Recent content by mkwe mkwepe

  1. M

    Ligi Kuu ya Vodacom: Yanga Afrika vs Azam, 6 Mei 2015

    Kama kawaida yenu wazee wa bonanza sema safari hii mmewahi sana kuwaza hayo mabonanza yenu sisi tunaumiza kichwa namna ya kumkabili tp mazembe
  2. M

    Ligi Kuu ya Vodacom: Yanga Afrika vs Azam, 6 Mei 2015

    Hahahaaa ila ni kwa leo tu lakini
  3. M

    Ligi Kuu ya Vodacom: Yanga Afrika vs Azam, 6 Mei 2015

    Na ndo tunachotaka hicho kiongozi
  4. M

    Ligi Kuu ya Vodacom: Yanga Afrika vs Azam, 6 Mei 2015

    Kila la kheri Azam fc
  5. M

    Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

    Nadhani ingekua vema kama tungempa mawazo ya kumjenga na yeye ameona hapa ndio mahali sahihi ambapo anaweza pata msaada dada
  6. M

    Msaada : Swali la umetoa wapi namba yangu?

    Kuna prof kilaza humu mwalimu wa madomozege em jaribu kuwasiliana nae atakusaidia
  7. M

    Supermarket inayomilikiwa na Wachina Dar yabagua Watanzania weusi

    Yawezekana ikawa ni zaidi ya supermarket huenda kuna biashara nyingine zinaendelea hapo ndio maana hawataki wabongo waingie humo
  8. M

    Ligi Kuu tar 18/04/ 2015: Mbeya City vs Simba

    Kwani hii mbeya city si ndo ile iliyoshushiwa kipigo kizito na vijana wa jangwani ama
  9. M

    Kombe la Shirikisho Live: Yanga Afrika vs Etoile du Sahel

    Hawa watangazaji wanatuchanya sasa sisi tunataka kusikiliza timu ya wananchi wenyewe wanatuletea habari za mikia
  10. M

    Jana nilimwota mwana JF wakati nalala

    Uyo atakua@Nyamchele
Back
Top Bottom