kuangusha uchumi wa taifa lolote.
JK ni kiongozi na alizaliwa kwenye familia ya uongozi ndio maana anaijua siasa vilivyoMwanzoni, Rais Magufuli alivyokuwa ameingia madarakani, alijitapa sana na statistics za Ukuaji wa uchumi. Kila aliposimama jukwaani lazima alizungumzia kuwa Tanzania uchumi unakuwa kwa 7.0 to 7.1.
Leo nimepambana na data zinazoonesha ukuaji wa uchumi wa Tanzania toka 2007 hadi 2017. Inaonesha mwaka 2007 Tanzania ilivunja record kwa kukuza uchumi kwa 8.5%
Na mwaka 2011 ( baada ya uchaguzi), uchumi ulikuwa tena kwa kasi ya ajabu hadi 7.9%. Kuna miezi mitatu uchumi ulikuwa had 9.0%.
Uchumi kushuka sana ilikuwa mwisho ni 5.1.
Toka Magufuli aingie hajawai kuzidi 7.1%. Toka mwaka jana uchumi upo chini ya 6.0%. IMF nao wasema utakuwa chini ya 4.1%.
Hivi JK aliwezaje haya na hakujitamba? Kwann JK aliweza haya yote na hakuimbiwa ngonjera TBC kila kipindi cha kumsifu? Kwann JK alifanya vizuri hivi na hatukusikia akijigamba?
Popote ulipo JK Mungu akubariki sana. Ulituacha pazuri ila ulituachia mvurugaji. Sasa hivi hafikii hata nusu ya kasi yako ya ukuzaji wa uchumi.
Huu ni muda wa watanzania kutafakari na kuchukua hatua. View attachment 1074549
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzoni, Rais Magufuli alivyokuwa ameingia madarakani, alijitapa sana na statistics za Ukuaji wa uchumi. Kila aliposimama jukwaani lazima alizungumzia kuwa Tanzania uchumi unakuwa kwa 7.0 to 7.1.
Leo nimepambana na data zinazoonesha ukuaji wa uchumi wa Tanzania toka 2007 hadi 2017. Inaonesha mwaka 2007 Tanzania ilivunja record kwa kukuza uchumi kwa 8.5%
Na mwaka 2011 ( baada ya uchaguzi), uchumi ulikuwa tena kwa kasi ya ajabu hadi 7.9%. Kuna miezi mitatu uchumi ulikuwa had 9.0%.
Uchumi kushuka sana ilikuwa mwisho ni 5.1.
Toka Magufuli aingie hajawai kuzidi 7.1%. Toka mwaka jana uchumi upo chini ya 6.0%. IMF nao wasema utakuwa chini ya 4.1%.
Hivi JK aliwezaje haya na hakujitamba? Kwann JK aliweza haya yote na hakuimbiwa ngonjera TBC kila kipindi cha kumsifu? Kwann JK alifanya vizuri hivi na hatukusikia akijigamba?
Popote ulipo JK Mungu akubariki sana. Ulituacha pazuri ila ulituachia mvurugaji. Sasa hivi hafikii hata nusu ya kasi yako ya ukuzaji wa uchumi.
Huu ni muda wa watanzania kutafakari na kuchukua hatua. View attachment 1074549
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu lako ni rahisi sana kipindi cha jk mambo mengi yalikuwa ya hewa sana na ndio maana watu walimchoka na wakataka rais mkali ili aweze kuweka mambo sawa,sasa kaingia mzee wetu hodari kabisa asiyemuogopa yeyote anasahihisha makosa yote yaliyokuwepo.Na ukitazama kwa umakini sana utakuta hata CAG alishiriki kulidanganya taifa kuweka data zake za hewa na kumpa kazi mzee wetu kwa kipindi hiki anachotaka kuleta maendeleo ya nchi yetu iwe kama nchi zilizoendelea.Unadhani nchi inayotaka kuendelea uchumi wake utakuwa kwa haraka?utakuwa taratibu sana kwa vile pande mbili zinakimbizana nikiimaanisha maendeleo na uchumi.Utakuwa umeelewa sasa.piga kazi umsaidie mzee magufuli kukuza uchumi na kuleta maendeleo.Hapa kazi tuuuu.;Mwanzoni, Rais Magufuli alivyokuwa ameingia madarakani, alijitapa sana na statistics za Ukuaji wa uchumi. Kila aliposimama jukwaani lazima alizungumzia kuwa Tanzania uchumi unakuwa kwa 7.0 to 7.1.
