Recent content by mkyekuu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hospitali ya Taifa Muhimbili yajibu hoja za Wana JamiiForums kuhusu vifo Hospitali ya Muhimbili-Mloganzila

    Jamani, kuna dokta wa Mloganzila tunamuonaga huko snapchat akiwa analewa usiku kucha saa zingine kuuuutwa nzima, alafu anaingia kazini, na anakiri kwamba she's hungover and hajalala. Kweli tunategemea wagonjwa watahudumiwa ipasavyo? Diagnosis itafanyika ipasavyo?
  2. M

    JamiiForums Tanzania CAG Assad: Bunge halifanyi kazi yake! Wanatakiwa kuuliza matumizi nje ya bajeti yaliidhinishwa kwa mamlaka ipi

    CAG hawezi kuondolewa na Rais au Bunge au chombo chochote, mpaka yeye mwenyewe aamue kuachia nafasi hiyo.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Vincent Laswai wa Kibo Palace na Trust Bureau de changes yuko matatani?

    Vita inayoendelea na wafanya biashara ni vita mbaya sana. Hawaangalii jinsi uchumi unavotetereka kwa kuwafungia biashara zao, wananchi wangapi wanapoteza ajira zao na hao hao wananchi ndo walipa kodi. Tanzania taratibu inakua kama Zimbabwe
  4. M

    JamiiForums Tanzania NECTA, haya matokeo ya hii shule yanatia wasiwasi

    Angalia historia ya matokeo NECTA ya shule hii kwanza ndo utaelewa. Hii sio mara ya kwanza wanaongoza kitaifa, labda tu umekua hufatilii matokeo yao au ya NECTA miaka ya nyuma. St. Francis Girls imekua ikifanya vizuri kwa mda mrefu sana, na katiko 10 bora ya shule na wanafunzi kila mwaka...
  5. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Producer Joshua Magawa "Pancho Latino" wa B hitz records afariki dunia

    Pancho na Hermy B ni watu wawili tofauti. Pancho alikua akifanya shughuli zake za mziki studio za B'Hitz ambazo zinamilikiwa na Hermy B.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda: Wazazi wanalinda watoto dhidi ya watu wa nje wakati waharibifu wako ndani ya familia

    Pole kwa yaliyokukuta. Na ningeomba nikushauri mawili matatu. 1) Tafuta psychologist uongee nae kwa mapana na marefu. Umuelezee yaliyokutokea ukiwa mdogo, jinsi unavozidi kuliongelea hili swala ndo jinsi utakavoweza kuwa na mahusiano mazuri na watu wengine, sana sana mahusiano na mwenza wako...
Back
Top Bottom