Recent content by Mkwawa jr

  1. M

    Uliza swali lako mdahalo wa wagombea Urais utakaofanyika Oktoba 18, 2015

    swali kwa maghufuli: ikiwa katiba ya wananchi ambayo ndio ilikua sheria kuu ya kuzuia mianya ya rushwa na ufisadi ccm wameikataa. Atafanikiwa vipi kuunda mahakama ya kushughulikia mafisadi na majizi?
  2. M

    Balozi Juma Mwapachu na ubinafsishaji wa mashirika ya umma!

    ndio. amesema ndani ya siku 100 serikali yake itahakikisha katiba ya wananchi inawekwa. hiyo ndio ilikua inawabana hao wezi. sasa ccm mnaleta ujanjaujanja. sheria kuu mmeikataa mnaleta habari za sheria ndogo
  3. M

    Balozi Juma Mwapachu na ubinafsishaji wa mashirika ya umma!

    katiba ya wananchi mlioikataa ndio sheria mama. ss mnatuletea uongo wa kutunga mahakama za kifisadi. si uongo wa mchana huo. yaan huyo mgombea wa ccm hagusii kabisa katiba ya wananchi
  4. M

    ITV Mnatutengenezea maigizo ya Lowasa

    wewe ni muongo. na makongoro mahanga ameenda chadema. mtakubali tu
  5. M

    Dk. Milton Makongoro Mahanga atangaza rasmi kujiunga CHADEMA

    ni kweli. source radio one
  6. M

    Nimependa msimamo wa Dr Slaa

    wewe ni gamba acha uongo
  7. M

    Ukweli kuhusu Dkt. Slaa kuondoka CHADEMA

    ila hivyo viti vya upinzani vilichukuliwa kutoka ccm. so upinzani walipiga hatua kubwa serikali za mitaa na ccm walipoteza. huo ndio ukweli
  8. M

    Mbowe atajwa kuwa kiongozi bora wa upinzani Afrika

    mbowe ni habari nyingine. usiyefahamu hilo pole
  9. M

    Nimeitwa kwenye Interview CRDB

    Usife moyo,kaza kwanza hata kama mshahara ndio huo
Back
Top Bottom