Bei ya jana mnada wa Songea vijijini 3700. .. choma choma washastuka minada inashuka tu, kutoka bei 4540 songwe week tatu zilizopita leo 3700.... Chomachoma wakinunua hadi3400. Ila kwasasa chomachoma 2500.... Kuna uwezekano soko likashuka zaidi kwasababu ufuta upo mwingi sana kuanzia kilwa...
Ikifika mwenzi wa Sita.. nitafute Mzee nikuonyeshe chaka Uone watu wanavyokusanya pesa kwenye ufuta huku kusini. Utatamani kuiacha. Hizi siyo zama za magufuli za kuhulizana hii milion 200 kwenye account umeipata wapi?...nchi imefunguka hii watu wanapiga pesa hatari.
Yaliyokukuta ndo yaliyonikuta mimi miez kadhaa nyuma.. nilitumia hizo dawa ndani ya siku 21. Yule demu nikampima ila akawa fresh.. nikamuhuliza daktari kama kuna umuhimu wa kuendeleeaa kutumia hizi dawa akasema Hapana Achana nazo tu haina shida.
Kwahiyo wewe hizo dawa achana nazo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.