swali kwa maghufuli: ikiwa katiba ya wananchi ambayo ndio ilikua sheria kuu ya kuzuia mianya ya rushwa na ufisadi ccm wameikataa. Atafanikiwa vipi kuunda mahakama ya kushughulikia mafisadi na majizi?
ndio. amesema ndani ya siku 100 serikali yake itahakikisha katiba ya wananchi inawekwa. hiyo ndio ilikua inawabana hao wezi. sasa ccm mnaleta ujanjaujanja. sheria kuu mmeikataa mnaleta habari za sheria ndogo
katiba ya wananchi mlioikataa ndio sheria mama. ss mnatuletea uongo wa kutunga mahakama za kifisadi. si uongo wa mchana huo. yaan huyo mgombea wa ccm hagusii kabisa katiba ya wananchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.