Leo nimepambana na data zinazoonesha ukuaji wa uchumi wa Tanzania toka 2007 hadi 2017. Inaonesha mwaka 2007 Tanzania ilivunja record kwa kukuza uchumi kwa 8.5%
Na mwaka 2011 ( baada ya uchaguzi), uchumi ulikuwa tena kwa kasi ya ajabu hadi 7.9%. Kuna miezi mitatu uchumi ulikuwa had 9.0%.
Uchumi kushuka sana ilikuwa mwisho ni 5.1.
Toka Magufuli aingie hajawai kuzidi 7.1%. Toka mwaka jana uchumi upo chini ya 6.0%. IMF nao wasema utakuwa chini ya 4.1%.
Hivi JK aliwezaje haya na hakujitamba? Kwann JK aliweza haya yote na hakuimbiwa ngonjera TBC kila kipindi cha kumsifu? Kwann JK alifanya vizuri hivi na hatukusikia akijigamba?
Popote ulipo JK Mungu akubariki sana. Ulituacha pazuri ila ulituachia mvurugaji. Sasa hivi hafikii hata nusu ya kasi yako ya ukuzaji wa uchumi.
Huu ni muda wa watanzania kutafakari na kuchukua hatua. View attachment 1074549
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzoni, Rais Magufuli alivyokuwa ameingia madarakani, alijitapa sana na statistics za Ukuaji wa uchumi. Kila aliposimama jukwaani lazima alizungumzia kuwa Tanzania uchumi unakuwa kwa 7.0 to 7.1.
Leo nimepambana na data zinazoonesha ukuaji wa uchumi wa Tanzania toka 2007 hadi 2017. Inaonesha mwaka 2007 Tanzania ilivunja record kwa kukuza uchumi kwa 8.5%
Na mwaka 2011 ( baada ya uchaguzi), uchumi ulikuwa tena kwa kasi ya ajabu hadi 7.9%. Kuna miezi mitatu uchumi ulikuwa had 9.0%.
Uchumi kushuka sana ilikuwa mwisho ni 5.1.
Toka Magufuli aingie hajawai kuzidi 7.1%. Toka mwaka jana uchumi upo chini ya 6.0%. IMF nao wasema utakuwa chini ya 4.1%.
Hivi JK aliwezaje haya na hakujitamba? Kwann JK aliweza haya yote na hakuimbiwa ngonjera TBC kila kipindi cha kumsifu? Kwann JK alifanya vizuri hivi na hatukusikia akijigamba?
Popote ulipo JK Mungu akubariki sana. Ulituacha pazuri ila ulituachia mvurugaji. Sasa hivi hafikii hata nusu ya kasi yako ya ukuzaji wa uchumi.
Huu ni muda wa watanzania kutafakari na kuchukua hatua. View attachment 1074549
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu lako ni rahisi sana kipindi cha jk mambo mengi yalikuwa ya hewa sana na ndio maana watu walimchoka na wakataka rais mkali ili aweze kuweka mambo sawa,sasa kaingia mzee wetu hodari kabisa asiyemuogopa yeyote anasahihisha makosa yote yaliyokuwepo.Na ukitazama kwa umakini sana utakuta hata CAG alishiriki kulidanganya taifa kuweka data zake za hewa na kumpa kazi mzee wetu kwa kipindi hiki anachotaka kuleta maendeleo ya nchi yetu iwe kama nchi zilizoendelea.Unadhani nchi inayotaka kuendelea uchumi wake utakuwa kwa haraka?utakuwa taratibu sana kwa vile pande mbili zinakimbizana nikiimaanisha maendeleo na uchumi.Utakuwa umeelewa sasa.piga kazi umsaidie mzee magufuli kukuza uchumi na kuleta maendeleo.Hapa kazi tuuuu.;Mwanzoni, Rais Magufuli alivyokuwa ameingia madarakani, alijitapa sana na statistics za Ukuaji wa uchumi. Kila aliposimama jukwaani lazima alizungumzia kuwa Tanzania uchumi unakuwa kwa 7.0 to 7.1.
Leo nimepambana na data zinazoonesha ukuaji wa uchumi wa Tanzania toka 2007 hadi 2017. Inaonesha mwaka 2007 Tanzania ilivunja record kwa kukuza uchumi kwa 8.5%
Na mwaka 2011 ( baada ya uchaguzi), uchumi ulikuwa tena kwa kasi ya ajabu hadi 7.9%. Kuna miezi mitatu uchumi ulikuwa had 9.0%.
Uchumi kushuka sana ilikuwa mwisho ni 5.1.
Toka Magufuli aingie hajawai kuzidi 7.1%. Toka mwaka jana uchumi upo chini ya 6.0%. IMF nao wasema utakuwa chini ya 4.1%.
Hivi JK aliwezaje haya na hakujitamba? Kwann JK aliweza haya yote na hakuimbiwa ngonjera TBC kila kipindi cha kumsifu? Kwann JK alifanya vizuri hivi na hatukusikia akijigamba?
Popote ulipo JK Mungu akubariki sana. Ulituacha pazuri ila ulituachia mvurugaji. Sasa hivi hafikii hata nusu ya kasi yako ya ukuzaji wa uchumi.
Huu ni muda wa watanzania kutafakari na kuchukua hatua. View attachment 1074549
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtegemee 4% na chini yake maneno ni mengi lakini nxhi integemea madeni na mikopo lukuki, ndiyo mjue kuchagua tofauti ya mchele na pumbaDemokrasia na utawala bora mara nyingi huwa chachu ya ukuaji uchumi na maendeleo katika mataifa mengi. Unapokuwa na kiongozi au mtawala wa nchi asiyejali wala kuheshimu misingi ya demokrasia na utawala bora, hata ukuaji wa uchumi huporomoka na pia kudumaza maendeleo yaliyofikiwa na nchi husika. Ukatili, roho mbaya, ufisadi na kutojali wala kuheshimu raia wako ni moja ya chanzo kikuu kinachoweza kuangusha uchumi wa taifa lolote.
kuingiza bidhaaa bila kulipa kodi sio democracy ni uhuni na ujangili, wala kutokulipa kodi sio zao la democracy hata kidogo ni uhuni tu, angalia nchi ambazo democracy ipo juu ndio nchi wanalipa kodi vizuri na wameendelea. Linganisha na nchi ambazo democracy inaminywa ndio kuna ukwepaji wa kodi mkubwa, biashara haramu na hakuna maendeleo.Hatukatai utawala bora na demokrasia vikawa vimojawapo kwenye ukuaji wa uchumi lakini sio sana.Unataka watu walambwe miguu ili walipe kodi bila kutumia nguvu unadhani inawezekana,wafanyabiashara wanaingiza biashara zao kimagendo hawalipi kodi na wengine hata kudanganya vipato vyao.Wanachukua mishahara hewa,elimu hewa. Watu wanaphd hewa unadhani watafanya uchumi ukue,tambua huo utakuwa uchumi hewa uliokua.Sasa anapokuja kiongozi anayetumia nguvu ili hayo mambo yasikuwepo watu mnasema hakuna demokrasia,utawala wake ni wakimabavu kumbe yeye ndio anaiweka nchi katika hali ya ukweli na sio wa kihewahewa tu.Acha tupigike tu lakini matumizi ya kodi zetu tunaziona huyo anayesema uchumi unashuka ataendelea kuangalia tu hiyo statistics yake na wengine tutaangalia statistic yetu ya maendeleo.Hapa kazi tu.
Hatukatai utawala bora na demokrasia vikawa vimojawapo kwenye ukuaji wa uchumi lakini sio sana.Unataka watu walambwe miguu ili walipe kodi bila kutumia nguvu unadhani inawezekana,wafanyabiashara wanaingiza biashara zao kimagendo hawalipi kodi na wengine hata kudanganya vipato vyao.Wanachukua mishahara hewa,elimu hewa. Watu wanaphd hewa unadhani watafanya uchumi ukue,tambua huo utakuwa uchumi hewa uliokua.Sasa anapokuja kiongozi anayetumia nguvu ili hayo mambo yasikuwepo watu mnasema hakuna demokrasia,utawala wake ni wakimabavu kumbe yeye ndio anaiweka nchi katika hali ya ukweli na sio wa kihewahewa tu.Acha tupigike tu lakini matumizi ya kodi zetu tunaziona huyo anayesema uchumi unashuka ataendelea kuangalia tu hiyo statistics yake na wengine tutaangalia statistic yetu ya maendeleo.Hapa kazi tu.
[/QUOTE
Nchi zenye viongozi tough africa ndo zinazosonga.mwafrica akipewa democrasia kama sawa na mzungu atakutia vidole usoni na ndo tunayoyaona
Hatukatai utawala bora na demokrasia vikawa vimojawapo kwenye ukuaji wa uchumi lakini sio sana.Unataka watu walambwe miguu ili walipe kodi bila kutumia nguvu unadhani inawezekana,wafanyabiashara wanaingiza biashara zao kimagendo hawalipi kodi na wengine hata kudanganya vipato vyao.Wanachukua mishahara hewa,elimu hewa. Watu wanaphd hewa unadhani watafanya uchumi ukue,tambua huo utakuwa uchumi hewa uliokua.Sasa anapokuja kiongozi anayetumia nguvu ili hayo mambo yasikuwepo watu mnasema hakuna demokrasia,utawala wake ni wakimabavu kumbe yeye ndio anaiweka nchi katika hali ya ukweli na sio wa kihewahewa tu.Acha tupigike tu lakini matumizi ya kodi zetu tunaziona huyo anayesema uchumi unashuka ataendelea kuangalia tu hiyo statistics yake na wengine tutaangalia statistic yetu ya maendeleo.Hapa kazi tu.
Unashangaa JK aliyekaa miaka 10 kuchokwa wakati Magufuli alishachokwa hata kabla mwaka hajamaliza!!1Jibu lako ni rahisi sana kipindi cha jk mambo mengi yalikuwa ya hewa sana na ndio maana watu walimchoka na wakataka rais mkali ili aweze kuweka mambo sawa,sasa kaingia mzee wetu hodari kabisa asiyemuogopa yeyote anasahihisha makosa yote yaliyokuwepo.Na ukitazama kwa umakini sana utakuta hata CAG alishiriki kulidanganya taifa kuweka data zake za hewa na kumpa kazi mzee wetu kwa kipindi hiki anachotaka kuleta maendeleo ya nchi yetu iwe kama nchi zilizoendelea.Unadhani nchi inayotaka kuendelea uchumi wake utakuwa kwa haraka?utakuwa taratibu sana kwa vile pande mbili zinakimbizana nikiimaanisha maendeleo na uchumi.Utakuwa umeelewa sasa.piga kazi umsaidie mzee magufuli kukuza uchumi na kuleta maendeleo.Hapa kazi tuuuu.;
Unaweza kutaja mfano wa hizo nchi zenye viongozi tough Afrika?!Nchi zenye viongozi tough africa ndo zinazosonga.mwafrica akipewa democrasia kama sawa na mzungu atakutia vidole usoni na ndo tunayoyaona
Wewe utakuwa umesomea mambo ya gas au unafanya kwenye gas humuangalii mwananchi wa kawaida kabisa.Hii ni HOJA DHAIFU kupita maelezo!!!
Gas inaisha lakini maji hayaishi!!! You're very funny aisee!!! Kwani wakati serikali ilivyokuwa inahangaika kutafuta vyanzo vingine vya umeme hapakuwa na umeme wa maji?! Wakati tunategemea umeme wa diesel kwani KIdatu haikuwapo? Nyumba ya Mungu haikuwepo? Kiansi haikuwepo? Mtera haikuwepo?! Kama maji hayaishi, ni kwanini basi mabwawa yote hayo yalishindwa kukidhi mahitaji ya umeme na tukalazimika kutafuta vyanzo mbadala?!
Gas mpaka uuziwe na Wazungu... nikuulize maswali yafuatayo:-
1. Unafahamu lolote kuhusu Production Sharing Agreement ambayo ilipitishwa na Bunge mwaka 2015 ambayo kutokana na sababu za kisiasa tu CHADEMA walisusa kuingia bungeni?
2. Uliwahi kusoma Sheria ya Mafuta na Gas?
3. Ulipata kusoma Sheria ya Matumizi ya Mafuta na Gas?!
Umekaa kiushabiki zaidi na kwahiyo I doubt ikiwa unafahamu lolote katika hayo! Badala ya kuongea kishabiki, ningekushauri utafute FACTS! Na FACT ya kwanza, kwa mujibu wa sheria na sera, vitalu VYOTE vya Mafuta na Gas ni mali ya TPDC! Kampuni za mafuta na gas zilitakiwa kuingia mkataba na TPDC ambae ndie mmiliki wa vitalu! Kama ambavyo wao ndio waliingia COST ya kufanya explorartion na POSSIBLE LOSS in case no discoveries kuwa juu yao, na wakati wa production ingekuwa ndiyo hivyo hivyo!!!
Nimeeleza mara nyingi sana kuhusu hili suala hadi sasa naona uvivu kulirudia lakini itoshe tu kusema kwamba you've little to no knowledge kuhusu gas sector!!
Kwamba Gas ni expensive kulinganisha na maji... ninachotaka kukueleza ni kwamba, the cheapest energy source ni wind and solar energy and not hydro-power! So, kama concern ni unafuu basi JPM alitakiwa ku-invest kwenye solar na wind power!
WHY Gas?!
Kwa sababu gas ndio kila kitu dunia hii!!! NATO- Europe Wing inaufyata kwa adui wao Urusi kutokana na gas iliyonayo Urusi ambayo nchi nyingi za Europe wanaitegemea!!!
Wakati maji yataishia kutoa umeme peke yake, gas inazalisha umeme, nishati ya kupikia, nishati ya kuendeshea mitambo kama vile ya viwandani na magari, gas inatoa malighafi inayoweza kutumika kwenye uzalishaji wa bidhaa zingine n.k bila kusahau ajira!!!
Kwenye uchumi kuna kitu tunaita economic multiple impact! Economic Multiple Impact ya return ya Stigler's haitafika hata 25% ya investment impact ya kwenye gas sector!!!
Maji ni source ya umeme lakini gas ni source ya uchumi!!!
Kuna siku TANESCO walitopa ripoti ambayo, mosi ilinitisha kweli kweli lakini baadae nikaja kuhuzunika! Sehemu ya taarifa ile inapatikana kwenye gazeti la Mwananchi ambalo waliandika:-Hii taarifa watu aina yako waliichukulia simple sana lakini kwa mtu anayeuangalia uchumi kwa mapana yake haikuwa taarifa mzuri!
Mosi, yaani moja ya mikoa mikubwa kabisa Tanzania ambayo ina mji maarufu next to Dar es salaam lakini bado hawawezi ku-consume 120 Megawatt of electricity! Yaani Mkoa wa Arusha ambao unaonekana ni moja ya mikoa yenye maendeleo makubwa nchini, hadi February mwaka huu uchumi wake ulikuwa una-consume ONLY 75MW of electricity!
Kama Arusha hali ndiyo ipo hivyo, what about Kigoma, Iringa, Lindi, Mtwara, Morogoro, you name it!!!
Leo hii serikali inataka kuzalisha zaidi ya 2000 MW za umeme! Je, ina mipango ya kiuchumi ya kuweza ku-consume hizo 2000+ MW za umeme ikiwa mkoa kama Arusha tu unashindwa ku-utilize hata 200MW!
Oh! Nilisahau! Sababu ya kujengwa bomba la gas kutoka Mtwara to Dar ni kwa sababu gas ile ilikuwa na uwezo wa kuzalisha umeme ambao ni maradufu ya umeme unaohitajika Mtwara na Lindi inclussive! By the time, mikoa yote miwili ilikuwa inashindwa ku-utilize ONLY 20MW zilizokuwa zinazalishwa!!!
Huo ndio uchumi wa Tanzania ambao unataka kuongezewa 2000 MW! Sina tatizo kwenye kuongeza hizo 2000MW, the issue is: serikali imeweka mazingira gani ya kiuchumi kuweza ku-utilize hizo 2000MW?!
I know people lile you mtakimbilia kusema umeme wa ziada utauzwa nje ya nchi! Kama jibu lako ndilo hilo, nachotaka kusema hata umeme wa gas ungeweza kuuzwa nje ya nchi wakati huo huo taifa likipata mapato sio tu yanayotokana na mauzo ya umeme bali pia mauzo ya gas ndani na nje ya nchi, ajira kwenye gas industry, byproducts ambazo zinaweza ku-stimulate other industrial sectors, na mengineyo!
Na hapa nimalize tu kwa kusema kwamba, sijawahi kusikia nchi hata moja duniani iliyowahi kuendelea kwa kuuza umeme mataifa ya nje bali kuna nchi kibao ambao mambo yao yako njema kwa ajili ya gas! Na wakati umeme utaishia tu kuwauzia majirani zako, gas unaweza kwenda kuiuza hadi Alaska!
Open up your eyes!!!
Ona sasa unavyohangaika! Awali ulisema nitakuwa mnufaika kwenye sekta ya gas, na sasa umebadilika na kudai nitakuwa nimesoma mambo ya gas au nafanya kazi kwenye sekta ya gas! Yaani akili yako ipo kule kule ambayo inathibitisha jambo moja tu: WEWE NI MBINAFSI ambae unatetea kile tu chenye maslahi kwako!!Wewe utakuwa umesomea mambo ya gas au unafanya kwenye gas humuangalii mwananchi wa kawaida kabisa.
Umeme wa gesi ni ghali kuliko maji,Dr.Magufuli go go go go go
Gesi iendelee kuwepo tuu kama altenative fuel Mkuu...
Tunalinganisha Umeme wa Gas na maji tuu vitu viwili ndio tunabishania...wewe umekimbilia sijui wind,solar...
hayo ma turbine ya kinyerezi na ubungo yawashwe kwa wakati fulani tuu tutumie maji,hata Ujerumani,USA wameendelea walianzia na umeme wa Hydro,
Say No to Gas.
tutauza na nchi ya nje...lakini soko la ndani bado linahitaji sana sana umeme,uwekezaji mwingi umeshindwa kuendelea kwasababu ya nishati kuwa juu.
Ninachompendea Rais Dr.John Pombe Magufuli huwa harudi nyuma akiamua kitu....naona wewe mwenyewe umeona anasonga mbele tuu,Stiegliers gorge hiyooo...Gas yenyewe tunanunua...Magufuli PhD.go go tena hongera juzi umepata hela 784USD MILLION,Ngoma itakamilika soon mkuu after 2 yrs tuu.